Walimu wa Tanzania ndio maana wanadharauliwa na kila mtu

Walimu wa Tanzania ndio maana wanadharauliwa na kila mtu

Sasa unakataa? Askari ukiwakata makato yale ya lazima yote -(HESLB, PAYE, PSSSF, SACCOS) mshahara haipungui 300,000 (cheo kidogo kabisa) jumlisha posho ya chakula 300,000 na posho ya vinywaji 100,000,, anapokea 700,000+ kwa mwezi kiujumla. Hapo hujaweka +15% kama pango +15% kama risk allowance. Bado hujaweka professional allowance.

Kinachowatesa askari ni ulevi, ngono na mikopo isiyo na mpangilio

Tafuta askari yeyote, magereza, polisi, zimamoto, uhamiaji.
JWTZ wanakula zaidi ya hapo kwa cheo hicho hicho cha chini kabisa
Just imagine hizi hela analipwa Zimamoto na uokoaji mwenye kitambi hata kukimbia hawezi, hana hata fire extinguisher [emoji3462] [emoji91] [emoji15] achilia mbali gari la zima moto kabisaa.


Afu mwalimu Regina wa Shule ya msingi Kazulamimba kule Kigoma anakula laki 3 na Vumbi la chaki likiambatana na vumbi harisi la Kigoma.

Afu kuna Great Thinker hapo juu kasema walimu wanalipwa pesa nyingi na hawana kazi ya kufanya!!
 
Kipato kidogo kinapelekea kupata chakula dhaifu na hivyo kuathili afya ya akili, suala la TAHOSA kuchanga mamilioni ili mama achukuwe fomu zni mfano mzuri, kwanini sio TRA au BOT?
 
Baada ya kuona kila leo kuna mijadala ya kuwadharau walimu ikanibidi niingie Google kujua walimu wanalipwa kiasi gani. Nilichokikuta huko ni aibu!!

Yaaani kwa mwezi mwalimu analipwa posho ya mbunge ya kikao kimoja?

Yaani serikali inaona poa kumlipa allowances askari magereza anayeshinda na wafungwa lakini mwalimu asubiri uchafuzi wa SISIEMU?

HII NI MISHAHARA YA WALIMU 2022/2023!!

B1 = Basic 419,000

Cwt = 8,390.
Pension = 20,950.
Income = 46,090.
Insur = 12,570
Take home = 331,000

C1 = Basic 530,000
Cwt = 10,600.
Pension = 26,500.
Income = 58,300.
Insurance = 15,900
Take home = 418,700

D1= Basic 716,000

Cwt = 14,320.
Pension = 35,800.
Income = 78,760.
Insurance = 21,400
Take home = 565,640

E1 = Basic 940,000

Cwt = 18,800.
Pension = 47,000.
Income = 103,400.
Insurance = 28,200
Take home = 742,600

F1 = Basic 1,235,000

Cwt = 24,700.
Pension = 61,750.
Income = 135,850.
Insurance = 37,050
Take home = 975,650

Source
Haitasaidia Machadema kupata kura.Kama unaona ni pesa ndogo acha kauze matunda 🤪🤪
 
Hamna mkuu ,Mimi I'm the outside watcher and nothing else .

In this game of life we have a lot of tjing to offer than negativity or to belittle someone's else.
Are we the one who paying belittled (according to you) low wages??

If you're among of national cake consumers, please stop belittling our beloved belittled!!
 
Kipato kidogo kinapelekea kupata chakula dhaifu na hivyo kuathili afya ya akili, suala la TAHOSA kuchanga mamilioni ili mama achukuwe fomu zni mfano mzuri, kwanini sio TRA au BOT?
TAHOSA ni sawa na Baba Levo. Anamuita Diamond Platinumz baba wakati kamzidi miaka zaidi ya 10.
 
Ila waalimu wa nchi hii wanaandamwa kila kona aisee, Japo nadhani matatizo ya waalimu nchi hii kwa kiasi kikubwa yamesababisha na chama chao CWT hiki chama ukikikazia jicho sana utagundua hakipo kwa ajili ya maslahi ya waalimu bali wanasiasa. Chama hiki ni kama kipo kisiasa na kinatumika kisiasa. Waalimu wetu hawaheshimiki wananyanyaswa hadi na makarani wa masjara kwenye Halmashauri lakini nani anajali na chama kipo tu.
 
Wacha wadharauliwe tu kwasababu ni wassssssssenge. Wao ndo wanatumikaga kuiba kura za chadema. Walimu wengi (sio wote) hawana akili wameridhika na laki nne zao. Ni wasssssenge qumamaqe zao
 
Kwani wao ndio wanajilipa hiyo mishahara? Tumia akili kufikiri. Hiyo inatokana na hali ya uchumi wa nchi yetu. Hakuna anayemdharau mwalimu labda mpumbavu km wewe. Sisi tunawapenda na kuwaheshimu
Tozo zinaenda wapi
 
Walimu sio watu wa kutetea, ni mara100 kutetea hata yule Mamba kule Rukwa, Walimu ni kundi limejaa wapumbavu, Wajinga, waoga, binafisi watoto wangu nimewapeleka Kusoma Kenya, kule wanajifunza ujasiri, Huku Tanzania wangefundishwa uoga na hawa walimu wetu, Pole yao ambao watoto wao wanafundishwa na aina hii ya walimu na kikubwa wanacho fanya wana transfer ujinga ule kwenda kwa watoto
Aminia
 
Mimi ni mwanachi Wa kawaida Ila nimeamua kutoa maoni kwa lengo la kuijenga fikra Chanya juu ya mtazamo Wa heshima na dharau. Kuhusu taaluma ya MTU au watu .

Sasa wewe uwasilishaji wako Wa hoja umejaa kejeri ,dharau na kutweza utu Wa MTU.

Unabidi kubalidilika ili kuwa a complete human being


Are we the one who paying belittled (according to you) low wages??

If you're among of national cake consumers, please stop belittling our beloved belittled!!
 
Walimu wa TZ hata hiyo mishahara bado ni mikubwa.....hawafanyi kazi ndio maana kiwango cha elimu kimeshuka kutokana na incopetence yao
Wewe utakuwa na ama matatizo ya afya ya akili au chuki dhidi ya walimu.

Jibu swali hili kisha urejee kwenye coment yako, Kipi kinaanza? "kumlisha vizuri ng'ombe ili atoe maziwa mengi au kuanza kumkamua ndipo alishwe vizuri"?

Maana yake ni nini, walimu walipwe vizuri ndipo wataweza kufanya kazi vizuri na hapo ndipo serikali itaweza kuwa na uhalali wa kuwasimamia kwa uzuri.
Walimu wa TZ hata hiyo mishahara bado ni mikubwa.....hawafanyi kazi ndio maana kiwango cha elimu kimeshuka kutokana na incopetence yao
 
Binafsi siwatetei walimu, natetea Taifa!! Mwalimu anayelipwa Tsh laki 3 hawezi mfundisha mtoto Kujitegemea!! Tunaendelea kuwa Taifa la wanafiki nchi hii.
Sasa kama yeye ameridhika unataka asaidiweje? Wao si ndo wanapambaniaga wezi wa ccm kubaki madarakani. Walimu ni wapumbavu, waoga, washamba, wamelaaniwa, wajinga, wahuni, maskini nakadhalika
 
Ila waalimu wa nchi hii wanaandamwa kila kona aisee, Japo nadhani matatizo ya waalimu nchi hii kwa kiasi kikubwa yamesababisha na chama chao CWT hiki chama ukikikazia jicho sana utagundua hakipo kwa ajili ya maslahi ya waalimu bali wanasiasa. Chama hiki ni kama kipo kisiasa na kinatumika kisiasa. Waalimu wetu hawaheshimiki wananyanyaswa hadi na makarani wa masjara kwenye Halmashauri lakini nani anajali na chama kipo tu.
Mwisho wa dharau zoote ni kipato bora!! Mwalimu utoke Kabare mpakani na Burundi mpaka ufike Halmaushauri ya Kibondo kwa Baiskeri, nywere zishakua za mzungu, umevaa Tshirt ya Ccm (hela ya kununua nguo hawana) unadhani karani anayekaa mjini atakuheshimu??

Tusiwalaumu makarani, walimu walipwe posho katikati ya mwezi maana kazi yao ngumu!!
 
Kipato cha watanzania walio wengi hakifiki 300,000 kwa mwezi. Chukua wafanya biashara za kawaida, wakulima wadogo, wafugaji wa kawaida nk.
Kwa ujumla umasikini ni wa watanzania wakiwemo walimu.
Labda tutafute suluhisho...
wabunge walipwe sawa na walimu
 
Ila waalimu wa nchi hii wanaandamwa kila kona aisee, Japo nadhani matatizo ya waalimu nchi hii kwa kiasi kikubwa yamesababisha na chama chao CWT hiki chama ukikikazia jicho sana utagundua hakipo kwa ajili ya maslahi ya waalimu bali wanasiasa. Chama hiki ni kama kipo kisiasa na kinatumika kisiasa. Waalimu wetu hawaheshimiki wananyanyaswa hadi na makarani wa masjara kwenye Halmashauri lakini nani anajali na chama kipo tu.
CWT pamoja na CCM ndio hasa mashetani Kwa walimu
 
Back
Top Bottom