Hizo mbinu za uandishi kuifanya threads kuwa active ,ili kila mtu achangie ,wapo waliochangia ujumbe ,wapo waliochangia kwa kuona makosa ya uandishi ..uzi umesogeaYaani wewe ndio Mwalimu unaandika amu badala ya Hamu..Daah mmetutoa mbali ila nyie wa kizazi hiki cha sasa....!?
Sasa kama na wewe ni Mwalimu wanafunzi si unawalisha matango pori kweli! "amu" ndo kitu gani?Chama cha walimu Tanzania kinaazimisha miaka 30 ya kuanzishwa kwake kwa ajili ya kujitathimini na kutafakari kwa safari yenye milima na mabonde kuanzia November 1993 mpaka Leo 2023 November
Hakika maazimisho hayo mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, kwasababu litakua nikusanyiko la walimu wote Tanzania, wanakutana Mwanza
Walimu wana amu ya kukutana na Rais wao ,wana amu ya kumsikia akiongea katika siku yao na kuwapa matumaini walimu wa Tanzania
Karibu Rais Samia Mwanza kuongea na Walimu Disemba 13
Kama kuna walimu humu nawashauri tu hamieni chakuhawata ndio chama bora cha walimu ,cwt watawaua kwa shida .Chama cha walimu Tanzania kinaazimisha miaka 30 ya kuanzishwa kwake kwa ajili ya kujitathimini na kutafakari kwa safari yenye milima na mabonde kuanzia November 1993 mpaka Leo 2023 November
Hakika maazimisho hayo mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, kwasababu litakua nikusanyiko la walimu wote Tanzania, wanakutana Mwanza
Walimu wana amu ya kukutana na Rais wao ,wana amu ya kumsikia akiongea katika siku yao na kuwapa matumaini walimu wa Tanzania
Karibu Rais Samia Mwanza kuongea na Walimu Disemba 13
Chama cha walimu Tanzania kinaazimisha miaka 30 ya kuanzishwa kwake kwa ajili ya kujitathimini na kutafakari kwa safari yenye milima na mabonde kuanzia November 1993 mpaka Leo 2023 November
Hakika maazimisho hayo mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, kwasababu litakua nikusanyiko la walimu wote Tanzania, wanakutana Mwanza
Walimu wana amu ya kukutana na Rais wao ,wana amu ya kumsikia akiongea katika siku yao na kuwapa matumaini walimu wa Tanzania
Karibu Rais Samia Mwanza kuongea na Walimu Disemba 13
Walimu wanashida gani? Watupishe sisi ambao hatuna ajira tukapige kazi wao wakajiajiri kwenye business na kilimoChama cha walimu Tanzania kinaazimisha miaka 30 ya kuanzishwa kwake kwa ajili ya kujitathimini na kutafakari kwa safari yenye milima na mabonde kuanzia November 1993 mpaka Leo 2023 November
Hakika maazimisho hayo mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, kwasababu litakua nikusanyiko la walimu wote Tanzania, wanakutana Mwanza
Walimu wana amu ya kukutana na Rais wao ,wana amu ya kumsikia akiongea katika siku yao na kuwapa matumaini walimu wa Tanzania
Karibu Rais Samia Mwanza kuongea na Walimu Disemba 13
Hiyo sifa ya kuwa mwl unayo? Au niwale four failure unatusumbua hapaKua mwalimu labda niwe mwalimu wa kwaya!
😂Wewe ni mtabiri nini? Upo mulemule nilifeli form fourHiyo sifa ya kuwa mwl unayo? Au niwale four failure unatusumbua hapa
Utakuwa mwalimu sio bure kwa povu hili😂Hiyo sifa ya kuwa mwl unayo? Au niwale four failure unatusumbua hapa
Nikweli,kizazi hiki Cha nyoka ambacho hamuelewi mnachokitaka mtaendelea kuzalau elimu hadi lini? Kisa tu kwenye elimu hakuna kula rushwa,but Kuna watu hata huo uwalimu wanaulilia na hawaupati.kinachonifurahisha zaidi wanaouponda uwalimu hawana hata cheti cha fani yoyote zaidi ya ujanjaujanja tu..Mitala mipya ya elimu mtekelezaji wake anategemewa kuwa mwl,mitihani iliyofan ywa hivi karibuni msahihishaji ni mwl halafu Kuna kimtu kimekaa kwa shemeji yake eti kinazalau walimu.Utakuwa mwali sio bure kwa povu hili[emoji23]
Walimu hawa hawa wauza kura zetu kwa malipo duni toka ccm?Nikweli,kizazi hiki Cha nyoka ambacho hamuelewi mnachokitaka mtaendelea kuzalau elimu hadi lini? Kisa tu kwenye elimu hakuna kula rushwa,but Kuna watu hata huo uwalimu wanaulilia na hawaupati.kinachonifurahisha zaidi wanaouponda uwalimu hawana hata cheti cha fani yoyote zaidi ya ujanjaujanja tu..Mitala mipya ya elimu mtekelezaji wake anategemewa kuwa mwl,mitihani iliyofan ywa hivi karibuni msahihishaji ni mwl halafu Kuna kimtu kimekaa kwa shemeji yake eti kinazalau walimu.