Walimu wa Tanzania ndio maana wanadharauliwa na kila mtu

Walimu wa Tanzania ndio maana wanadharauliwa na kila mtu

Si ndiyo hawa hawa walimchangia Samia kupata for ya kugombea urais 2025??
Kapu la mama.


Sema walimu wetu, CCM imewajulia.
tapatalk_1703793223049.jpg
 
Mkuu weka namba mwisho wa mwezi wanapata kiasi gani zaidi ya hapo walimu
Askari Magereza anayeanza kazi na elimu ya form4 analipwa:
Msha ha ra= 516,000 basic
Posho ya chakula 300,000
Posho vinywaji 100000
Mazingira magumu 86,000
Pango la nyumba 86000
Ujuzi 86,000 kama anao
Umeme na maji bure punde wanaanza kulipwa keshi.

Bima bure
 
Askari Magereza anayeanza kazi na elimu ya form4 analipwa:
Msha ha ra= 516,000 basic
Posho ya chakula 300,000
Posho vinywaji 100000
Mazingira magumu 86,000
Pango la nyumba 86000
Ujuzi 86,000 kama anao
Umeme na maji bure punde wanaanza kulipwa keshi.

Bima bure
Askari magereza WA nchi ipi?

Wangepewa pesa yote hii wasingekaa nyumba zile za mabati keko
 
Askari Magereza anayeanza kazi na elimu ya form4 analipwa:
Msha ha ra= 516,000 basic
Posho ya chakula 300,000
Posho vinywaji 100000
Mazingira magumu 86,000
Pango la nyumba 86000
Ujuzi 86,000 kama anao
Umeme na maji bure punde wanaanza kulipwa keshi.

Bima bure
Huyu anashinda na wafungwa ambao Mahakama zetu zinaamini ni Criminal (sijawahukumu mimi).


Turudi kwa ndugu walimu wanaoshinda na watoto wetu ambao tunaamini ndo Taifa letu la kesho....


B1 = Basic 419,000

Cwt = 8,390.
Pension = 20,950.
Income = 46,090.
Insur = 12,570
Take home = 331,000

Hana nyumba, hana chakula, hana usafiri na mahitaji mengine ya kibinadamu. Anaishi Tuwangoma na anafanya kazi Temeke


MPAKA HAPO TUNA TAIFA LA KESHO??


Watanzania tuwe serious
 
Baada ya kuona kila leo kuna mijadala ya kuwadharau walimu ikanibidi niingie Google kujua walimu wanalipwa kiasi gani. Nilichokikuta huko ni aibu!!

Yaaani kwa mwezi mwalimu analipwa posho ya mbunge ya kikao kimoja?

Yaani serikali inaona poa kumlipa allowances askari magereza anayeshinda na wafungwa lakini mwalimu asubiri uchafuzi wa SISIEMU?

HII NI MISHAHARA YA WALIMU 2022/2023!!

B1 = Basic 419,000

Cwt = 8,390.
Pension = 20,950.
Income = 46,090.
Insur = 12,570
Take home = 331,000

C1 = Basic 530,000
Cwt = 10,600.
Pension = 26,500.
Income = 58,300.
Insurance = 15,900
Take home = 418,700

D1= Basic 716,000

Cwt = 14,320.
Pension = 35,800.
Income = 78,760.
Insurance = 21,400
Take home = 565,640

E1 = Basic 940,000

Cwt = 18,800.
Pension = 47,000.
Income = 103,400.
Insurance = 28,200
Take home = 742,600

F1 = Basic 1,235,000

Cwt = 24,700.
Pension = 61,750.
Income = 135,850.
Insurance = 37,050
Take home = 975,650

Source
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Hapa kazi tu
 
Huyu anashinda na wafungwa ambao Mahakama zetu zinaamini ni Criminal (sijawahukumu mimi).


Turudi kwa ndugu walimu wanaoshinda na watoto wetu ambao tunaamini ndo Taifa letu la kesho....


B1 = Basic 419,000

Cwt = 8,390.
Pension = 20,950.
Income = 46,090.
Insur = 12,570
Take home = 331,000

Hana nyumba, hana chakula, hana usafiri na mahitaji mengine ya kibinadamu. Anaishi Tuwangoma na anafanya kazi Temeke


MPAKA HAPO TUNA TAIFA LA KESHO??


Watanzania tuwe serious
Mimi nawakubali walimu kwa mishahara hiyo hiyo ila anaishi smart kuzidi wa f1,we na f1 yako life hovyo bg up maticha wote tz wananidhamu ya kazi
 
Baadhi ya walimu wanaweza kutetea kwa nje ila kwa ndani sote tunakubali


Licha ya kuwa kazi nyingi chini ya halmashauri hazina maslahi ila ualimu ni kazi ya AJABU MNO


Kwa kweli tumepoteza miaka mitatu bure chuoni

Kuliko kumpeleka mwanao akasomee huu upumbavu ni bora umuache tu afanye kazi za mtaani.


Binafsi naongea hivi kwa experience.


UALIMU SIO KAZI​
Bila walimu ungepata elimu? au umeamua kujitoa fahamu tu hapa.....ulivyoanza la kwanza ulikuwa hujui chochote, kusoma, kuandika, kuhesabu mbona hukufundishwa na wazazi wako nyumbani? Au ukishavuka mto basi ni ruksa kumtukana mamba.​
 
Askari magereza WA nchi ipi?

Wangepewa pesa yote hii wasingekaa nyumba zile za mabati keko
Kwa taarifa yako hakuna wafanyakazi wa chini nchii wanaolipwa posho nyingi kama JWTZ Uhamiaji Magereza, Zima Moto, Polisi!!
Posho ya chakula kwa wale wa magamba magamba ni 380K bila kujali cheo.

House allowance ndo zinatofautiana kwa vyeo
Vinywaji ni 100k wooote.

Posho ya ujuzi kwa wenye ujuzi, mfano unakuta mwanajeshi ana degree ya ualimu na hajawai ingia darasani analipwa posho ya ualimu (nonsense)

Unakuta Askari magera kosomea Computer Science hawezi kushusha operating system au yuko Gereza la Kitengure hawana kompyuta analipwa posho ya ujuzi[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]


Afu wakija watetezi wa walimu wanataka kutuua!!

Kama nchi swala la Elimu yetu inabidi tulifanye liwe mjadala wa KITAIFA. WATOTO WA MACCM NA MACHADEMA wanasoma Cambridge Syllabus. Sisi wetu wanafundishwa kufundishwa kuuza kashata na andazi za mwalimu wa darasa.

Wanalima mashamba ya walimu wa zamu na kuchota maji ya kuwapikia walimu uji kwani chai inahitaji sukari na bei ya sukari imechangamka.
 
Bila walimu ungepata elimu? au umeamua kujitoa fahamu tu hapa.....ulivyoanza la kwanza ulikuwa hujui chochote, kusoma, kuandika, kuhesabu mbona hukufundishwa na wazazi wako nyumbani? Au ukishavuka mto basi ni ruksa kumtukana mamba.​
Soma vizuri na uelewe au acha kujitoa ufahamu!! Huu mjadala hauwadharau au kuwadhihaki walimu. Tunajadili masilahi yao. Huyo ulom quote ni mwalimu anakili maslahi yao ni mabovu!! Sasa wewe unatoka huko ushalambishwa asali unakuja kutufokea??
 
Tusiwaangushe moyo walimu wetu jaman ipo siku watu watataman kukimbilia ualimu tuiachie serikali itawaboreshea tu miaka haifanani
 
Kwa taarifa yako hakuna wafanyakazi wa chini nchii wanaolipwa posho nyingi kama JWTZ Uhamiaji Magereza, Zima Moto, Polisi!!
Posho ya chakula kwa wale wa magamba magamba ni 380K bila kujali cheo.

House allowance ndo zinatofautiana kwa vyeo
Vinywaji ni 100k wooote.

Posho ya ujuzi kwa wenye ujuzi, mfano unakuta mwanajeshi ana degree ya ualimu na hajawai ingia darasani analipwa posho ya ualimu (nonsense)

Unakuta Askari magera kosomea Computer Science hawezi kushusha operating system au yuko Gereza la Kitengure hawana kompyuta analipwa posho ya ujuzi[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]


Afu wakija watetezi wa walimu wanataka kutuua!!

Kama nchi swala la Elimu yetu inabidi tulifanye liwe mjadala wa KITAIFA. WATOTO WA MACCM NA MACHADEMA wanasoma Cambridge Syllabus. Sisi wetu wanafundishwa kufundishwa kuuza kashata na andazi za mwalimu wa darasa.

Wanalima mashamba ya walimu wa zamu na kuchota maji ya kuwapikia walimu uji kwani chai inahitaji sukari na bei ya sukari imechangamka.
Hizi ni siasa

Mishahara ya walimu uliifafanua vyema kulingana na nama serkali inalipa,

Tupe mchanganuo kulingana na TGS
 
Maneno bila uhalisia ni tatizo kubwa la watanzania .

Ualimu ni taaluma inayoheshimika Sana , ni MTU mjinga anaweza kudharau kazi ya ualimu .

Kuhusu mshahara huwezi kumlaumu Mwalimu ila ni mfumo wa serikali . hivyo ntaendelea kushangaa ikiwa mtaendeleza hoja hizi ambazo hazina mashiko ya kutumia akili .


Tanzania kuna kundi kubwa la masikini ndo ambalo hukaa na kuanza kudharau walimu MTU ambaye yupo well satisfied with his or her life hawezi kuwa hivi anadharau watu.
Labda kama hujasoma uzi wangu, umekurupuka baada ya kusoma Tittle.
Binafsi nimetumia jamiiforums.com kama reference! Kwenye jukwaa hili kuna nyuzi nyingi (idadi yake inatia shaka ) ambazo zinazungumzia walimu wetu negatively!! Kuna mpaka member wengi wamejizolea umaarufu kwenye jukwaa hili kwa kuanzisha nyuzi za walimu.

Mimi kama mtanzania mzalendo nikasukumwa kujua chanzo na sababu ya walimu wetu kubezwa.

Nisome mwanzo mwa uzi huu
 
Jamii forums kila member ana mshahara mkubwa/kipato kikubwa kasoro walimu.
Cha kushangaza ukija katika uhalisia huku mtaani walimu ndiyo wanakimbiza kwa kipato ukiondoa wakuu wa taasisi.
Huku kijijini nilipo walimu ndiyo wamewekeza kuliko kada yoyote
Hapa tunazungumza swala la kitaifa sio la kijiji chenu!! Mwenyewe na ishi kijijini na kipato changu ni cha kawaida lakini hapo kabla au wakata wa dharura za hapa na pale naenda kwenye miji na majiji. Niambie ukweli unamlipaje mwalimu wa jiji mshahara mdogo kuliko boom mwanafunzi wa chuo anayeishi hostel na kula cafeteria??

Hivi tuko serious na ELIMU YETU??
 
Labda kama hujasoma uzi wangu, umekurupuka baada ya kusoma Tittle.
Binafsi nimetumia jamiiforums.com kama reference! Kwenye jukwaa hili kuna nyuzi nyingi (idadi yake inatia shaka ) ambazo zinazungumzia walimu wetu negatively!! Kuna mpaka member wengi wamejizolea umaarufu kwenye jukwaa hili kwa kuanzisha nyuzi za walimu.

Mimi kama mtanzania mzalendo nikasukumwa kujua chanzo na sababu ya walimu wetu kubezwa.

Nisome mwanzo mwa uzi huu
Sawa , ebu. tuone mwisho wenu utakuaje
 
Back
Top Bottom