Zero 2 Hero
JF-Expert Member
- Dec 16, 2012
- 532
- 1,072
Kada nyingi zilizochini ya tamisemi zilifutiwa posho na kuongezewa mshahara.Huu ujinga (sina nendo mbadala) ndo mnauotumia kuwadanganyia walimu (alianza Rais Mkapa kwa kufuta Teaching allowance) eti kada flani wanalipwa kiasi kidogo kuliko nyinyi!!
Twende sawa
Tuseme Askari anayeanza kazi analipwa mshahara wa Tsh 400,000/= baada ya makato anabaki na 360,000 let say,
Baada ya hapo katikati ya mwezi anapewa laki 3 isiyo na makato kama posho, laki 1 ya vinywaji na anakaa line police. Utamfananisha na mwalimu sijui C hapo juu??
Njoo na hesabu sio siasa.
#Hatuwakejeli walimu, wananyonywa
Hapo mwanzo walikuwa wanapewa mshahara mdogo (basic) kuliko huo pamoja na posho. Ikaja kuonekana kuwa kwenye Mafao wanapata kidogo sana. Ikabidi posho ziunganishwe na mshahara kuibust basic salary ili kukipandisha kiinua mgongo.
N.B
Wanasiasa pamoja na watunga sera huwa wanadai kada yenye wafanyakazi wengi zaidi ni waalimu hivyo ukiwaongezea kidogo tu bajeti inshoot high, hivyo ni rahisi kuongeza kwenye kada yenye watu wachache mf wabunge, mawaziri, wakurugenzi, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakuu wa idara n.k kuliko kuongeza kwenye kada yenye watu wengi