Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Nakubaliana na weweMna uhakika wanaoshangiliaga huwa ni waalimu kweli!!!sio UVCCM ktk matishirt ya waalimu!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana na weweMna uhakika wanaoshangiliaga huwa ni waalimu kweli!!!sio UVCCM ktk matishirt ya waalimu!!!
KabisaNdio maana wanakuzwa wasomi wajinga wajinga
Wewe nawe ni mwalimu usiyejua hata kuandika kiswahili kwa ufasaha?Chama cha walimu Tanzania kinaazimisha miaka 30 ya kuanzishwa kwake kwa ajili ya kujitathimini na kutafakari kwa safari yenye milima na mabonde kuanzia November 1993 mpaka Leo 2023 November
Hakika maazimisho hayo mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, kwasababu litakua nikusanyiko la walimu wote Tanzania, wanakutana Mwanza
Walimu wana amu ya kukutana na Rais wao ,wana amu ya kumsikia akiongea katika siku yao na kuwapa matumaini walimu wa Tanzania
Karibu Rais Samia Mwanza kuongea na Walimu Disemba 13
Nani aifute? Waalim walitakiwa kuwa watu wenye weledi na wanaojitambua. Ndiyo wao wanatakiwa kufanya mapinduzi.Duh Rais kama mtetezi wa haki hakupaswa kwenda kuungana na watesi wa walimu,cwt ni jini mnyonyadamu wa walimu,ifutwe mara moja
hongera mkuuMmoja
Asante sanahongera mkuu
Bilashaka Mh Rais pia anaisubiria siku iyo kwa hamu kubwa sana. Hakika patanoga sana Mwanza.Chama cha walimu Tanzania kinaazimisha miaka 30 ya kuanzishwa kwake kwa ajili ya kujitathimini na kutafakari kwa safari yenye milima na mabonde kuanzia November 1993 mpaka Leo 2023 November
Hakika maazimisho hayo mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, kwasababu litakua nikusanyiko la walimu wote Tanzania, wanakutana Mwanza
Walimu wana amu ya kukutana na Rais wao ,wana amu ya kumsikia akiongea katika siku yao na kuwapa matumaini walimu wa Tanzania
Karibu Rais Samia Mwanza kuongea na Walimu Disemba 13
Wewe ni msemaji wa Waalimu au ni Mwalimu ?Chama cha walimu Tanzania kinaazimisha miaka 30 ya kuanzishwa kwake kwa ajili ya kujitathimini na kutafakari kwa safari yenye milima na mabonde kuanzia November 1993 mpaka Leo 2023 November
Hakika maazimisho hayo mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, kwasababu litakua nikusanyiko la walimu wote Tanzania, wanakutana Mwanza
Walimu wana amu ya kukutana na Rais wao ,wana amu ya kumsikia akiongea katika siku yao na kuwapa matumaini walimu wa Tanzania
Karibu Rais Samia Mwanza kuongea na Walimu Disemba 13
Sio amu ni hamu.Chama cha walimu Tanzania kinaazimisha miaka 30 ya kuanzishwa kwake kwa ajili ya kujitathimini na kutafakari kwa safari yenye milima na mabonde kuanzia November 1993 mpaka Leo 2023 November
Hakika maazimisho hayo mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, kwasababu litakua nikusanyiko la walimu wote Tanzania, wanakutana Mwanza
Walimu wana amu ya kukutana na Rais wao ,wana amu ya kumsikia akiongea katika siku yao na kuwapa matumaini walimu wa Tanzania
Karibu Rais Samia Mwanza kuongea na Walimu Disemba 13
Kila mwaka wanapeleka malalamiko yao kwa Serikali lakini hakuna walichowahi kusaidiwa.
Nani aifute? Waalim walitakiwa kuwa watu wenye weledi na wanaojitambua. Ndiyo wao wanatakiwa kufanya mapinduzi.