WALIMU WAHESHIMIWE: Kila anayeilaumu serikali kuhusu nyongeza ya mshahara anabambikizwa kuwa mwalimu, tabia hii ikome!

WALIMU WAHESHIMIWE: Kila anayeilaumu serikali kuhusu nyongeza ya mshahara anabambikizwa kuwa mwalimu, tabia hii ikome!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Walimu wanabezwa sana, hii siyo sawa! Kila anayelalamika anabambikizwa kuwa mwalimu kana kwamba ualimu ni kazi ya kudharauliwa! Sisemi kuwa walimu hawajalalamikia hii nyongeza ya ajabu ajabu ya mshahara, ila siyo kweli kuwa watumishi wengine hawalalamiki.

Tunajenga taswira kuwa ualimu ni kazi ya hadhi ya chini yenye kipato kidogo kuliko kazi zingine zote wakati si kweli! Nasema hii tabia ikome na ikome kabisa!! Kutokuheshimu walimu ni sawa na kutokuheshimu wazazi, matokeo yake ni laana tu.
 
walimu mnadharauliwa na jobless sababu mnapigana nao vikumbo kwenye tuajira twa sensa,
hamtaheshimika hata mfanyeje
 
Kuna mwalimu mmoja wa shule ya msingi ni rafiki yangu ana mwaka wa 6 kazini ila kapanga chumba kimoja yeye na familia yake,amekigawa chumba kwa pazia kubwa watoto wanalala upande mmoja na yeye na mkewe wanalala upande wa pili,KWA KWELI SERIKALI IWAKUMBUKE HAWA WATU wanapitia magumu sana
 
Kwanza ukiona unalalamikiwa sana, kaa chini ujitafakari pili, kupitia viongozi wenu mnadharaulika sana, mfano umeona msemaji wa serikali anasema watakutana na uongozi wenu kuangalia issue ya kikokotoo cha mshahara, wakirudi kutoka huko sawa na maji kwenye mtungi and hamuwezi kufanya kitu.
 
walimu mnadharauliwa na jobless sababu mnapigana nao vikumbo kwenye tuajira twa sensa,
hamtaheshimika hata mfanyeje
Bila shaka wewe utakua jobless! Na umekosa mpaka Sensa.
 
Walimu wanabezwa sana, hii siyo sawa! Kila anayelalamika anabambikizwa kuwa mwalimu kana kwamba ualimu ni kazi ya kudharauliwa! Sisemi kuwa walimu hawajalalamikia hii nyongeza ya ajabu ajabu ya mshahara, ila siyo kweli kuwa watumishi wengine hawalalamiki.

Tunajenga taswira kuwa ualimu ni kazi ya hadhi ya chini yenye kipato kidogo kuliko kazi zingine zote wakati si kweli! Nasema hii tabia ikome na ikome kabisa!! Kutokuheshimu walimu ni sawa na kutokuheshimu wazazi, matokeo yake ni laana tu.
Unaanzaje kuwaheshim hawa walimu ambao wanakubali kuchapwa viboko na Mkuu wa wilaya[emoji23][emoji23]
 
Walimu wanabezwa sana, hii siyo sawa! Kila anayelalamika anabambikizwa kuwa mwalimu kana kwamba ualimu ni kazi ya kudharauliwa! Sisemi kuwa walimu hawajalalamikia hii nyongeza ya ajabu ajabu ya mshahara, ila siyo kweli kuwa watumishi wengine hawalalamiki.

Tunajenga taswira kuwa ualimu ni kazi ya hadhi ya chini yenye kipato kidogo kuliko kazi zingine zote wakati si kweli! Nasema hii tabia ikome na ikome kabisa!! Kutokuheshimu walimu ni sawa na kutokuheshimu wazazi, matokeo yake ni laana tu.
Imeshakuwa kazi ya kipuuzi....nilisema hapa....wale walimu mahiri mwisho wao wa kiachana na dharau ni huu.

Watabakia hao wanazitaka waendelee kudharauliwa. Nirejee nyuma kidogo miaka ya 2000 Sharp, pale ndio walimu waliondoka tena wazuri kwelikweli kwenye contents.

Muhamo wa rowaza ungetekelezwa vema.sana.na wataalamu wale. Lkn wamekimbia fani. Waache waendelee kuwadharau
 
Walimu wanabezwa sana, hii siyo sawa! Kila anayelalamika anabambikizwa kuwa mwalimu kana kwamba ualimu ni kazi ya kudharauliwa! Sisemi kuwa walimu hawajalalamikia hii nyongeza ya ajabu ajabu ya mshahara, ila siyo kweli kuwa watumishi wengine hawalalamiki.

Tunajenga taswira kuwa ualimu ni kazi ya hadhi ya chini yenye kipato kidogo kuliko kazi zingine zote wakati si kweli! Nasema hii tabia ikome na ikome kabisa!! Kutokuheshimu walimu ni sawa na kutokuheshimu wazazi, matokeo yake ni laana tu.
Kweli tupu, walimu wana posho gani zaidi ya kuvizia zoezi la sensa baada ya 10 years?
 
Walimu wanabezwa sana, hii siyo sawa! Kila anayelalamika anabambikizwa kuwa mwalimu kana kwamba ualimu ni kazi ya kudharauliwa! Sisemi kuwa walimu hawajalalamikia hii nyongeza ya ajabu ajabu ya mshahara, ila siyo kweli kuwa watumishi wengine hawalalamiki.

Tunajenga taswira kuwa ualimu ni kazi ya hadhi ya chini yenye kipato kidogo kuliko kazi zingine zote wakati si kweli! Nasema hii tabia ikome na ikome kabisa!! Kutokuheshimu walimu ni sawa na kutokuheshimu wazazi, matokeo yake ni laana tu.
Nanukuu

" ...ualimu ni kazi ya hadhi ya chini yenye kipato kidogo kuliko kazi zingine zote.... "

Mwisho wa kunukuu
 
Nanukuu

" ...ualimu ni kazi ya hadhi ya chini yenye kipato kidogo kuliko kazi zingine zote.... "

Mwisho wa kunukuu
Unamnukuu nani huyo mwongo ngoja nikupe data:

mshahara wa mwalimu mwenye digrii moja ni sh 771,000/=, wakati mshahara wa mtumishi wa kada nyingine (ukiacha madaktari, wafamasia na wahandisi) ni sh 765,000/=. Kwa hiyo umenukuu ujinga na uongo na ndivyo wengi walivyokariri!
 
Nilikuwa mwalimu pale Mawe matatu Misungwi, nikaona ualimu ni ukuda, nikaacha.
 
Walimu wanabezwa sana, hii siyo sawa! Kila anayelalamika anabambikizwa kuwa mwalimu kana kwamba ualimu ni kazi ya kudharauliwa! Sisemi kuwa walimu hawajalalamikia hii nyongeza ya ajabu ajabu ya mshahara, ila siyo kweli kuwa watumishi wengine hawalalamiki.

Tunajenga taswira kuwa ualimu ni kazi ya hadhi ya chini yenye kipato kidogo kuliko kazi zingine zote wakati si kweli! Nasema hii tabia ikome na ikome kabisa!! Kutokuheshimu walimu ni sawa na kutokuheshimu wazazi, matokeo yake ni laana tu.
Haya.
 
walimu mnadharauliwa na jobless sababu mnapigana nao vikumbo kwenye tuajira twa sensa,
hamtaheshimika hata mfanyeje
Endeleeni kudharau... Watabana Kila Kona ... Hakuna kuachia... Iwe sensa, iwe kura , iwe chochote... Pesa haipaswi kuachwa... Iwe ndogo, iwe kubwa fedha haiachwi. Mwalimu pambana ... Kelele za mlevi na mwendawazimu zisikutoe kwenye reli... Kaba Kila Kona !!! Wenye kulia walie, wenye kutukana watukane, wenye kuharisha vyoo na vichaka vipo... Washenzi ni washenzi tu !!
 
Ukikuta mwl kakwama pita kushoto maana mwl na polisi lao moja unoko tu. Tena ukutane na mwalimu kapata kacheo huwa wananunua tu begi hivi na kuvaa kaunda suit humwambii kitu.
 
Back
Top Bottom