Walimu wapya 6000 kuajiriwa ifikapo Juni, kuanza na waliojitolea kwanza

Walimu wapya 6000 kuajiriwa ifikapo Juni, kuanza na waliojitolea kwanza

Yaan hadi kujitolea na je alieamua kuwa kwenye ajira yake kujipatia kipato kidogokidogo
 
Inenibidi niulize kwani siwaelewi tamisemi tangu Mhe: Rais atoe agizo zimepita wiki 2 na waziri wa tamisemi naona anazurura tuu. Bila majawabu yeyote au ndo kagomea tangazo la raisi? Shule zinalalamika hazina waaalimu ina maaana mpk raisi amfanyie
 
Kwani hata hizo hela zenyewe za kuwaajiri wanazo kweli?
 
Kwani wameshaomba hadi zitoke au unawaza zile 13000 walizoajiri 7000,ikabaki ahadi tu?
 
Mungu ndio Owner of our Density...akipanga utapata utapata no matter takataka inaitwa kujutolea.
 
Jamani nilikuwa naulizia zile ajira mama alisema wahitimu waajiriwe kimya mpka sasa.Yasije yakatokea yale ya waziri mkuu kwenye zile elfu 5 za mwendazake kwamba watu wameshaaajiliwa na wanaendelea kuripoti vituoni.

Kimya kikizid wazir mkuu hashindwi kusema wamesharipoti vituoni.
 
Screenshot_20210416-171111_Samsung Internet.jpg
 
Na wewe ni mwl mtarajiwa? Kwa uandishi huu, kazi ipo
 
zishajaaa na watu wanakaribia kwenda kazini,wewe bado upo mtaani mkuu?

njooo tusaidiane kubeba hii migunia ya vitunguu huku tujue kimoja,upande huo ushakukataaa
 
Back
Top Bottom