Walimu wa Tanzania ndio maana wanadharauliwa na kila mtu

Walimu wa Tanzania ndio maana wanadharauliwa na kila mtu

Hivyo wewe umefanya research nchi nzima kada ya ualimu ndiyo yenye hali ngumu ya maisha
Soma main thread wapi nilikofanya research yangu na nilivyo deliver conclusion yangu!! Rhetorical questions hizi ni za kupuuuzaaa
 
Afya wana posho, night na overtime, Kilimo wanakafanyia kazi vijijini, means wanakula mashambani na wana marupurupu kwenye pembejeo na viwatirifu pamoja na posho za wakulima, Askari, wana posho ya laki 3 ambayo haikatwi kodi (sawa na mshahara wa mwalimu), posho ya makazi, posho ya vinywaji, posho ya taaluma, (meningine dhambi) magereza vilevile nao ni askari.


Bado unataka ulinganishe na walimu wanaouza kashata shuleni??

We kweli Kifuru Kutu.
Anyways,tufanye walimu ni wapumbavu je hao askari wamefanya nini kutetea maslahi Yao Hadi wanalipwa hivi?ukitumia kichwa kufikri na sio hicho kiungo kingine utagundua kuwa mwl hapaswi kulaumiwa Bali serikali ambayo haijali elimu ya watoto wenu au jamaa zako.ikiwa unaweza kiwapeleka sijui Kenya Kuna shangazi yako atawaleta huku kwa wapumbavu watafunsishwa na hao wakenya wakirudi wataambukizwa upumbavu pia
 
Baada ya kuona kila leo kuna mijadala ya kuwadharau walimu ikanibidi niingie Google kujua walimu wanalipwa kiasi gani. Nilichokikuta huko ni aibu!!

Yaaani kwa mwezi mwalimu analipwa posho ya mbunge ya kikao kimoja?

Yaani serikali inaona poa kumlipa allowances askari magereza anayeshinda na wafungwa lakini mwalimu asubiri uchafuzi wa SISIEMU?

HII NI MISHAHARA YA WALIMU 2022/2023!!

B1 = Basic 419,000

Cwt = 8,390.
Pension = 20,950.
Income = 46,090.
Insur = 12,570
Take home = 331,000

C1 = Basic 530,000
Cwt = 10,600.
Pension = 26,500.
Income = 58,300.
Insurance = 15,900
Take home = 418,700

D1= Basic 716,000

Cwt = 14,320.
Pension = 35,800.
Income = 78,760.
Insurance = 21,400
Take home = 565,640

E1 = Basic 940,000

Cwt = 18,800.
Pension = 47,000.
Income = 103,400.
Insurance = 28,200
Take home = 742,600

F1 = Basic 1,235,000

Cwt = 24,700.
Pension = 61,750.
Income = 135,850.
Insurance = 37,050
Take home = 975,650

Source
U
Baada ya kuona kila leo kuna mijadala ya kuwadharau walimu ikanibidi niingie Google kujua walimu wanalipwa kiasi gani. Nilichokikuta huko ni aibu!!

Yaaani kwa mwezi mwalimu analipwa posho ya mbunge ya kikao kimoja?

Yaani serikali inaona poa kumlipa allowances askari magereza anayeshinda na wafungwa lakini mwalimu asubiri uchafuzi wa SISIEMU?

HII NI MISHAHARA YA WALIMU 2022/2023!!

B1 = Basic 419,000

Cwt = 8,390.
Pension = 20,950.
Income = 46,090.
Insur = 12,570
Take home = 331,000

C1 = Basic 530,000
Cwt = 10,600.
Pension = 26,500.
Income = 58,300.
Insurance = 15,900
Take home = 418,700

D1= Basic 716,000

Cwt = 14,320.
Pension = 35,800.
Income = 78,760.
Insurance = 21,400
Take home = 565,640

E1 = Basic 940,000

Cwt = 18,800.
Pension = 47,000.
Income = 103,400.
Insurance = 28,200
Take home = 742,600

F1 = Basic 1,235,000

Cwt = 24,700.
Pension = 61,750.
Income = 135,850.
Insurance = 37,050
Take home = 975,650

Source
Umetafiti sahihi
 
Just imagine hizi hela analipwa Zimamoto na uokoaji mwenye kitambi hata kukimbia hawezi, hana hata fire extinguisher [emoji3462] [emoji91] [emoji15] achilia mbali gari la zima moto kabisaa.


Afu mwalimu Regina wa Shule ya msingi Kazulamimba kule Kigoma anakula laki 3 na Vumbi la chaki likiambatana na vumbi harisi la Kigoma.

Afu kuna Great Thinker hapo juu kasema walimu wanalipwa pesa nyingi na hawana kazi ya kufanya!!
Very sad 😢 nimeumia sanaaa chozi limenibubujika
 
Hizi scale ni za 2022/2023 kuna scale mpya za 2023/2024 kama ifuatavyo
B1 ni 479,000
C1 ni 590,000
D1 ni 771,000
Hii sahihi kabisa japo ni bado tupige kelele ipande au wafute michango ya bima iwe Bure na warejeshe ata teaching allowance
 
Mhhhh mhhhh dr Samia rais wetu ona hii wamechangishana pesa ya fomu Yako awa watu kutoa ni moyo na si utajiri laki Moja take home huyu kweli atakua na mood ya kazi japo kweli kakopa lakini hako ka basic SI Cha mlinzi wa kampuni ya gada world asiye na hata cheti Cha kidato Cha nne na aliyelapa mafunzo ya mgambo
 
M
Baada ya kuona kila leo kuna mijadala ya kuwadharau walimu ikanibidi niingie Google kujua walimu wanalipwa kiasi gani. Nilichokikuta huko ni aibu!!

Yaaani kwa mwezi mwalimu analipwa posho ya mbunge ya kikao kimoja?

Yaani serikali inaona poa kumlipa allowances askari magereza anayeshinda na wafungwa lakini mwalimu asubiri uchafuzi wa SISIEMU?

HII NI MISHAHARA YA WALIMU 2022/2023!!

B1 = Basic 419,000

Cwt = 8,390.
Pension = 20,950.
Income = 46,090.
Insur = 12,570
Take home = 331,000

C1 = Basic 530,000
Cwt = 10,600.
Pension = 26,500.
Income = 58,300.
Insurance = 15,900
Take home = 418,700

D1= Basic 716,000

Cwt = 14,320.
Pension = 35,800.
Income = 78,760.
Insurance = 21,400
Take home = 565,640

E1 = Basic 940,000

Cwt = 18,800.
Pension = 47,000.
Income = 103,400.
Insurance = 28,200
Take home = 742,600

F1 = Basic 1,235,000

Cwt = 24,700.
Pension = 61,750.
Income = 135,850.
Insurance = 37,050
Take home = 975,650

Source
Mkuu leta pia Salary Scale za upande za kada zote tulinganishe.


Mishahara ya Serikali kwenye kada karibia zote tuu inalingana ama haipishana sana ila maslai ndio yanafanya kada hii iwe nzuri ile mbaya mara nyingine izarulike.


Mshahara wa Trafic aliyemliza pale CCP Moshi na kupangiwa kituo ch kazi Igunga mshahara wake ni sh ngap? Ni milion mbili?
 
M

Mkuu leta pia Salary Scale za upande za kada zote tulinganishe.


Mishahara ya Serikali kwenye kada karibia zote tuu inalingana ama haipishana sana ila maslai ndio yanafanya kada hii iwe nzuri ile mbaya mara nyingine izarulike.


Mshahara wa Trafic aliyemliza pale CCP Moshi na kupangiwa kituo ch kazi Igunga mshahara wake ni sh ngap? Ni milion mbili?
Pitia komenti za wadau usikurupuke
 
Mhhhh mhhhh dr Samia rais wetu ona hii wamechangishana pesa ya fomu Yako awa watu kutoa ni moyo na si utajiri laki Moja take home huyu kweli atakua na mood ya kazi japo kweli kakopa lakini hako ka basic SI Cha mlinzi wa kampuni ya gada world asiye na hata cheti Cha kidato Cha nne na aliyelapa mafunzo ya mgambo
We angalia utitiri wa makato hapo
 
Walimu sio watu wa kutetea, ni mara100 kutetea hata yule Mamba kule Rukwa, Walimu ni kundi limejaa wapumbavu, Wajinga, waoga, binafisi watoto wangu nimewapeleka Kusoma Kenya, kule wanajifunza ujasiri, Huku Tanzania wangefundishwa uoga na hawa walimu wetu, Pole yao ambao watoto wao wanafundishwa na aina hii ya walimu na kikubwa wanacho fanya wana transfer ujinga ule kwenda kwa watoto
Chanzo ni kwamba makanisa ndio yenye vyuo vingi vya ualimu haya ndio matunda yake
 
Chanzo ni kwamba makanisa ndio yenye vyuo vingi vya ualimu haya ndio matunda yake
Unakoelea ndugu Malaria utafungua chuo cha magaidi ndugu yetu!! Punguza unaa kwenye dini. Mbona ndugu yako katika imani Faiza Four 10 kabadilika??

Wewe ni Muslim kwa sababu ulizaliwa na waislam tu basi
 
Back
Top Bottom