Yaan hii kazi hawajatafakari wangejua kuwa ujenzi wa hizo shule unafanywa chini kabisa ya kiwango sababu ya hizi pressure yaan ndani ya mwezi mmoja majengo yakamilike na viti vya chuma,Ndio Kazi yao.Mimi Nina jamaa zangu wakandarasi na Wana maduka ya hardware walikataa hizo ofa za mil.20 kwa darasa full tena walipewa madarasa. 4 kila mja.
Hizo Kazi hazina faida labda uwe mjinga,walau bei zingekuwa 25-30 mil.kwa chumba kimoja full na furniture zake la sivyo waendelee kutumia wafungwa maana materials ziko juu Sana kuliko pesa ya ujenzi.
Ni kweli kwabisa yaan walimu wanataabika sana na ujenz utadhani ndiyo fani yao hadi wanawekwa ndani maskini eti kisa tofali sijii ratio imefanyaje kitu ambacho ni cha kitaalamu kinahitaji uzoefu.Chama Cha Walimu NI taasisi ya Chama Cha Mazezeta ambayo dhamira yake si kumtetea, kumsaidia, kumkwamua Wala kutatua kero na tabu mbalimbali zinazoyakabili Walimu.
Chama Cha Walimu kipo kwa ajili ya kuwanyonya TU Walimu. Hello zinaenda kwa Chama Cha Mazezeta na viongozi wachache walioamua kusaliti Walimu wenzao
Ndio maana utaonekana kituko kwa sababu unaongea kitu ambacho hata hukijui hebu uliza kwanza kwanini walimu wameingizwa kwenye ujenz ukisha elewa urud hapa huenda utakuwa na mawazo mapyaUnajijua sio mkandarasi, ulikubali majukumu ya nini?
Every action you take has its consequences!
Titaelewana tu, acha tuende mdogomdogo.Kwa hili TAMISEMI kaeni mfikiri upya mzigo mnao watwisha walimu ukiachilia mbali mzigo wa vipindi walio nao si haki na si sawa
Na CWT mpo kimya hata hamfuatilii mkaona ni madhila gani walimu walio chini ya chama chenu wana nyanyasika na kusurubishwa kwa kazi ambayo hawakuisomea na wala hawana ujuzi nayo.
Wakuu wa wilaya wana dhalilisha walimu , wana waweka ndani na maneno ya dhihaka sababu ya ujenzi wa madarasa ?? Mlifikiriaje kuwatwisha mzigo huu walimu?
Kwanini hizo pesa za ujenzi msiziingize kwenye account za vijiji au kata au hata halmashauri ili walimu waendelee na kazi yao ya kufundisha watoto? Mda mwingi walimu wanahangaika na mambo ya ujenzi hao wananchi wenyewe ushiriki wao duni sana sababu mmesha ingiza siasa huko, kwanini mnawaongezea majukumu walimu tena mazito yenye masimango na kuviziana?
Nasema kuviziana sababu vitu vingi vilivyo andikwa kwenye BOQ zenu haviakisi uhalisia wa bei zilizoko sokoni pia kuna vitu vingi sana havipo kwenye BOQ zenu wakati katika uhalisi vina gharimu pesa tena sana
Wakuu wa wilaya wana waweka ndani walimu kisa ujenzi umechelewa au upo chini ya kiwango, jaman hivi mwalimu aliye jifunza kushika chaki na kupiga kelele na wanafunz darasa la pili leo anahangaika na size za nondo ? Anahangaika na ratio za cement , ahangaike na mafundi wezi na wadokozi ambao ukipepesa macho tu wameshafichaa kilo 2 za misumari yaani siku nzima upo na ujenzi hayo kayasoma wapi kwenye cheti chake hata akastahili kusimangwa nankuwekwa mahabusu akiyakosea?
Lakini pia swala hili limeathiri sana ufundishwaji wa watoto huko madarasani maana mda mwingi ni vikao vya kamati na kuandaa mihutasari ya vikao kusimamia mafundi bado asimamie mitihani na asahihishe na kupanga matokeo ya mitihani ya wanafunzi hapo achilia mbali kuingia darasani kufundisha vipindi vyote tabu tupu huko.
Kibaya zaid TAMISEMI tarajieni kupata majengo ya hovyo kuwahi kutokea kwa sababu zifuatazo
1. Kuna baadhi majengo yamejengwa na tofali mbichi kabisa
2. Hatua za ujenzi kitaalamu hazikuzingatiwa kabisa kwenye majengo mengi kwa sababu:-
- mkuu wa wilaya naye ni makandarasi akienda site naye ana maelekezo yake
- mkurugenzi naye ni mkandarasi akienda site naye anamaelekezo yake
- afisa elimu naye ni mkandarasi akienda site naye ana maelekezo yake
- ofisa tarafa naye ni mkandarasi akienda site naye ana maelekezo yake
- mwenye kiti CCM wilaya naye ni mkandarasi akienda site naye ana maelekezo yake hapo bado mkuu wa mkoa, afisa tawala mkoa, mwenyekiti wa Ccm mkoa na wengineo yaan miluzi hadi mbwa haelewi aende wapi.
- engineer wilaya naye ni mkandarasi akienda site naye anatoa maelekezo yake tena ya kitaalam
lakin Cha ajabu mkuu wa wilaya anaweza kupinga maelekezo ya engeneer na akataka yafuatwe yakwake sababu yeye ndiye yeye 😅😅😅.
Tofali inafyatuliwa leo kesho inajenga 😅😅😅😅 speed ya mwanga bora majengo na sio majengo bora kila mkuu wa wilaya anataka kabla tarehe 15 decemba 2021 awe wakwanza kukabidhi bora jengo sio jengo bora.
muwe na huruma nyie watu fedha hizi ni za mkopo tutalipa wakati majengo yatabomoka ndani ya miaka 5-10.
USHAURI: Kwanini TAMISEMI fedha hizi msiingize mapema sana ili kupunguza huku kufanya kazi kwa pressure kubwa na speed ambayo inachochea kabisa kupata majengo majengo yasiyo bora kabisa?
Lakini pia kwanini TAMISEMI msiingize fedha hizi kwenye account za vijiji au kata ili wao waunde kamati zao huko za vijiji na wananchi wasimamie ujenzi na walimu muwaache waendelee na wajibu wao ambao ni mzito sana kulingana na wingi wa wanafunzi? Hebu kaeni mlitafakari upya na kwa umakini swala hili hali si nzuri hata kidogo.
Acheni kulalamika sasaBaada ya kushindwa uchaguzi; mtabadilika lini?
Titawlewana tu, acha tuende mdogomdogo.Kwani tinatafuta ya Goba.Kwa hili TAMISEMI kaeni mfikiri upya mzigo mnao watwisha walimu ukiachilia mbali mzigo wa vipindi walio nao si haki na si sawa
Na CWT mpo kimya hata hamfuatilii mkaona ni madhila gani walimu walio chini ya chama chenu wana nyanyasika na kusurubishwa kwa kazi ambayo hawakuisomea na wala hawana ujuzi nayo.
Wakuu wa wilaya wana dhalilisha walimu , wana waweka ndani na maneno ya dhihaka sababu ya ujenzi wa madarasa ?? Mlifikiriaje kuwatwisha mzigo huu walimu?
Kwanini hizo pesa za ujenzi msiziingize kwenye account za vijiji au kata au hata halmashauri ili walimu waendelee na kazi yao ya kufundisha watoto? Mda mwingi walimu wanahangaika na mambo ya ujenzi hao wananchi wenyewe ushiriki wao duni sana sababu mmesha ingiza siasa huko, kwanini mnawaongezea majukumu walimu tena mazito yenye masimango na kuviziana?
Nasema kuviziana sababu vitu vingi vilivyo andikwa kwenye BOQ zenu haviakisi uhalisia wa bei zilizoko sokoni pia kuna vitu vingi sana havipo kwenye BOQ zenu wakati katika uhalisi vina gharimu pesa tena sana
Wakuu wa wilaya wana waweka ndani walimu kisa ujenzi umechelewa au upo chini ya kiwango, jaman hivi mwalimu aliye jifunza kushika chaki na kupiga kelele na wanafunz darasa la pili leo anahangaika na size za nondo ? Anahangaika na ratio za cement , ahangaike na mafundi wezi na wadokozi ambao ukipepesa macho tu wameshafichaa kilo 2 za misumari yaani siku nzima upo na ujenzi hayo kayasoma wapi kwenye cheti chake hata akastahili kusimangwa nankuwekwa mahabusu akiyakosea?
Lakini pia swala hili limeathiri sana ufundishwaji wa watoto huko madarasani maana mda mwingi ni vikao vya kamati na kuandaa mihutasari ya vikao kusimamia mafundi bado asimamie mitihani na asahihishe na kupanga matokeo ya mitihani ya wanafunzi hapo achilia mbali kuingia darasani kufundisha vipindi vyote tabu tupu huko.
Kibaya zaid TAMISEMI tarajieni kupata majengo ya hovyo kuwahi kutokea kwa sababu zifuatazo
1. Kuna baadhi majengo yamejengwa na tofali mbichi kabisa
2. Hatua za ujenzi kitaalamu hazikuzingatiwa kabisa kwenye majengo mengi kwa sababu:-
- mkuu wa wilaya naye ni makandarasi akienda site naye ana maelekezo yake
- mkurugenzi naye ni mkandarasi akienda site naye anamaelekezo yake
- afisa elimu naye ni mkandarasi akienda site naye ana maelekezo yake
- ofisa tarafa naye ni mkandarasi akienda site naye ana maelekezo yake
- mwenye kiti CCM wilaya naye ni mkandarasi akienda site naye ana maelekezo yake hapo bado mkuu wa mkoa, afisa tawala mkoa, mwenyekiti wa Ccm mkoa na wengineo yaan miluzi hadi mbwa haelewi aende wapi.
- engineer wilaya naye ni mkandarasi akienda site naye anatoa maelekezo yake tena ya kitaalam
lakin Cha ajabu mkuu wa wilaya anaweza kupinga maelekezo ya engeneer na akataka yafuatwe yakwake sababu yeye ndiye yeye 😅😅😅.
Tofali inafyatuliwa leo kesho inajenga 😅😅😅😅 speed ya mwanga bora majengo na sio majengo bora kila mkuu wa wilaya anataka kabla tarehe 15 decemba 2021 awe wakwanza kukabidhi bora jengo sio jengo bora.
muwe na huruma nyie watu fedha hizi ni za mkopo tutalipa wakati majengo yatabomoka ndani ya miaka 5-10.
USHAURI: Kwanini TAMISEMI fedha hizi msiingize mapema sana ili kupunguza huku kufanya kazi kwa pressure kubwa na speed ambayo inachochea kabisa kupata majengo majengo yasiyo bora kabisa?
Lakini pia kwanini TAMISEMI msiingize fedha hizi kwenye account za vijiji au kata ili wao waunde kamati zao huko za vijiji na wananchi wasimamie ujenzi na walimu muwaache waendelee na wajibu wao ambao ni mzito sana kulingana na wingi wa wanafunzi? Hebu kaeni mlitafakari upya na kwa umakini swala hili hali si nzuri hata kidogo.
Hapo ndio umeandika nini ?Uelewa wako wa mambo ni mdogo sana sana maana yaonesha hujui lolote lile siku nyingine tulia au uliza wanao jua wakuelimishe kwanza kabla ya kukoment
Hakuna chama hapo. Viongozi wengi wa vyama vya kitaaluma hivi hawako independent hawako aggressive wanawaza siasa na teuzi tu. Yaani CWT unaweza ukaipa virefu vingi sana kwa undumilakuwili waoKwa hili TAMISEMI kaeni mfikiri upya mzigo mnao watwisha walimu ukiachilia mbali mzigo wa vipindi walio nao si haki na si sawa
Na CWT mpo kimya hata hamfuatilii mkaona ni madhila gani walimu walio chini ya chama chenu wana nyanyasika na kusurubishwa kwa kazi ambayo hawakuisomea na wala hawana ujuzi nayo.
Wakuu wa wilaya wana dhalilisha walimu , wana waweka ndani na maneno ya dhihaka sababu ya ujenzi wa madarasa ?? Mlifikiriaje kuwatwisha mzigo huu walimu?
Kwanini hizo pesa za ujenzi msiziingize kwenye account za vijiji au kata au hata halmashauri ili walimu waendelee na kazi yao ya kufundisha watoto? Mda mwingi walimu wanahangaika na mambo ya ujenzi hao wananchi wenyewe ushiriki wao duni sana sababu mmesha ingiza siasa huko, kwanini mnawaongezea majukumu walimu tena mazito yenye masimango na kuviziana?
Nasema kuviziana sababu vitu vingi vilivyo andikwa kwenye BOQ zenu haviakisi uhalisia wa bei zilizoko sokoni pia kuna vitu vingi sana havipo kwenye BOQ zenu wakati katika uhalisi vina gharimu pesa tena sana
Wakuu wa wilaya wana waweka ndani walimu kisa ujenzi umechelewa au upo chini ya kiwango, jaman hivi mwalimu aliye jifunza kushika chaki na kupiga kelele na wanafunz darasa la pili leo anahangaika na size za nondo ? Anahangaika na ratio za cement , ahangaike na mafundi wezi na wadokozi ambao ukipepesa macho tu wameshafichaa kilo 2 za misumari yaani siku nzima upo na ujenzi hayo kayasoma wapi kwenye cheti chake hata akastahili kusimangwa nankuwekwa mahabusu akiyakosea?
Lakini pia swala hili limeathiri sana ufundishwaji wa watoto huko madarasani maana mda mwingi ni vikao vya kamati na kuandaa mihutasari ya vikao kusimamia mafundi bado asimamie mitihani na asahihishe na kupanga matokeo ya mitihani ya wanafunzi hapo achilia mbali kuingia darasani kufundisha vipindi vyote tabu tupu huko.
Kibaya zaid TAMISEMI tarajieni kupata majengo ya hovyo kuwahi kutokea kwa sababu zifuatazo
1. Kuna baadhi majengo yamejengwa na tofali mbichi kabisa
2. Hatua za ujenzi kitaalamu hazikuzingatiwa kabisa kwenye majengo mengi kwa sababu:-
- mkuu wa wilaya naye ni makandarasi akienda site naye ana maelekezo yake
- mkurugenzi naye ni mkandarasi akienda site naye anamaelekezo yake
- afisa elimu naye ni mkandarasi akienda site naye ana maelekezo yake
- ofisa tarafa naye ni mkandarasi akienda site naye ana maelekezo yake
- mwenye kiti CCM wilaya naye ni mkandarasi akienda site naye ana maelekezo yake hapo bado mkuu wa mkoa, afisa tawala mkoa, mwenyekiti wa Ccm mkoa na wengineo yaan miluzi hadi mbwa haelewi aende wapi.
- engineer wilaya naye ni mkandarasi akienda site naye anatoa maelekezo yake tena ya kitaalam
lakin Cha ajabu mkuu wa wilaya anaweza kupinga maelekezo ya engeneer na akataka yafuatwe yakwake sababu yeye ndiye yeye [emoji28][emoji28][emoji28].
Tofali inafyatuliwa leo kesho inajenga [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] speed ya mwanga bora majengo na sio majengo bora kila mkuu wa wilaya anataka kabla tarehe 15 decemba 2021 awe wakwanza kukabidhi bora jengo sio jengo bora.
muwe na huruma nyie watu fedha hizi ni za mkopo tutalipa wakati majengo yatabomoka ndani ya miaka 5-10.
USHAURI: Kwanini TAMISEMI fedha hizi msiingize mapema sana ili kupunguza huku kufanya kazi kwa pressure kubwa na speed ambayo inachochea kabisa kupata majengo majengo yasiyo bora kabisa?
Lakini pia kwanini TAMISEMI msiingize fedha hizi kwenye account za vijiji au kata ili wao waunde kamati zao huko za vijiji na wananchi wasimamie ujenzi na walimu muwaache waendelee na wajibu wao ambao ni mzito sana kulingana na wingi wa wanafunzi? Hebu kaeni mlitafakari upya na kwa umakini swala hili hali si nzuri hata kidogo.
Uendeshaji wa Shule umewekewa sheria na kanuni. Hakika inashangaza kuona kukithiri kwa uvunjwaji wa sheria hizo kunakofanywa na watu ambao hawajatajwa kisheria katika usimamizi wa elimu.Kwa hili TAMISEMI kaeni mfikiri upya mzigo mnao watwisha walimu ukiachilia mbali mzigo wa vipindi walio nao si haki na si sawa
Na CWT mpo kimya hata hamfuatilii mkaona ni madhila gani walimu walio chini ya chama chenu wana nyanyasika na kusurubishwa kwa kazi ambayo hawakuisomea na wala hawana ujuzi nayo.
Wakuu wa wilaya wana dhalilisha walimu , wana waweka ndani na maneno ya dhihaka sababu ya ujenzi wa madarasa ?? Mlifikiriaje kuwatwisha mzigo huu walimu?
Kwanini hizo pesa za ujenzi msiziingize kwenye account za vijiji au kata au hata halmashauri ili walimu waendelee na kazi yao ya kufundisha watoto? Mda mwingi walimu wanahangaika na mambo ya ujenzi hao wananchi wenyewe ushiriki wao duni sana sababu mmesha ingiza siasa huko, kwanini mnawaongezea majukumu walimu tena mazito yenye masimango na kuviziana?
Nasema kuviziana sababu vitu vingi vilivyo andikwa kwenye BOQ zenu haviakisi uhalisia wa bei zilizoko sokoni pia kuna vitu vingi sana havipo kwenye BOQ zenu wakati katika uhalisi vina gharimu pesa tena sana
Wakuu wa wilaya wana waweka ndani walimu kisa ujenzi umechelewa au upo chini ya kiwango, jaman hivi mwalimu aliye jifunza kushika chaki na kupiga kelele na wanafunz darasa la pili leo anahangaika na size za nondo ? Anahangaika na ratio za cement , ahangaike na mafundi wezi na wadokozi ambao ukipepesa macho tu wameshafichaa kilo 2 za misumari yaani siku nzima upo na ujenzi hayo kayasoma wapi kwenye cheti chake hata akastahili kusimangwa nankuwekwa mahabusu akiyakosea?
Lakini pia swala hili limeathiri sana ufundishwaji wa watoto huko madarasani maana mda mwingi ni vikao vya kamati na kuandaa mihutasari ya vikao kusimamia mafundi bado asimamie mitihani na asahihishe na kupanga matokeo ya mitihani ya wanafunzi hapo achilia mbali kuingia darasani kufundisha vipindi vyote tabu tupu huko.
Kibaya zaid TAMISEMI tarajieni kupata majengo ya hovyo kuwahi kutokea kwa sababu zifuatazo
1. Kuna baadhi majengo yamejengwa na tofali mbichi kabisa
2. Hatua za ujenzi kitaalamu hazikuzingatiwa kabisa kwenye majengo mengi kwa sababu:-
- mkuu wa wilaya naye ni makandarasi akienda site naye ana maelekezo yake
- mkurugenzi naye ni mkandarasi akienda site naye anamaelekezo yake
- afisa elimu naye ni mkandarasi akienda site naye ana maelekezo yake
- ofisa tarafa naye ni mkandarasi akienda site naye ana maelekezo yake
- mwenye kiti CCM wilaya naye ni mkandarasi akienda site naye ana maelekezo yake hapo bado mkuu wa mkoa, afisa tawala mkoa, mwenyekiti wa Ccm mkoa na wengineo yaan miluzi hadi mbwa haelewi aende wapi.
- engineer wilaya naye ni mkandarasi akienda site naye anatoa maelekezo yake tena ya kitaalam
lakin Cha ajabu mkuu wa wilaya anaweza kupinga maelekezo ya engeneer na akataka yafuatwe yakwake sababu yeye ndiye yeye 😅😅😅.
Tofali inafyatuliwa leo kesho inajenga 😅😅😅😅 speed ya mwanga bora majengo na sio majengo bora kila mkuu wa wilaya anataka kabla tarehe 15 decemba 2021 awe wakwanza kukabidhi bora jengo sio jengo bora.
muwe na huruma nyie watu fedha hizi ni za mkopo tutalipa wakati majengo yatabomoka ndani ya miaka 5-10.
USHAURI: Kwanini TAMISEMI fedha hizi msiingize mapema sana ili kupunguza huku kufanya kazi kwa pressure kubwa na speed ambayo inachochea kabisa kupata majengo majengo yasiyo bora kabisa?
Lakini pia kwanini TAMISEMI msiingize fedha hizi kwenye account za vijiji au kata ili wao waunde kamati zao huko za vijiji na wananchi wasimamie ujenzi na walimu muwaache waendelee na wajibu wao ambao ni mzito sana kulingana na wingi wa wanafunzi? Hebu kaeni mlitafakari upya na kwa umakini swala hili hali si nzuri hata kidogo.
Walimu ni wa kuombewa kwa kweli wanapitia magumu sana. Wao ni watu wa kutishwa muda wote,kudhalilishwa na kudhiakiwa. Kada hiyo pamoja na upolisi sio kazi za kufanya kabisa ni utumwa.Nina kijiwe Cha welding,walikuja walimu kunipa kazi ya dawati 120 niifanye kwa siku 3 nime kataa,ni kitu kisicho wezekana.
Una umri ganiAmeenda kufanya ile kazi kama mwalimu au kama kada? Unatumia nini kufikiria broo?
Una umri gani
Elimu gani
Unaishi mjini? Ulishawahi ishi ma kufanya kazi kijijini?
Ulishawahi simamia Kura popote?
Haaha..umepiga kwenye mshono..Wakati wa uchaguzi mlisaidia sana kuweka kura 10 kumi kwenye masanduku.
Mnavuna mlichopanda
Nina marafiki zangu walimu waliniambia bila kuficha. Wengine walipewa vifurushi kabisa vyenyr kura za Jiwe na mazuzu yake.Haaha..umepiga kwenye mshono..
Umesema kweli hawa walimu ni viazi kabisa.
Ndio wanaiweka serikalini kwa sh.50,000 kwa kuongeza kura 10 kwenye sanduku la kupigia kula
Hii niliishuhudia mm mwenyewe😂😂😂
Ukweli tu walimu hawajielewi ndio maana hao wanasiasa wanawafanya vipitishio kama sio madaraja
Bila katiba Bora Mpya haya yote ni ndoto kuyafikiaUendeshaji wa Shule umewekewa sheria na kanuni. Hakika inashangaza kuona kukithiri kwa uvunjwaji wa sheria hizo kunakofanywa na watu ambao hawajatajwa kisheria katika usimamizi wa elimu.
Kuna kamati/Bodi za shule, Kuna idara za elimu na ukaguzi wa Shule. Kwa hali ya sasa naona Kuna haja ya kupitia upya sheria na kanuni za Uendeshaji wa Shule zetu. Kwa hakika mfumo wetu wa elimu umeparaganyika.
Mbaya zaidi, siasa zimeingia mashuleni, Shule zimekuwa sehemu za wateule na wanasiasa kutafutia umaarufu. Inasikitisha. Na mbaya zaidi, hao wanasiasa wenyewe waliowengi Shule zilikuwa shidi kwao na failures.
Wizara tafadharini, pitieni muundo wa usimamizi wa Shule na elimu kwa ujumla.
Kwakweli. Na walijisifia kabisa kwa huo ujambazi waloufanya.Wakati wa uchaguzi mlisaidia sana kuweka kura 10 kumi kwenye masanduku.
Mnavuna mlichopanda
Jamaa hawanaga option B wanapotishwa kufukuzwa kazi wanaona mwisho wa maisha umefika.Kwakweli. Na walijisifia kabisa kwa huo ujambazi waloufanya.
Mungu akubariki sana.Nina kijiwe Cha welding,walikuja walimu kunipa kazi ya dawati 120 niifanye kwa siku 3 nime kataa,ni kitu kisicho wezekana.