Walimu wamsubiri Rais Samia kwa hamu kwenye maadhimisho ya miaka 30 ya CWT Mwanza

Walimu wamsubiri Rais Samia kwa hamu kwenye maadhimisho ya miaka 30 ya CWT Mwanza

Chama cha walimu Tanzania kinaazimisha miaka 30 ya kuanzishwa kwake kwa ajili ya kujitathimini na kutafakari kwa safari yenye milima na mabonde kuanzia November 1993 mpaka Leo 2023 November

Hakika maazimisho hayo mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, kwasababu litakua nikusanyiko la walimu wote Tanzania, wanakutana Mwanza

Walimu wana amu ya kukutana na Rais wao ,wana amu ya kumsikia akiongea katika siku yao na kuwapa matumaini walimu wa Tanzania

Karibu Rais Samia Mwanza kuongea na Walimu Disemba 13
Wewe nawe ni mwalimu usiyejua hata kuandika kiswahili kwa ufasaha?
 
Chama cha walimu Tanzania kinaazimisha miaka 30 ya kuanzishwa kwake kwa ajili ya kujitathimini na kutafakari kwa safari yenye milima na mabonde kuanzia November 1993 mpaka Leo 2023 November

Hakika maazimisho hayo mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, kwasababu litakua nikusanyiko la walimu wote Tanzania, wanakutana Mwanza

Walimu wana amu ya kukutana na Rais wao ,wana amu ya kumsikia akiongea katika siku yao na kuwapa matumaini walimu wa Tanzania

Karibu Rais Samia Mwanza kuongea na Walimu Disemba 13
Bilashaka Mh Rais pia anaisubiria siku iyo kwa hamu kubwa sana. Hakika patanoga sana Mwanza.
 
Chama cha walimu Tanzania kinaazimisha miaka 30 ya kuanzishwa kwake kwa ajili ya kujitathimini na kutafakari kwa safari yenye milima na mabonde kuanzia November 1993 mpaka Leo 2023 November

Hakika maazimisho hayo mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, kwasababu litakua nikusanyiko la walimu wote Tanzania, wanakutana Mwanza

Walimu wana amu ya kukutana na Rais wao ,wana amu ya kumsikia akiongea katika siku yao na kuwapa matumaini walimu wa Tanzania

Karibu Rais Samia Mwanza kuongea na Walimu Disemba 13
Wewe ni msemaji wa Waalimu au ni Mwalimu ?

Kama ni mwalimu I hope sio Mwalimu wa Kiswahili...
 
-Mwalim alistahili posho hizi
Posho ya Nyumba 300,000/- kwa degree, Posho ya Nyumba 200,000/- kwa Diploma na Cheti,
-Posho ya Umeme na Maji 120,000/-
-Posho ya Mavazi 500,000/- kwa Mwaka
-Posho ya Chakula 150,000/-
 
Chama cha walimu Tanzania kinaazimisha miaka 30 ya kuanzishwa kwake kwa ajili ya kujitathimini na kutafakari kwa safari yenye milima na mabonde kuanzia November 1993 mpaka Leo 2023 November

Hakika maazimisho hayo mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, kwasababu litakua nikusanyiko la walimu wote Tanzania, wanakutana Mwanza

Walimu wana amu ya kukutana na Rais wao ,wana amu ya kumsikia akiongea katika siku yao na kuwapa matumaini walimu wa Tanzania

Karibu Rais Samia Mwanza kuongea na Walimu Disemba 13
Sio amu ni hamu.
 
Kuna kundi la mafisadi linapambana Rais Samia asije Mwanza ,kuogopa kuumbuliwa
 
Back
Top Bottom