Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
kweli hata nilichoandika hujaelewwa hata A wala B. Mimi sijawahi uwa mwalimu wala kuajiriwa na serikali hata kwa bahati mbaya hizo shida za serikali siijui. Sijacompare mishahara nilichouliza, ndiyo utaratibu yani unavyoongea ni kama vile kufanyiwa hivyo ni sawa na ndiyo utaratibu.Unataka kujilinganisha na mbunge? Usifananishe vitu visivyoendana. Mshahara wa mwaliku wa degree ni TGSD ambayo ni laki 7+ mshahara wa mbunge unaujua? Pensio ya mwalimu haivuki mil 100 ya mbunge mil 200+ kwa miaka mitano hilo unalijua? Maisha ni vile ulivyochagua, we ulichagua kuwa mwalimu komaa na mazingira ya ualimu wenzio walichagua kuwa wabunge hujakatazwa kuwa mbunge[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kweli hata nilichoandika hujaelewwa hata A wala B. Mimi sijawahi uwa mwalimu wala kuajiriwa na serikali hata kwa bahati mbaya hizo shida za serikali siijui. Sijacompare mishahara nilichouliza, ndiyo utaratibu yani unavyoongea ni kama vile kufanyiwa hivyo ni sawa na ndiyo utaratibu.
Usidhani kila mtu ana maisha magumu mimi si mwajiriwa wa serikali na wala sina kipaji cha kuwa mwalimu.
Juna wilaya sijumbuki walipewa Mpaka na magodoro na majiko ya Gesi... Mapema tuu walivyoripoti...Hivi ni kweli huko wengine wameshapewa pesa ya kujikimu?.
Iringa pia mbona bado.
Nimeuliza hivyo wanavyotendewa mpaka mtoamada anasema asilalamike anashambuliwa ndiyo utaratibu? Maana ni kama vile watu mnakubaliana na mambo ambayo kimsingi siyo utaratibu kisa ni mazoea. Haijalishi yawe ni mazoea, kama siyo utaratibu wa mambo basi si sawa mtu akilalamika aonekane kama kakosea na hilo ndilo linafanya hadi watu nchi hii wachapwe viboko lakini lionekane ni jambo la kawaida tuNakushangaa unaongea kama uko nje ya nchi.
Angalau wewe unaona uhalisia... Nakumbuka niliajiriwa mwanzoni Kama mwalimu... Huwezi amini tulikua miezi minne Bila Mshahara na pesa ya kunikimu tulitanguluziwa 50,000 nyingine walilipa baada ya mwaka na zaidi... Kama Kuna kitu kilinivunja Moyo mapema Ni Hayo mazingira ya kudharauliwa na wakuu kuonekana sii chochote...Hata wewe itakushinda utakapoo kaa miezi bila stahiki zako. Pamoja kuwa ualimu ni kazi ya wito lakini haina maana ni kazi ya kujitolea. Kazi hii imnaitwa ya wito kwa sababu hailipi vizuri, vituo vya kazi mara nyingne vinakuwa kwenye mazingira magumu. Wakati mwingine kufikia kituo cha kazi inabidi ujitwishe sanduku na kutembea km nyingi. Kwa hiyo inahitaji moyo kuwa mwalimu. Lakini kamwe hii siyo kazi kujitolea. Kuwabeza walimu wanaodai haki ni ujinga mtupu. Kumbuka bila mwalimu usingefika hapo ulipo.
Sasa hii ipo Kisheria.. Je mtu asidai haki yake?? Hivi unajua Kada ya ualimu Imebeba watu wengi wanaotoka familia za vipato vya chini?? Kuna wengine wanahoji kabla ya ajira mtu uliishije... Sawa inaweza alikua anajishughulisha na shughuli ndogondogo... Lakini tukumbuke Ni Mazingira mapya na mageni kwake... Halafu Siyo kwamba pesa hazipo.. Tatizo Halmashauri nyingi hazina vipaumbele.Wewe ndio unajua maana ya posho ya kujikimu mimi sijui ila nataka nikwambie mimi nilipata kazi kabla yako kama unaona unajua sana basi nakuhakikishia unajua utopolo tu. Kazi za Serikali ukianza kulalamika saiv ujue utalalamika mpaka unastaafu, nimekwambia kuna kada zingine hiyo posho yenyewe hakuna na salary inachukua mpaka miezi mitatu haijaanza kutoka sasa chagua kuacha kazi au kuendelea
Sasa hii ipo Kisheria.. Je mtu asidai haki yake?? Hivi unajua Kada ya ualimu Imebeba watu wengi wanaotoka familia za vipato vya chini?? Kuna wengine wanahoji kabla ya ajira mtu uliishije... Sawa inaweza alikua anajishughulisha na shughuli ndogondogo... Lakini tukumbuke Ni Mazingira mapya na mageni kwake... Halafu Siyo kwamba pesa hazipo.. Tatizo Halmashauri nyingi hazina vipaumbele.
Nchi hii inahitaji ukombozi mkubwa wa fikra aisee.Nimeuliza hivyo wanavyotendewa mpaka mtoamada anasema asilalamike anashambuliwa ndiyo utaratibu? Maana ni kama vile watu mnakubaliana na mambo ambayo kimsingi siyo utaratibu kisa ni mazoea. Haijalishi yawe ni mazoea, kama siyo utaratibu wa mambo basi si sawa mtu akilalamika aonekane kama kakosea na hilo ndilo linafanya hadi watu nchi hii wachapwe viboko lakini lionekane ni jambo la kawaida tu
Inasikitisha sana, na hizo ndizo fikra za waliobahatika kusoma, je waliokoo huko vijijini hawana exposure!Nchi hii inahitaji ukombozi mkubwa wa fikra aisee.
Posho imeanzishwa kisheria na serikali ajabu haitekelezwi na wanaopaswa kuitekeleza. Mtu anapotaka itekelezwe anaambiwa avumilie atalipwa baadaye.Sasa hii ipo Kisheria.. Je mtu asidai haki yake?? Hivi unajua Kada ya ualimu Imebeba watu wengi wanaotoka familia za vipato vya chini?? Kuna wengine wanahoji kabla ya ajira mtu uliishije... Sawa inaweza alikua anajishughulisha na shughuli ndogondogo... Lakini tukumbuke Ni Mazingira mapya na mageni kwake... Halafu Siyo kwamba pesa hazipo.. Tatizo Halmashauri nyingi hazina vipaumbele.
Hela mtapewa labda shule zikifunguliwa au Mods wanasemaje?Unajua maana ya posho ya kujikimu na matumizi yaliyolengwa kuhusu hiyo posho?
Mbinga hukoo Ruvuma.Juna wilaya sijumbuki walipewa Mpaka na magodoro na majiko ya Gesi... Mapema tuu walivyoripoti...
Ila mtoa mada analalamikia hukohuko mbingaMbinga hukoo Ruvuma.
Maraisi wote wa Tanzania toka uhuru hadi sasa walikuwa walimuKwa Tanzania ualimu ni laana
Nadhani itakuwa mbinga DC inayolalamikiwa hapa nadhani ni mbinga TCIla mtoa mada analalamikia hukohuko mbinga
Sawa ila pesa za kujikimu watu wawe wavumilivu labda shule zikifunguliwaNadhani itakuwa mbinga DC inayolalamikiwa hapa nadhani ni mbinga TC
Wewe naye! Mtu analalamika kwenye stahiki zake, unaona kakosea?Watanzania tunapenda sana kulalamika, wakati haujapata ajira ya ualimu ulikuwa unalalamika, umepata ajira unalalamika. Mshukuru Mungu ata umepata iyo ajira.
Sawa ila pesa za kujikimu watu wawe wavumilivu labda shule zikifunguliwuvumilivu
Daaah kiongozi wakati wanavumilia wanakula nini au umevimbewa? Halafu unatumia neno labda!?Sawa ila pesa za kujikimu watu wawe wavumilivu labda shule zikifunguliwa