Tetesi: Walimu wamegeuza Shule za Serikali kuwa Vitega Uchumi vyao

Nakuunga mkono. Wengi wa hao ni roho ya kwa Nini wakidhani wanawatajirisha walimu. Hakuna mzazi mwenye mtoto private ataongea ujinga huu.

Juzi nimeenda kikao cha wazazi kumwakilisha toto la uncle, nimekuta mkuu wa shule ameomba wazazi wachangie 500 kwa mwezi ili wapate walimu wawili wa mathematics na physics ambao shule hawapo. Kushangaza wazazi hawataki eti bora wakae bure. Nikashangaa sana.
 
Achana na watu wenye akili matope.akaulize Ada feza NI sh ngapi.afu anaesoma pale feza NI Mtoto WA anaemwambia asichangie chochote KWA mwanae anaekalia tofali KWENYE shule ya umma.baadhi ya watanzania Wana akili matope sana.
Acha pumba, shule za serikali zinaendeshwa Kwa Kodi za wananchi na misaada toka kwa wafadhiri, ndio maana tozo, ambayo sio kitu halali na makato kede kede yanakatwa kwaajili ya hudumu hizo, acha ukapuku kujifanya una pesa,kama zipo kachukue watoto yatima hata wawili tu uka wasomeshe, hivi ndivyo wafanyavyo wenye pesa.
 
Unge enda kulipa zote Kwa niaba yao, kama una pesa, maana hivyo ndivyo wafanyavyo wenye pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…