Mimi nimejibu hoja yaje kama alivyoileta, nina sababu ya kumuuliza niliyomuuliza.
Mantiki yangu ni kwamba, hizo shule za bure, ubure wake unasababisha maslahi mabovu mno kwa walimu, mwalimu take home ya 50k ataishi vipi? Sasa hao walimu hawawezi kukubali kufa njaa huku wanajiona, lazima watape tape kama mfa maji, sasa badala ya kuendelea kuwarushia kamba kama hizo za michango ili wasife, nyie mnataka serikali izidi kuwazamisha kwenye maji.
kama hizo shule michango ni mingi, mpeleke shule ya kulipia, huko hakuna michango.