Tetesi: Walimu wamegeuza Shule za Serikali kuwa Vitega Uchumi vyao

Tetesi: Walimu wamegeuza Shule za Serikali kuwa Vitega Uchumi vyao

Nimeliandika mara zote hili. Kero kabisa. hasa hawa walimu wa shule za msingi.
CCM ndio wanao haribu elimu hasa Kwa walimu WA shule za msingi na sekondari kila siku wanaongopewa maslaji Yao wewe unataka wafanye nini!?CCM ni majangili ya nchi
 
Habari zenu wote wanajamii Forum wenzangu. Napenda kuwasilisha mshangao wangu kwenu.Katika hii awamu ya sita nimeshuhudia kuwepo na pesa kila siku ambazo WALIMU uagiza wanafunzi kwenda nazo wakitoa sababu mbali zisizo na kichwa Wala miguu,je pesa zinazopelekwa na serikali hazitoshi?. Pia kinacho nishangaza hakujawa na tamko lolote Toka Kwa wenye dhamana juu ya sualq hili, hii inaonyesha wenye dhamana hii wame ridhia.

Mimi naona kama elimu ilipo kuwa ikilipiwa ilikuwa ni nafuu kuliko sasa, Kwa sasa kila mwalimu wa somo lazima atengeneze mazingira ya kipato cha ziaza wakati ule ule ambao serikali inamlipa

Nawakilisha.
Pesa za serikali hazitoshi
 
Habari zenu wote wanajamii Forum wenzangu. Napenda kuwasilisha mshangao wangu kwenu,katika hii awamu ya sita nimeshuhudia kuwepo na kudaiwa pesa kila siku ambazo Waalimu uagiza wanafunzi kwenda nazo wakitoa sababu mbali zisizo na kichwa Wala miguu, je pesa zinazopelekwa na serikali hazitoshi?

Pia kinacho nishangaza hakujawa na tamko lolote toka kwa wenye dhamana juu ya suala hili, hii inaonyesha kana kwamba wenye dhamana hii wame ridhia.

Mimi naona kama elimu ilipo kuwa ikilipiwa ilikuwa ni nafuu kuliko sasa, Kwa sasa kila mwalimu wa somo lazima atengeneze mazingira ya kipato cha ziaza wakati ule ule ambao serikali inamlipa yeye utengeneza malipo mengine, tena ni lazima, mwanafunzi hasiye wakilisha pesa hiyo, basi stress zote za mwalimu zitamuishia mwanafunzi huyo.

Nawakilisha.
Huwa wanawadai Hela Kwa ajili ya Nini? Huwa wanasema mtoto aende na Hela halafu wanazifanyia Nini?
 
Umekurupuka sana kujibu

Kila mwezi shule zinapokea hela selikal kuu kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya kufundishia nankujifunza (shajala)

Zile capitation ndo kazi yake kununua rim na poa wanapewa fedha za miradi kama ujenzi wa madarasa nk

Kila mwezi
Zinafanya nini?
Shule huwa inapokea shilingi ngapi Kila mwezi?
 
Habari zenu wote wanajamii Forum wenzangu. Napenda kuwasilisha mshangao wangu kwenu,katika hii awamu ya sita nimeshuhudia kuwepo na kudaiwa pesa kila siku ambazo Waalimu uagiza wanafunzi kwenda nazo wakitoa sababu mbali zisizo na kichwa Wala miguu, je pesa zinazopelekwa na serikali hazitoshi?

Pia kinacho nishangaza hakujawa na tamko lolote toka kwa wenye dhamana juu ya suala hili, hii inaonyesha kana kwamba wenye dhamana hii wame ridhia.

Mimi naona kama elimu ilipo kuwa ikilipiwa ilikuwa ni nafuu kuliko sasa, Kwa sasa kila mwalimu wa somo lazima atengeneze mazingira ya kipato cha ziaza wakati ule ule ambao serikali inamlipa yeye utengeneza malipo mengine, tena ni lazima, mwanafunzi hasiye wakilisha pesa hiyo, basi stress zote za mwalimu zitamuishia mwanafunzi huyo.

Nawakilisha.
Hakuna elimu bure
 
Habari zenu wote wanajamii Forum wenzangu. Napenda kuwasilisha mshangao wangu kwenu,katika hii awamu ya sita nimeshuhudia kuwepo na kudaiwa pesa kila siku ambazo Waalimu uagiza wanafunzi kwenda nazo wakitoa sababu mbali zisizo na kichwa Wala miguu, je pesa zinazopelekwa na serikali hazitoshi?

Pia kinacho nishangaza hakujawa na tamko lolote toka kwa wenye dhamana juu ya suala hili, hii inaonyesha kana kwamba wenye dhamana hii wame ridhia.

Mimi naona kama elimu ilipo kuwa ikilipiwa ilikuwa ni nafuu kuliko sasa, Kwa sasa kila mwalimu wa somo lazima atengeneze mazingira ya kipato cha ziaza wakati ule ule ambao serikali inamlipa yeye utengeneza malipo mengine, tena ni lazima, mwanafunzi hasiye wakilisha pesa hiyo, basi stress zote za mwalimu zitamuishia mwanafunzi huyo.

Nawakilisha.
Mleta hoja ana kitu cha msingi naomba asikilizwe.

Asipuuzwe.
 
Acheni kuzaa watoto bila mpango kwa kisingizio kila mtoto anakuja na sahani yake,aya tuambie jumla ni sh ngapi anadaiwa?
Mtoto uzae wewe alafu utegemee kulipiwa,narudia zaeni kwa mipango
Utanisamehe bure ila haya yote yanaletwa na umaskini sidhani kama wanadai hela nyingi hivo
 
Mpeleke mwanao shule za Binafsi zipo nyingi tu, unataka waalimu wamnunulie Limu mwanao? Watoe copy Kwa hela zao? We mwenyewe unajua hali ya shule zilivyo. Unakuja kuwasimanga waalimu huku wakati wanapambania watoto wenu Kwa plan B. Wakiamua kuacha mtoto wako hatajua hata kusoma.


NB: Ningekuwa Mwalimu nisingehangaika na toto la mtu hasa hizi shule za Umma,mnawalaumu wakati anafundisha darasa halina hata miundombinu bora na Lina wanafunzi 150
Wanafanya remedial bure asubuhi na jioni ,hapa katani kwetu wanafanya mock na wanaenda kusahihisha bure,mitihani yote eti wanalipa elfu tano tena kwa mbinde,kuna watu wana moyo mi sifanyi kazi hiyo
 
Mimi nimejibu hoja yaje kama alivyoileta, nina sababu ya kumuuliza niliyomuuliza.

Mantiki yangu ni kwamba, hizo shule za bure, ubure wake unasababisha maslahi mabovu mno kwa walimu, mwalimu take home ya 50k ataishi vipi? Sasa hao walimu hawawezi kukubali kufa njaa huku wanajiona, lazima watape tape kama mfa maji, sasa badala ya kuendelea kuwarushia kamba kama hizo za michango ili wasife, nyie mnataka serikali izidi kuwazamisha kwenye maji.

kama hizo shule michango ni mingi, mpeleke shule ya kulipia, huko hakuna michango.
Nani kakudanganya, huko nako zipo field extra time n.k zote hizo hulipiwa, nimesonesha huko watoto watatu, mmoja kasoma huko miaka 7, mwingine miaka 10, na wamwishoni miaka 3, katika hizo shule za 3M + sababu nako zipo program ambazo ni nje ya ada, acha kujitia ujinga.
 
Wanafanya remedial bure asubuhi na jioni ,hapa katani kwetu wanafanya mock na wanaenda kusahihisha bure,mitihani yote eti wanalipa elfu tano tena kwa mbinde,kuna watu wana moyo mi sifanyi kazi hiyo
Kama una pesa nenda vituo vya watoto yatima jichukulie watoto kadhaa uwasomeshe, hivi ndivyo wafanyavyo wenye pesa.
 
Mimi naona shida ipo kwenye utaratibu, je mchango umefata utaratibu?wazazi wameshirikishwa? Je mchango umefanya shughuli iiyokusudiwa? Toka waanze hiyo michango ufaulu unapanda? Watoto wanasemaje juu ya ufundishaji wa walimu wakujitolea na ufundishaji wa vipindi vya ziada.

Kiukweli shule zetu Zina Hela mbaya sana. Unakuta shule inapewa 400,000 Kwa mwezi ya uedeshaji. Hapo Kuna posho ya mkuu ya mwezi 250,000 inabaki 150,000 . Haya hapo Kuna mlinzi anaipwa 100,000 Kwa mwezi. Bado una walimu wa kujitokea wa sayansi na maths wanatakiwa kupewa hata 100,000 ya sabuni na chakula, Bado kulipa umeme na maji. Inafikia hatua mkuu anatumia Hela binafsi kuendesha shule.
Na hapo inabidi kutunza Hela kwajil ya mitihani na miterm tests. Walimu wengi wanafanya kazi za kutoka kwenda halmashaur au mkoani bila kulipwa posho maana Hela hakuna.

Fanya research ndogo angalia Hali za walimu wengi hata wakuu wa shule za kata, angalia kama nyumba zao na usafiri kama wanao, utagundua hawana maendeleo yoyote. Na michango mingi inaenda Kwa shughuli husika.
 
Nani kakudanganya, huko nako zipo field extra time n.k zote hizo hulipiwa, nimesonesha huko watoto watatu, mmoja kasoma huko miaka 7, mwingine miaka 10, na wamwishoni miaka 3, katika hizo shule za 3M + sababu nako zipo program ambazo ni nje ya ada, acha kujitia ujinga.
Sasa si amesema kwamba huko pa kulipia ni nafuu? Sasa kwanini anaacha nafuu anaenda kwenye gharama?
 
Habari zenu wote wanajamii Forum wenzangu. Napenda kuwasilisha mshangao wangu kwenu,katika hii awamu ya sita nimeshuhudia kuwepo na kudaiwa pesa kila siku ambazo Waalimu uagiza wanafunzi kwenda nazo wakitoa sababu mbali zisizo na kichwa Wala miguu, je pesa zinazopelekwa na serikali hazitoshi?

Pia kinacho nishangaza hakujawa na tamko lolote toka kwa wenye dhamana juu ya suala hili, hii inaonyesha kana kwamba wenye dhamana hii wame ridhia.

Mimi naona kama elimu ilipo kuwa ikilipiwa ilikuwa ni nafuu kuliko sasa, Kwa sasa kila mwalimu wa somo lazima atengeneze mazingira ya kipato cha ziaza wakati ule ule ambao serikali inamlipa yeye utengeneza malipo mengine, tena ni lazima, mwanafunzi hasiye wakilisha pesa hiyo, basi stress zote za mwalimu zitamuishia mwanafunzi huyo.

Nawakilisha.
Zingatia haya yako ya mwisho.
 
Habari zenu wote wanajamii Forum wenzangu. Napenda kuwasilisha mshangao wangu kwenu,katika hii awamu ya sita nimeshuhudia kuwepo na kudaiwa pesa kila siku ambazo Waalimu uagiza wanafunzi kwenda nazo wakitoa sababu mbali zisizo na kichwa Wala miguu, je pesa zinazopelekwa na serikali hazitoshi?

Pia kinacho nishangaza hakujawa na tamko lolote toka kwa wenye dhamana juu ya suala hili, hii inaonyesha kana kwamba wenye dhamana hii wame ridhia.

Mimi naona kama elimu ilipo kuwa ikilipiwa ilikuwa ni nafuu kuliko sasa, Kwa sasa kila mwalimu wa somo lazima atengeneze mazingira ya kipato cha ziaza wakati ule ule ambao serikali inamlipa yeye utengeneza malipo mengine, tena ni lazima, mwanafunzi hasiye wakilisha pesa hiyo, basi stress zote za mwalimu zitamuishia mwanafunzi huyo.

Nawakilisha.
Sasa,si umpeleke huyo Mwanao shule za private.
 
Habari zenu wote wanajamii Forum wenzangu. Napenda kuwasilisha mshangao wangu kwenu,katika hii awamu ya sita nimeshuhudia kuwepo na kudaiwa pesa kila siku ambazo Waalimu uagiza wanafunzi kwenda nazo wakitoa sababu mbali zisizo na kichwa Wala miguu, je pesa zinazopelekwa na serikali hazitoshi?

Pia kinacho nishangaza hakujawa na tamko lolote toka kwa wenye dhamana juu ya suala hili, hii inaonyesha kana kwamba wenye dhamana hii wame ridhia.

Mimi naona kama elimu ilipo kuwa ikilipiwa ilikuwa ni nafuu kuliko sasa, Kwa sasa kila mwalimu wa somo lazima atengeneze mazingira ya kipato cha ziaza wakati ule ule ambao serikali inamlipa yeye utengeneza malipo mengine, tena ni lazima, mwanafunzi hasiye wakilisha pesa hiyo, basi stress zote za mwalimu zitamuishia mwanafunzi huyo.

Nawakilisha.
Kuna huyu Mkuu wa Oysterbay Primary ni noma kwa mlungula
 
Back
Top Bottom