Walimu wa Tanzania ndio maana wanadharauliwa na kila mtu

Walimu wa Tanzania ndio maana wanadharauliwa na kila mtu

Nikweli kabisa Yani, jamaa angeleta mada mhimu jinsi gani tujadiliane kuikwamua kada hii kutokana na unyonyaji unaoendelea.
Context yangu ime base kwenye mijadala ovu juu ya walimu hapa JamiiForums
 
Ninyi mavuvuzela wa ccm au serikali ndiyo mnaowadharau walimu, mleta mada yeye hajawadharau bali amerejea mada nyingi humu jf zilizokuwa zikiwadharau.

Tukiachana na hilo, mleta mada ameweka chanzo cha dharau hizo, nilidhani ni vizuri kujikita kwenye chanzo kama mleta mada alivyodhamiria kinyume chake unakimbia mada halisi.

Ni kweli kuwa serikali inawadharau walimu wala hili halina ubishi, Je wewe hapoa ulipo ungelipwa sh 300000 na familia yako ungeweza kuishi?
Asante saana mkuu, wachangiaji wengi wanakwepa ukweli uliomo kwenye uzi wanakimbilia kuniraani mimi as if mimi kuna sehemu nimewakashifu walimu!! Wanasoma kichwa cha thread wanakimbilia kukoment.
 
Nchi ilikuwa na marais wawili tu. Nyerere na Magu. Kwisha. Huwez ukaona nchi inawanyonyaji ndani humohumo. Umekalia kitu unashindwa kimutumia kichwa. Mwinyi alidanganywa akaondoa, kikwete hakuifikiria kabisa aliangalia tu. Ninawahakikishia ukiona mungu hajakuchukua mapema, ujue anakupa muda wa kurekebisha. Only nyerere and magufuri. Otherwise tunakaa kimya kusubiri atokee. Mengine kuhusu kutumika wkt wa uchaguz hayo ni matokeo kuwaingiza watoto wa ndg zao waliofeli kufundisha ndio wawatumiao hao kwenye kazi zao.

Tena siku hizi benki zimeamua kujichotea nafasi. Kilichofutwa na mwingi, benk wanakifanya kwa jina la benk advance.

Kuna walimu wa nguvu waliofaulu enzi hizo wapo darasani mchana baada ya kazi, kwenye biashara. Wanafanya kazi na biashara. Hawana njaa zinazoongelewa hapa.

Waliamua kukaa kimya
Muda wa mwalimu ni limited, saa 2 mpaka saa 6 masomo ya asubuhi, 7 mpaka 8 lunch, 8 mpaka 10½ masomo ya jioni!! Hao walimu wanaofanya bihashara wanafanya labda ya usiku
 
Marekebisho kidogo
Ni kweli posho ya chakula (ration) ni 300k lakini huwa inamegwa 50% inabaki kikosini kwa ajili ya chakula wanachokula wakiwa kazini/kikosini. Ule usile huwa inakatwa
Hivyo inayoingia kwenye account huwa ni 150k

Pia posho ya vinywaji haitolewi kila mwezi bali inatolewa kwa mzunguko kwa kupokezana mfano mwezi wa 1 jwtz wakipewa polisi hawawezi kupewa. Nadhani inachukua miezi 3 ama 4 mzunguko kumrudia muhusika
Magereza hawali kambini mzee posho wa napewa yote 300,000 na polisi pia,,,posho ya vinywaji hutoka kila baada ya miezi 3 kwa majeshi yote ambayo ni tsh300,000/
 
Wacha wadharauliwe tu kwasababu ni wassssssssenge. Wao ndo wanatumikaga kuiba kura za chadema. Walimu wengi (sio wote) hawana akili wameridhika na laki nne zao. Ni wasssssenge qumamaqe zao
Mkuu, kama kuna mwalimu alikupora mke, alikunyang'anya demu, alikuchukulia dada, alikutosa , anagonga binti yako, au bi mkubwa wako nashauri mtafute uongee nae mmalize tofauti zenu vinginevyo atazidi kukukera na kukusababishia maumivu kila unapomuona sababu naona hii kwako ni chuki ambayo inakutafuna. NB: Kusema kwamba waliiba kura za CHADEMA ni ku- justify upuuzi, hivi wakati agombea wa CHADEMA wanaenguliwa nchi nzima walimu walihusikaje! Kama hawa CHADEMA wanashindwa kuzuia mkurugenzi kuengua mgombea unafikiria wanaweza nini.
 
Wanaokaa nyumba za mabati wengi wao walishamaliza muda wao wa kisheria wa kukaa kambini ila wanaendelea kukaa humo kwa sababu za kiuchumi
Unavyosema sababu za kiuchumi una maana gani? Askari mwisho wa mwezi anafunga hesabu ya 700,000+ huyo ni askari mpya cheo kidogo kabisa. Kwahiyo wakikaa kwenye mabati na hata wasipokaa 700k kwa mwezi ni lazima.
Kinachowaua ni mikopo, ulevi na ngono. Sasa ukisema anakaa kwenye mabati sababu ya uchumi mdogo sijui hapo unamaana gani. Hata akikaa kwenye makuti, mwisho wa mwezi 700+ mkononi
 
Unavyosema sababu za kiuchumi una maana gani? Askari mwisho wa mwezi anafunga hesabu ya 700,000+ huyo ni askari mpya cheo kidogo kabisa. Kwahiyo wakikaa kwenye mabati na hata wasipokaa 700k kwa mwezi ni lazima.
Kinachowaua ni mikopo, ulevi na ngono. Sasa ukisema anakaa kwenye mabati sababu ya uchumi mdogo sijui hapo unamaana gani. Hata akikaa kwenye makuti, mwisho wa mwezi 700+ mkononi
Hii tunaiitaje hii???
tapatalk_1686263263409.jpg
 
Kwani wao ndio wanajilipa hiyo mishahara? Tumia akili kufikiri. Hiyo inatokana na hali ya uchumi wa nchi yetu. Hakuna anayemdharau mwalimu labda mpumbavu km wewe. Sisi tunawapenda na kuwaheshimu
Wewe ndio Mpumbavu Mbunge anayelipwa Mil 16 +Posho + Mafuta ya gari+Fedha ya Jimbo yeye hali ya Uchumi haimuhusu? NCHI ina wajinga wengi sana Kama wewe

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Walimu sio watu wa kutetea, ni mara100 kutetea hata yule Mamba kule Rukwa, Walimu ni kundi limejaa wapumbavu, Wajinga, waoga, binafisi watoto wangu nimewapeleka Kusoma Kenya, kule wanajifunza ujasiri, Huku Tanzania wangefundishwa uoga na hawa walimu wetu, Pole yao ambao watoto wao wanafundishwa na aina hii ya walimu na kikubwa wanacho fanya wana transfer ujinga ule kwenda kwa watoto
Pamoja na ukweli kuwa walimu wanalipwa pesa ndogo ila Nimecheka hapo Tu ulipo sema watoto wako umewapeleka kusoma Kenya , Yani ndio nimekuona we NI kiazi mbatata 😂😂😂😂
 
Washaanza kabla ya 2025




UMOJA wa Walimu Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania
(TAHOSSA), wamechangishana kiasi cha shilingi milioni 1.6 kwaajili ya kumsaidia Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kuchukua fomu ya kugombea urais kwa mwaka 2025 ambao wameuita kama kapu la mama.

View attachment 2856020
Wajinga ndio waliwao wanamchangia mtu anayelipwa Milioni 100 mshahara kwa Mwezi

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Afya wana posho, night na overtime, Kilimo wanakafanyia kazi vijijini, means wanakula mashambani na wana marupurupu kwenye pembejeo na viwatirifu pamoja na posho za wakulima, Askari, wana posho ya laki 3 ambayo haikatwi kodi (sawa na mshahara wa mwalimu), posho ya makazi, posho ya vinywaji, posho ya taaluma, (meningine dhambi) magereza vilevile nao ni askari.


Bado unataka ulinganishe na walimu wanaouza kashata shuleni??

We kweli Kifuru Kutu.
Mwalimu mwenye focus ataenda maeneo ya mashambani huko ataishi kama mwekezaji. Anyang'ang'ana mjini ndio ana shida. Walimu wenye ufahsmu huu ni matajiri hasa.
 
Mwalimu mwenye focus ataenda maeneo ya mashambani huko ataishi kama mwekezaji. Anyang'ang'ana mjini ndio ana shida. Walimu wenye ufahsmu huu ni matajiri hasa.
Huu mtazamo siyo sahihi. Zungumzia ualimu kama kada zingine za kazi saerikalini, je nao wako hivyo?

Unawataka wote waende vijijini je hapa mjini wanafunzi wafundishwe na nani?
 
Hapa tunazungumza swala la kitaifa sio la kijiji chenu!! Mwenyewe na ishi kijijini na kipato changu ni cha kawaida lakini hapo kabla au wakata wa dharura za hapa na pale naenda kwenye miji na majiji. Niambie ukweli unamlipaje mwalimu wa jiji mshahara mdogo kuliko boom mwanafunzi wa chuo anayeishi hostel na kula cafeteria??

Hivi tuko serious na ELIMU YETU??
Hivyo wewe umefanya research nchi nzima kada ya ualimu ndiyo yenye hali ngumu ya maisha
 
Back
Top Bottom