Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
- Thread starter
- #61
Hivi unaamini kwamba Baba Levo, Mwijaku na wenzao hawana akili??Hawa wajinga mi naona hata hizo bado ni kubwa sana ilitakiwa walipwe nusu yake maana hawana akili
Baba Levo kamzidi Diamond miaka zaidi ya 10 lakini anamwita baba yake!!!