barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Hii ni ile mwalimu anatakiwa kufundisha sayansi la tatu A,B na C mida tofauti, anaamua kuongea na walimu wenzake wamrekebishie ratiba yake aunganishe madarasa yote kwa kipindi kimoja.Walimu wana wakati mgumu! Huyu mwalimu anatakiwa apongezwe kwa jinsi anavyofundisha darasa lilivyojaa namna hiyo. Na wanafunzi wenyewe wanaonyesha wana nidhamu na wanapenda kusoma. Tafadhali mtu anayejua hapo ni wapi atufahamishe tutoe mchango wa kujenga darasa lingine. Nimesikitika sana!
View attachment 1331347
Umekurupuka mkuu.Katika pitapita zangu nimekutana na hii video ikionesha wanafunzi walivyorundikana kwenye chumba cha darasa kama ng'ombe tena wakiwa wamekaa chini, na bado tukiendelea kupiga makofi kuhusu ununuaji wa madege ya dreamliner. Kama Taifa tunapaswa kupaza sauti zetu kama wananchi wa Taifa Tanzania maana haya yanatokea hapa hapa nchini.
Umekurupuka mkuu.
Kwani mwanzoni ilikuaje acha ushamba na ujingaAcheni umbumbumbu na nyie jamani. Dreamliner ziko hapa kukuza uchumi na siyo starehe. Jaribu kufikiria kama zisingekuwepo sasa hivi ingekuwaje? Maana ndugu zangu Precision weshatepeta na matapeli wetu Fastjet weshakata pumzi kitambo. Kwa videge viwili sijui vitatu vya precision nauli ingeshafika milioni mbili kwenda tu hapa KIA. ATC ni lazima iwepo.
Sent using Jamii Forums mobile app
umefanya utafiti na kuuliza vyanzo vya hiyo clip na kujua nini kilitokea ktk hiyo clip mpaka wanafunzi hao wakawa humo ndani?
Kivipi mkuu?Umekurupuka mkuu.
Wewe si mtumiaji wa huduma hii,afadhali Rais ametununulia hizo ndege,zamani ilikuwa shida sanaPumbavu kwani kabla dreamliner hazijanunuliwa hali ilikuwaje?
Kwanini wawe wengi hivyo by anymeans huu ni ujinga na upumbavuUme
umefanya utafiti na kuuliza vyanzo vya hiyo clip na kujua nini kilitokea ktk hiyo clip mpaka wanafunzi hao wakawa humo ndani?
Critical thinking is evasive to you i am afraid...
Hii siyo ya awamu hii,acha uchocheziKatika pitapita zangu nimekutana na hii video ikionesha wanafunzi walivyorundikana kwenye chumba cha darasa kama ng'ombe tena wakiwa wamekaa chini, na bado tukiendelea kupiga makofi kuhusu ununuaji wa madege ya dreamliner. Kama Taifa tunapaswa kupaza sauti zetu kama wananchi wa Taifa Tanzania maana haya yanatokea hapa hapa nchini.
Usafiri wa ndege umekuwa aghali zaidi baada ya fast jet kuondoka. air tanzania imeleta balaa kwa wasafiri.Acheni umbumbumbu na nyie jamani. Dreamliner ziko hapa kukuza uchumi na siyo starehe. Jaribu kufikiria kama zisingekuwepo sasa hivi ingekuwaje? Maana ndugu zangu Precision weshatepeta na matapeli wetu Fastjet weshakata pumzi kitambo. Kwa videge viwili sijui vitatu vya precision nauli ingeshafika milioni mbili kwenda tu hapa KIA. ATC ni lazima iwepo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili mbona kama ni igizo? Mpiga picha kakaa kwenye angle ambayo kachukua video kwa utulivu huku na huyo "mwalimu" akifundisha kwa mbwembwe kabisa akiwa anajua lazima aweke pozi ili kuendana na script
Huyo mwalimu gani anaingia darasani kwake anawaambia wanafunzi wake wa kila siku "mpoo?, Darasa la ngapi?" Na wao wanajibu "darasa la nne".
Sijui wala sipingi dhamira ya waliocheza sinema hii lakini angalau wangesema kweli tu kwamba kuna maofisa wa NGO au waandishi wa habari wametembelea shule fulani wakaruhusiwa kuingia darasa lililojaa wanafunzi na kufundisha huku wakipigana picha na kuchukua picha za video
Wewe ndo mbumbumbu mkubwa kuwahi kutokea, serikali huwa haifanyi Biashara, kazi yake ni kukusanya kodi, Fastjet ilikuwa na ndege nyingi na nauli ilikuwa ndo to make everyone afford the priceAcheni umbumbumbu na nyie jamani. Dreamliner ziko hapa kukuza uchumi na siyo starehe. Jaribu kufikiria kama zisingekuwepo sasa hivi ingekuwaje? Maana ndugu zangu Precision weshatepeta na matapeli wetu Fastjet weshakata pumzi kitambo. Kwa videge viwili sijui vitatu vya precision nauli ingeshafika milioni mbili kwenda tu hapa KIA. ATC ni lazima iwepo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lwezera shule ya msingi, naijua vizuri sana hii shule. Pale hakuna uhaba wa vyumba vya madarasa kwa kiwango hiki mpaka wanafunzi wajae hivi.Hii itawa cost,mbaya zaidi mpiga picha hakuwaza kabisa kuhusu hii tshirt ya chalii...View attachment 1331423View attachment 1331424
Maigizo mengine ni ya kujitafuia matatizo na serikali. Hivi hili ni darasa la ngapi lenye watoto wa rika tofauti? Yani kila mtoto anataka aangalie kamera kama imemchukua na mwalimu mwenyewe anajisahau anaanWalimu wana wakati mgumu! Huyu mwalimu anatakiwa apongezwe kwa jinsi anavyofundisha darasa lilivyojaa namna hiyo. Na wanafunzi wenyewe wanaonyesha wana nidhamu na wanapenda kusoma. Tafadhali mtu anayejua hapo ni wapi atufahamishe tutoe mchango wa kujenga darasa lingine. Nimesikitika sana!
Maigizo mengine ni ya kujitafutia matatizo na serikali. Hivi hili ni darasa la ngapi lenye watoto wa rika tofauti? Kuna rika kuanzia std 1 mpaka 7, yaani kila mtoto anataka aangalie kamera kama imemchukua na mwalimu mwenyewe anajisahau anaangalia kamera.Walimu wana wakati mgumu! Huyu mwalimu anatakiwa apongezwe kwa jinsi anavyofundisha darasa lilivyojaa namna hiyo. Na wanafunzi wenyewe wanaonyesha wana nidhamu na wanapenda kusoma. Tafadhali mtu anayejua hapo ni wapi atufahamishe tutoe mchango wa kujenga darasa lingine. Nimesikitika sana!
Kulikuwa na Precision air na Fast jet.Wewe si mtumiaji wa huduma hii,afadhali Rais ametununulia hizo ndege,zamani ilikuwa shida sana