Walimu wana wakati mgumu! Darasa limejaa wanafunzi zaidi ya mia moja hana hata pa kukanyaga!

Walimu wana wakati mgumu! Darasa limejaa wanafunzi zaidi ya mia moja hana hata pa kukanyaga!

Nsumba ntale tz

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2016
Posts
713
Reaction score
762
Katika pitapita zangu nimekutana na hii video ikionesha wanafunzi walivyorundikana kwenye chumba cha darasa kama ng'ombe tena wakiwa wamekaa chini, na bado tukiendelea kupiga makofi kuhusu ununuaji wa madege ya dreamliner. Kama Taifa tunapaswa kupaza sauti zetu kama wananchi wa Taifa Tanzania maana haya yanatokea hapa hapa nchini.

 
Acheni umbumbumbu na nyie jamani. Dreamliner ziko hapa kukuza uchumi na siyo starehe. Jaribu kufikiria kama zisingekuwepo sasa hivi ingekuwaje? Maana ndugu zangu Precision weshatepeta na matapeli wetu Fastjet weshakata pumzi kitambo. Kwa videge viwili sijui vitatu vya precision nauli ingeshafika milioni mbili kwenda tu hapa KIA. ATC ni lazima iwepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni umbumbumbu na nyie jamani. Dreamliner ziko hapa kukuza uchumi na siyo starehe. Jaribu kufikiria kama zisingekuwepo sasa hivi ingekuwaje? Maana ndugu zangu Precision weshatepeta na matapeli wetu Fastjet weshakata pumzi kitambo. Kwa videge viwili sijui vitatu vya precision nauli ingeshafika milioni mbili kwenda tu hapa KIA. ATC ni lazima iwepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
wewe ni mpumbavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie pandeni Kisbo zenu mtuachie Airbus na madilimulaina yetu.
20200121_075441.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo lipo kwa wawakilishi wetu wa majimbo maana wao wenyewe ndo wahusika wakuu kwa hii kadhia,wanatakiwa kumdhibiti huyo anayejichotea hela yetu na kununua vitu visivyoakisi na kugusa shida za wananchi. Huku mikoani kuna shida jamani watoto wanapata shida hasa sehemu ya kukaa!!!!wakati huohuo vitabu havipo mashuleni. Tuna safari ndefu sana kama taifa
 
Echililo,

Hii inatia huruma sana.
Mwalimu anajitahidi kufundisha lakini mazingira hayampi ushirikiana kati yake na wanafunzi/wanafunzi na mwalimu.
Hapo wakifeli, unasikiwa mwanasiasa fulani akisema waistakiwe ana kushusha madaraja.
 
Tatizo lipo kwa wawakilishi wetu wa majimbo maana wao wenyewe ndo wahusika wakuu kwa hii kadhia,wanatakiwa kumdhibiti huyo anayejichotea hela yetu na kununua vitu visivyoakisi na kugusa shida za wananchi. Huku mikoani kuna shida jamani watoto wanapata shida hasa sehemu ya kukaa!!!!wakati huohuo vitabu havipo mashuleni. Tuna safari ndefu sana kama taifa
 
Acheni umbumbumbu na nyie jamani. Dreamliner ziko hapa kukuza uchumi na siyo starehe. Jaribu kufikiria kama zisingekuwepo sasa hivi ingekuwaje? Maana ndugu zangu Precision weshatepeta na matapeli wetu Fastjet weshakata pumzi kitambo. Kwa videge viwili sijui vitatu vya precision nauli ingeshafika milioni mbili kwenda tu hapa KIA. ATC ni lazima iwepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ningeweza sema huna akili ila ntakuwa nakosea wewe una daiwa kabisa akili maana akili ziko (ve-)

mmewaua hao fastjet na mwenzake makusudi alafu unakuja shangilia hapa kama umekatika kichwa
 
Katika pitapita zangu nimekutana na hii video ikionesha wanafunzi walivyorundikana kwenye chumba cha darasa kama ng'ombe tena wakiwa wamekaa chini, na bado tukiendelea kupiga makofi kuhusu ununuaji wa madege ya dreamliner. Kama Taifa tunapaswa kupaza sauti zetu kama wananchi wa Taifa Tanzania maana haya yanatokea hapa hapa nchini.


Too sad.
 
Acheni umbumbumbu na nyie jamani. Dreamliner ziko hapa kukuza uchumi na siyo starehe. Jaribu kufikiria kama zisingekuwepo sasa hivi ingekuwaje? Maana ndugu zangu Precision weshatepeta na matapeli wetu Fastjet weshakata pumzi kitambo. Kwa videge viwili sijui vitatu vya precision nauli ingeshafika milioni mbili kwenda tu hapa KIA. ATC ni lazima iwepo.

Sent using Jamii Forums mobile app

..alitakiwa atumie fedha hizo kwenye miradi inayoajiri watu wengi kama kilimo cha umwagiliaji, viwanda, etc.
 
Yaani wewe ni wa ajabu kuliko. ATC mwanza peke yake inasafirisha watu zaidi ya mia 800 kwa siku. Bado Mbeya' Kilimanjaro Dodoma na Kigoma. Ni zaidi ya watu 2000 kwa siku. Unawezaje kusema sio kipaumbele kama siyo ujinga?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kinachomfanya aweze kusema ni hiyo shule iliyorundika wanafunzi... umelewa...? Au unaelewa maana ya priority..?
 
Siasa za Tanzania ni hovyo sana! Wanaokosoa JPM kununua Ndege, wanaokosoa kujinufaisha Kisiasa. Vile vile JPM na CCM amenunua Ndege ni jambo jema sana, lakini wanataka kujinufaisha Kisiasa.​
 
Back
Top Bottom