Walimu wanawekwa ndani, wanadhalilishwa sababu ya ujenzi wa madarasa wakati si wakandarasi wala mafundi ujenzi. Nini maoni ya CWT kama chama?

Ni wilaya gani limetokea hili la Walimu kuwekwa ndani na Wakuu wa wilaya? Tusaidie tupate ushahidi Mkuu.
 
Walimu wanateswa na kale ka msemo
β€˜Utafanya kazi ya kufundisha na majukumu mengine utakayopangiwa na muajiri wako’
Sasa hayo majukumu mengine ndio yanatesa kuliko kazi aliyonayo!
 
Afu unaambiwa pamoja na madawati au viti meza na kwa nchi mzima ni flat rate as if mazingira yanafanana
 
Ningekutajia mmoja kwa majina yake na kituo chake cha kazi hapa sema nitafichua utambulisho wangu.
Wife ni mwalimu kuna wakati anajisahau na kuniambia kilichotokea humo kwenye kura
Kuna Rafiki yangu nilikutana naye siku chache baada ya uchaguzi llikua weekend tukaenda Kupata moja moto moja badiri nikamnunulia Kvant tukagonga duh alifunguka ogopa sana walimu
 
Kuna Rafiki yangu nilikutana naye siku chache baada ya uchaguzi llikua weekend tukaenda Kupata moja moto moja badiri nikamnunulia Kvant tukagonga duh alifunguka ogopa sana walimu
Kuna wajinga atakuuliza " una ushahidi"? Wakati kinondoni watoto waliitwa na ccm kwenda kupiga kura siku mbili kabla ya uchaguzi. Waliahidiwa kulipwa 5000/= walioenda kufanya hivyo ni wadogo zetu, wapwa nk
 
Kuna wajinga atakuuliza " una ushahidi"? Wakati kinondoni watoto waliitwa na ccm kwenda kupiga kura siku mbili kabla ya uchaguzi. Waliahidiwa kulipwa 5000/= walioenda kufanya hivyo ni wadogo zetu, wapwa nk
Tunavuna zaidi ya tulichopanda ukipanda kilo moja unavuna magunia mengiiii
 
Acha muendelee kunyooshwa tu na CCM mpaka mtakaponyooka
 
Hayo ysnasababishwa na walimu wenyewe kukubali kutumikishwa na wanasiasa.Na hili la madarasa litapeleka walimu wengi sana lupango ksma sio kunyanyasika.Na matatizo ya walimu niyasiku nyingi ila bado hawapati akili yakuweza kurudisha heshima yao mbele ya jamii na wanasiasa.Lakini pia naona kama hii nchi imekua kubwa sana kiasi kinachofanya mambo mengi kufanywa kwa njia za zima moto.Viongozi wanapanga mipango ya haraka haraka bila kujali ubora na ufanisi ndo maana mtu anakuja na wazo la ovyo la mwalimu kusimamia ujenzi wa darasa.Walimu wawe makini na hili maana wataangushiwa sana jumba bovu wasipojitambua.
 
Nina kijiwe Cha welding,walikuja walimu kunipa kazi ya dawati 120 niifanye kwa siku 3 nime kataa,ni kitu kisicho wezekana.
Bora ulikataa kwasababu lazima ungefanya kazi chini ya kiwango alafu badae waje kukudhalilisha nakujichukulia ujiko wakisiasa kupitia mgongo wako kwakujionyesha mbele ya waandishi wa habari kua wamekamata fisadi uliyelipua kazi ya umma.
 
Umeongea jambo la msingi sana
 
Walimu na watumishi wote wa serikali waliosimamia uchaguzi ndiyo vinara wa kuvuruga uchaguzi wa 2020 kwa kuingiza kura feki na kuchakachua matokeo ya majumuisho.
 
Walimu na watumishi wote wa serikali waliosimamia uchaguzi ndiyo vinara wa kuvuruga uchaguzi wa 2020 kwa kuingiza kura feki na kuchakachua matokeo ya majumuisho.
Mambo ya uchaguzi yana husiana nini na uzi wangu?
 
Wakati wanajenga nyumba zao nani huwa anafundisha ujenzi?
Shida itakua ni tamaa ya pesa wazionapo kwenye account za shul ma akili zinawaruka.
Hao waalimu ndo wanafundisha ma engineer sasa iweje wao washindwe kusimamia, hapo ni tamaaa ya pesa tu.
 
Wakati wanajenga nyumba zao nani huwa anafundisha ujenzi?
Shida itakua ni tamaa ya pesa wazionapo kwenye account za shul ma akili zinawaruka.
Hao waalimu ndo wanafundisha ma engineer sasa iweje wao washindwe kusimamia, hapo ni tamaaa ya pesa tu.
Comment kama ya mtoto wa darasa la kwanza πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Wakati wanajenga nyumba zao nani huwa anafundisha ujenzi?
Shida itakua ni tamaa ya pesa wazionapo kwenye account za shul ma akili zinawaruka.
Hao waalimu ndo wanafundisha ma engineer sasa iweje wao washindwe kusimamia, hapo ni tamaaa ya pesa tu.
Basi kama walimu ndo wanafundisha mainjinia.

Naomba upite hapo shule ya msingi Miembeni kuna mwalimu Madudu mwambie akufanyie oparesheni ya ubongo😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…