Walimu wamsubiri Rais Samia kwa hamu kwenye maadhimisho ya miaka 30 ya CWT Mwanza

Walimu wamsubiri Rais Samia kwa hamu kwenye maadhimisho ya miaka 30 ya CWT Mwanza

Adharusi

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2012
Posts
14,422
Reaction score
7,350
Chama cha walimu Tanzania kinaazimisha miaka 30 ya kuanzishwa kwake kwa ajili ya kujitathimini na kutafakari kwa safari yenye milima na mabonde kuanzia November 1993 mpaka Leo 2023 November

Hakika maazimisho hayo mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, kwasababu litakua nikusanyiko la walimu wote Tanzania, wanakutana Mwanza

Walimu wana amu ya kukutana na Rais wao ,wana amu ya kumsikia akiongea katika siku yao na kuwapa matumaini walimu wa Tanzania

Karibu Rais Samia Mwanza kuongea na Walimu Disemba 13
 
Chama cha walimu Tanzania kinaazimisha miaka 30 ya kuanzishwa kwake kwa ajili ya kujitathimini na kutafakari kwa safari yenye milima na mabonde kuanzia November 1993 mpaka Leo 2023 November

Hakika maazimisho hayo mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, kwasababu litakua nikusanyiko la walimu wote Tanzania, wanakutana Mwanza

Walimu wana amu ya kukutana na Rais wao ,wana amu ya kumsikia akiongea katika siku yao na kuwapa matumaini walimu wa Tanzania

Karibu Rais Samia Mwanza kuongea na Walimu Disemba 13
Sasa ndg. Mwalimu amu ni nini?
Amu=hamu
ephen_ ona mwalimu mwenzio anavyoharibu kiswahili😂
 
Chama cha walimu Tanzania kinaazimisha miaka 30 ya kuanzishwa kwake kwa ajili ya kujitathimini na kutafakari kwa safari yenye milima na mabonde kuanzia November 1993 mpaka Leo 2023 November

Hakika maazimisho hayo mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, kwasababu litakua nikusanyiko la walimu wote Tanzania, wanakutana Mwanza

Walimu wana amu ya kukutana na Rais wao ,wana amu ya kumsikia akiongea katika siku yao na kuwapa matumaini walimu wa Tanzania

Karibu Rais Samia Mwanza kuongea na Walimu Disemba 13
Samia kawasaidia kumfukuza yule mwizi, na kamfukuza kitaalamu, kilochobaki amuhamishie nanyumbu, na akifika atafutiwe sababu, yaani hajasema
 
Back
Top Bottom