Walimu wapya 6000 kuajiriwa ifikapo Juni, kuanza na waliojitolea kwanza

Walimu wapya 6000 kuajiriwa ifikapo Juni, kuanza na waliojitolea kwanza

Bado subiri kati ya mwezi huu mpaka 7. Muhimu nahisi wanasubiria budget
 
Ndugu Habarini,

Samahani naomba Kuuliza Nafasi za Ualimu Serikali Walizozitangaza Pamoja na Nyinginezo Zitatoka Lini?

Hasa Kwenye Ualimu, Naombeni Msaada Kwa anayelijua Hili.

Asanteni
Inasemekana mda wowote litatoka tangazo
 
Anawadanganya tu huyo muunga juhudi silinde.

Hata ajira za mwisho walisema hivyo, lakini wengi sana hawakuajiliwa.

Usiwaamini sana CCM, waongo sana.

Kama walimsujudu, kumsifu na kimwabudu bwana maguguli, hata hajadekompose wamenza kusema alikuwa mwizi, dikteta na fisadi. Iweje kwa mwalimu wa kujitolea?

Ajira zitatoka kwa connections, rushwa, walemavu, masomo ya wachache, elimu maalumu na wachache kwa bahati

Kwa sasa usiwaamini CCM.
....Dekompose....nimekumbuka mbali sana
 
zishajaaa na watu wanakaribia kwenda kazini,wewe bado upo mtaani mkuu?

njooo tusaidiane kubeba hii migunia ya vitunguu huku tujue kimoja,upande huo ushakukataaa
[emoji23][emoji23][emoji23].Uwezekano wa Kazi ni lini Ndugu
 
Back
Top Bottom