Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemekana mda wowote litatoka tangazoNdugu Habarini,
Samahani naomba Kuuliza Nafasi za Ualimu Serikali Walizozitangaza Pamoja na Nyinginezo Zitatoka Lini?
Hasa Kwenye Ualimu, Naombeni Msaada Kwa anayelijua Hili.
Asanteni
Hahaaa,nan sasamkndu wake
....Dekompose....nimekumbuka mbali sanaAnawadanganya tu huyo muunga juhudi silinde.
Hata ajira za mwisho walisema hivyo, lakini wengi sana hawakuajiliwa.
Usiwaamini sana CCM, waongo sana.
Kama walimsujudu, kumsifu na kimwabudu bwana maguguli, hata hajadekompose wamenza kusema alikuwa mwizi, dikteta na fisadi. Iweje kwa mwalimu wa kujitolea?
Ajira zitatoka kwa connections, rushwa, walemavu, masomo ya wachache, elimu maalumu na wachache kwa bahati
Kwa sasa usiwaamini CCM.
Nini mkuu kuweka k badala ya c au....Dekompose....nimekumbuka mbali sana
Asante Sana Ndugu.Kwa Hiyo Kuna Uwezekano Wa Majina kuwekwa?.Bado subiri kati ya mwezi huu mpaka 7. Muhimu nahisi wanasubiria budget
Asante Sana Ndugu Ubarikiwe.Ngoja Tulisubiri Kwa HamuInasemekana mda wowote litatoka tangazo
[emoji23][emoji23][emoji23].Uwezekano wa Kazi ni lini Nduguzishajaaa na watu wanakaribia kwenda kazini,wewe bado upo mtaani mkuu?
njooo tusaidiane kubeba hii migunia ya vitunguu huku tujue kimoja,upande huo ushakukataaa