Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
[emoji23][emoji23][emoji23]Binafsi siwatetei walimu, natetea Taifa!! Mwalimu anayelipwa Tsh laki 3 hawezi mfundisha mtoto Kujitegemea!! Tunaendelea kuwa Taifa la wanafiki nchi hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Binafsi siwatetei walimu, natetea Taifa!! Mwalimu anayelipwa Tsh laki 3 hawezi mfundisha mtoto Kujitegemea!! Tunaendelea kuwa Taifa la wanafiki nchi hii.
Iam notmwalimu Mpwayungu Village haya yanatamkwa hapa yana ukweli?
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwahyo na hawa wenye take home 300k nao walichanga hela za fomu??
Kuna jamaa angu anasemaga vichwa vya walimu ni kama Power bank.... [emoji51]
Leo nilikuwa CLUBHOUSE wataalamu wanasema huenda bwawa la Nyerere likaanza kazi mwezi wa 5 mwakani ,hapa nakazia UNAFIKI wa magazeti ya Tanzania Leo asubuhi[emoji23][emoji23][emoji23]
Mmmmmm, lakini nafikiri wana mbinu zingine za kuishi maana gharama za maisha zimepanda.Baada ya kuona kila leo kuna mijadala ya kuwadharau walimu ikanibidi niingie Google kujua walimu wanalipwa kiasi gani. Nilichokikuta huko ni aibu!!
Yaaani kwa mwezi mwalimu analipwa posho ya mbunge ya kikao kimoja?
Yaani serikali inaona poa kumlipa allowances askari magereza anayeshinda na wafungwa lakini mwalimu asubiri uchafuzi wa SISIEMU?
HII NI MISHAHARA YA WALIMU 2022/2023!!
B1 = Basic 419,000
Cwt = 8,390.
Pension = 20,950.
Income = 46,090.
Insur = 12,570
Take home = 331,000
C1 = Basic 530,000
Cwt = 10,600.
Pension = 26,500.
Income = 58,300.
Insurance = 15,900
Take home = 418,700
D1= Basic 716,000
Cwt = 14,320.
Pension = 35,800.
Income = 78,760.
Insurance = 21,400
Take home = 565,640
E1 = Basic 940,000
Cwt = 18,800.
Pension = 47,000.
Income = 103,400.
Insurance = 28,200
Take home = 742,600
F1 = Basic 1,235,000
Cwt = 24,700.
Pension = 61,750.
Income = 135,850.
Insurance = 37,050
Take home = 975,650
Source
![]()
Tanzania (MISHAHARA) Salary Scale Range 2022/2023 | Check Here
Latest Education and Ajira Portal: Cheki Nafasi za Kazi 2025, Ajira Mpya Tanzania, Interview Tips, Scholarships, NECTA Past Papers, MATOKEO, SELECTIONwww.ajiraleo.com
Ila CWT inakomba pesa za walimu aiseeBaada ya kuona kila leo kuna mijadala ya kuwadharau walimu ikanibidi niingie Google kujua walimu wanalipwa kiasi gani. Nilichokikuta huko ni aibu!!
Yaaani kwa mwezi mwalimu analipwa posho ya mbunge ya kikao kimoja?
Yaani serikali inaona poa kumlipa allowances askari magereza anayeshinda na wafungwa lakini mwalimu asubiri uchafuzi wa SISIEMU?
HII NI MISHAHARA YA WALIMU 2022/2023!!
B1 = Basic 419,000
Cwt = 8,390.
Pension = 20,950.
Income = 46,090.
Insur = 12,570
Take home = 331,000
C1 = Basic 530,000
Cwt = 10,600.
Pension = 26,500.
Income = 58,300.
Insurance = 15,900
Take home = 418,700
D1= Basic 716,000
Cwt = 14,320.
Pension = 35,800.
Income = 78,760.
Insurance = 21,400
Take home = 565,640
E1 = Basic 940,000
Cwt = 18,800.
Pension = 47,000.
Income = 103,400.
Insurance = 28,200
Take home = 742,600
F1 = Basic 1,235,000
Cwt = 24,700.
Pension = 61,750.
Income = 135,850.
Insurance = 37,050
Take home = 975,650
Source
![]()
Tanzania (MISHAHARA) Salary Scale Range 2022/2023 | Check Here
Latest Education and Ajira Portal: Cheki Nafasi za Kazi 2025, Ajira Mpya Tanzania, Interview Tips, Scholarships, NECTA Past Papers, MATOKEO, SELECTIONwww.ajiraleo.com
Acheni kutetea ujinga, hata kama mleta mada pengine ana nia tofauti, ukweli uko wazi kuwa mishahara ya walimu ni midogo sana ukilinganisha na kada zingineMkuu hawezi kuweka kwasababu lengo lake ni kuwadhalilisha walimu...na Kuna kada nyingi tu zinazidiwa mshahara na walimu...
NB:NI MJINGA TU ANAEWADHARAU WALIMU WETU
Utakuwa labda huishi tanzania..... Serikali imeshindwa kila kitu sembuse kulipa mishahara mizuri?Wewe utakuwa na ama matatizo ya afya ya akili au chuki dhidi ya walimu.
Jibu swali hili kisha urejee kwenye coment yako, Kipi kinaanza? "kumlisha vizuri ng'ombe ili atoe maziwa mengi au kuanza kumkamua ndipo alishwe vizuri"?
Maana yake ni nini, walimu walipwe vizuri ndipo wataweza kufanya kazi vizuri na hapo ndipo serikali itaweza kuwa na uhalali wa kuwasimamia kwa uzuri.
Baada ya kuona kila leo kuna mijadala ya kuwadharau walimu ikanibidi niingie Google kujua walimu wanalipwa kiasi gani. Nilichokikuta huko ni aibu!!
Yaaani kwa mwezi mwalimu analipwa posho ya mbunge ya kikao kimoja?
Yaani serikali inaona poa kumlipa allowances askari magereza anayeshinda na wafungwa lakini mwalimu asubiri uchafuzi wa SISIEMU?
HII NI MISHAHARA YA WALIMU 2022/2023!!
B1 = Basic 419,000
Cwt = 8,390.
Pension = 20,950.
Income = 46,090.
Insur = 12,570
Take home = 331,000
C1 = Basic 530,000
Cwt = 10,600.
Pension = 26,500.
Income = 58,300.
Insurance = 15,900
Take home = 418,700
D1= Basic 716,000
Cwt = 14,320.
Pension = 35,800.
Income = 78,760.
Insurance = 21,400
Take home = 565,640
E1 = Basic 940,000
Cwt = 18,800.
Pension = 47,000.
Income = 103,400.
Insurance = 28,200
Take home = 742,600
F1 = Basic 1,235,000
Cwt = 24,700.
Pension = 61,750.
Income = 135,850.
Insurance = 37,050
Take home = 975,650
Source
![]()
Tanzania (MISHAHARA) Salary Scale Range 2022/2023 | Check Here
Latest Education and Ajira Portal: Cheki Nafasi za Kazi 2025, Ajira Mpya Tanzania, Interview Tips, Scholarships, NECTA Past Papers, MATOKEO, SELECTIONwww.ajiraleo.com
Kwanini utumie mapato ya mbunge kama adidu ya rejea? Reference, unalipwa mshahara kutokana na ugumu wa kazi, mbunge anaweza kuwa na miswada, makablasha kama kumi yenye Jurassic miatano kila moja, ya kupitia na kuandaa mchango wake, huwezi kulinganisha na mtu anayesahihisha mitiani!Baada ya kuona kila leo kuna mijadala ya kuwadharau walimu ikanibidi niingie Google kujua walimu wanalipwa kiasi gani. Nilichokikuta huko ni aibu!!
Yaaani kwa mwezi mwalimu analipwa posho ya mbunge ya kikao kimoja?
Yaani serikali inaona poa kumlipa allowances askari magereza anayeshinda na wafungwa lakini mwalimu asubiri uchafuzi wa SISIEMU?
HII NI MISHAHARA YA WALIMU 2022/2023!!
B1 = Basic 419,000
Cwt = 8,390.
Pension = 20,950.
Income = 46,090.
Insur = 12,570
Take home = 331,000
C1 = Basic 530,000
Cwt = 10,600.
Pension = 26,500.
Income = 58,300.
Insurance = 15,900
Take home = 418,700
D1= Basic 716,000
Cwt = 14,320.
Pension = 35,800.
Income = 78,760.
Insurance = 21,400
Take home = 565,640
E1 = Basic 940,000
Cwt = 18,800.
Pension = 47,000.
Income = 103,400.
Insurance = 28,200
Take home = 742,600
F1 = Basic 1,235,000
Cwt = 24,700.
Pension = 61,750.
Income = 135,850.
Insurance = 37,050
Take home = 975,650
Source
![]()
Tanzania (MISHAHARA) Salary Scale Range 2022/2023 | Check Here
Latest Education and Ajira Portal: Cheki Nafasi za Kazi 2025, Ajira Mpya Tanzania, Interview Tips, Scholarships, NECTA Past Papers, MATOKEO, SELECTIONwww.ajiraleo.com
Mwisho wa nini ndugu? Mbona unamtisha?Sawa , ebu. tuone mwisho wenu utakuaje
SGR imefika Kigoma[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2856492
Serikali haina pesa ...
Mkuu, ukiwa na ajira katika sekta ya elimu, ukiwa na mzazi au mlezi, mume au mke, ukiwa na ndugu wa karibu, rafiki ama jamaa wa karibu ambaye ni mwalimu, huwezi kabisa kutumia lugha ngumu na isiyokuwa na staha kama uliyoitumia juu yao.Baada ya kuona kila leo kuna mijadala ya kuwadharau walimu ikanibidi niingie Google kujua walimu wanalipwa kiasi gani. Nilichokikuta huko ni aibu!!
Yaaani kwa mwezi mwalimu analipwa posho ya mbunge ya kikao kimoja?
Yaani serikali inaona poa kumlipa allowances askari magereza anayeshinda na wafungwa lakini mwalimu asubiri uchafuzi wa SISIEMU?
HII NI MISHAHARA YA WALIMU 2022/2023!!
B1 = Basic 419,000
Cwt = 8,390.
Pension = 20,950.
Income = 46,090.
Insur = 12,570
Take home = 331,000
C1 = Basic 530,000
Cwt = 10,600.
Pension = 26,500.
Income = 58,300.
Insurance = 15,900
Take home = 418,700
D1= Basic 716,000
Cwt = 14,320.
Pension = 35,800.
Income = 78,760.
Insurance = 21,400
Take home = 565,640
E1 = Basic 940,000
Cwt = 18,800.
Pension = 47,000.
Income = 103,400.
Insurance = 28,200
Take home = 742,600
F1 = Basic 1,235,000
Cwt = 24,700.
Pension = 61,750.
Income = 135,850.
Insurance = 37,050
Take home = 975,650
Source
![]()
Tanzania (MISHAHARA) Salary Scale Range 2022/2023 | Check Here
Latest Education and Ajira Portal: Cheki Nafasi za Kazi 2025, Ajira Mpya Tanzania, Interview Tips, Scholarships, NECTA Past Papers, MATOKEO, SELECTIONwww.ajiraleo.com
Mimi naishi Tanzania, nilikujibu kwa kuwa ulitaka kuhalalisha kuwa wanalipwa kiasi kidogo kwa kuwa hawajitumi ndiyo maana nikakupa mfano kuwa je ng'ombo huanza kukamuliwa kabla ya kulishwa vizuri?Utakuwa labda huishi tanzania..... Serikali imeshindwa kila kitu sembuse kulipa mishahara mizuri?
Tusubiri kwanza vyuo vyote vimalize kumpa tuzo ya heshima.
Dah!! Kwahiyo wale jamaa zangu wa machimbo wanaopakia mawe ya ujenzi kwenye trucks wanalipwa bilioni ngapi??Kwanini utumie mapato ya mbunge kama adidu ya rejea? Reference, unalipwa mshahara kutokana na ugumu wa kazi, mbunge anaweza kuwa na miswada, makablasha kama kumi yenye Jurassic miatano kila moja, ya kupitia na kuandaa mchango wake, huwezi kulinganisha na mtu anayesahihisha mitiani!
Hizi scale ni za 2022/2023 kuna scale mpya za 2023/2024 kama ifuatavyoBaada ya kuona kila leo kuna mijadala ya kuwadharau walimu ikanibidi niingie Google kujua walimu wanalipwa kiasi gani. Nilichokikuta huko ni aibu!!
Yaaani kwa mwezi mwalimu analipwa posho ya mbunge ya kikao kimoja?
Yaani serikali inaona poa kumlipa allowances askari magereza anayeshinda na wafungwa lakini mwalimu asubiri uchafuzi wa SISIEMU?
HII NI MISHAHARA YA WALIMU 2022/2023!!
B1 = Basic 419,000
Cwt = 8,390.
Pension = 20,950.
Income = 46,090.
Insur = 12,570
Take home = 331,000
C1 = Basic 530,000
Cwt = 10,600.
Pension = 26,500.
Income = 58,300.
Insurance = 15,900
Take home = 418,700
D1= Basic 716,000
Cwt = 14,320.
Pension = 35,800.
Income = 78,760.
Insurance = 21,400
Take home = 565,640
E1 = Basic 940,000
Cwt = 18,800.
Pension = 47,000.
Income = 103,400.
Insurance = 28,200
Take home = 742,600
F1 = Basic 1,235,000
Cwt = 24,700.
Pension = 61,750.
Income = 135,850.
Insurance = 37,050
Take home = 975,650
Source
![]()
Tanzania (MISHAHARA) Salary Scale Range 2022/2023 | Check Here
Latest Education and Ajira Portal: Cheki Nafasi za Kazi 2025, Ajira Mpya Tanzania, Interview Tips, Scholarships, NECTA Past Papers, MATOKEO, SELECTIONwww.ajiraleo.com
Umesahau na Tozo za sim badoMaji nimeyatia wapi?? Sijawakejeri walimu kabisa nisome vizuri. Kama umeishi Dar es Salaam, ukiangalia gharama za usafiri let say boda kutoka gheto uliko panga ni 1000 mpaka kituo cha daladala x 2 [nenda rudi) + 3,000 ya dalala jumlisha 2000 boda kituoni mpaka shuleni chai 2,000 cha mchana 3,000
Jumla X siku za kazi then rudi kwenye swali langu la msingi.
Hapa usiku bado
Kodi bado
Umeme bado
Mavazi
Vocha
Nk
Wewe siyo mwl bali ni mpiga "tarumbeta" ama wa serikali au chama cha mapinduzi.Mkuu, ukiwa na ajira katika sekta ya elimu, ukiwa na mzazi au mlezi, mume au mke, ukiwa na ndugu wa karibu, rafiki ama jamaa wa karibu ambaye ni mwalimu, huwezi kabisa kutumia lugha ngumu na isiyokuwa na staha kama uliyoitumia juu yao.
Hii ni mojawapo ya ajira nyeti mno hapa nchini. Akili na elimu yako yote imechakatwa kupitia mikono yao. Huwezi kupita katika daraja, kisha ukaanza kuridharau kutokana aina ya muundo wake.
Kumbuka ipo karma ambayo itakuandama katika maisha yako yote hapa duniani kwa kukosa utu na shukurani. Hata kama kuna baadhi ya walimu wamekukwaza kwa namna moja ama nyingine, haiewzi kuwa ni sababu ya wewe kuhalalisha kuwabagaza walimu wote nchini Tanzania.
Mkuu!!wapumbavu, Wajinga, waoga, binafisi watoto wangu nimewapeleka Kusoma Kenya, kule wanajifunza ujasiri, Huku Tanzania wangefundishwa uoga na hawa walimu wetu,
Na hiyo F hadi ufike una miaka 10,13 hadi 15 kazini...Yaani mwalimu wa daraja F anakalishwa chini na mlinzi wa Bandari.