Walimu wapya walioripoti makazini Halmashauri ya Mbinga wahenyeshwa

Walimu wapya walioripoti makazini Halmashauri ya Mbinga wahenyeshwa

Bwana mdogo nakushauri upunguze speed mana nahsi pia Upo under probation kwa mwaka mmoja, hii approach ya kuja kumshitaki Mwajiri wako mitandaoni sio njia nzuri najua hata ofisi kwake hujafika kupata maelezo yake, naamini ungefika na kujieleza hata kidogo ungepewa kusukuma siku ila kuja kujiliza hapa inaonesha ni jinsi gani hujawa matured na huwezi ata kuwa na siri za vitu vya ndani
 
Unataka kujilinganisha na mbunge? Usifananishe vitu visivyoendana. Mshahara wa mwaliku wa degree ni TGSD ambayo ni laki 7+ mshahara wa mbunge unaujua? Pensio ya mwalimu haivuki mil 100 ya mbunge mil 200+ kwa miaka mitano hilo unalijua? Maisha ni vile ulivyochagua, we ulichagua kuwa mwalimu komaa na mazingira ya ualimu wenzio walichagua kuwa wabunge hujakatazwa kuwa mbunge[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kweli hata nilichoandika hujaelewwa hata A wala B. Mimi sijawahi uwa mwalimu wala kuajiriwa na serikali hata kwa bahati mbaya hizo shida za serikali siijui. Sijacompare mishahara nilichouliza, ndiyo utaratibu yani unavyoongea ni kama vile kufanyiwa hivyo ni sawa na ndiyo utaratibu.
Usidhani kila mtu ana maisha magumu mimi si mwajiriwa wa serikali na wala sina kipaji cha kuwa mwalimu.
 
kweli hata nilichoandika hujaelewwa hata A wala B. Mimi sijawahi uwa mwalimu wala kuajiriwa na serikali hata kwa bahati mbaya hizo shida za serikali siijui. Sijacompare mishahara nilichouliza, ndiyo utaratibu yani unavyoongea ni kama vile kufanyiwa hivyo ni sawa na ndiyo utaratibu.
Usidhani kila mtu ana maisha magumu mimi si mwajiriwa wa serikali na wala sina kipaji cha kuwa mwalimu.

Nakushangaa unaongea kama uko nje ya nchi.
 
Nakushangaa unaongea kama uko nje ya nchi.
Nimeuliza hivyo wanavyotendewa mpaka mtoamada anasema asilalamike anashambuliwa ndiyo utaratibu? Maana ni kama vile watu mnakubaliana na mambo ambayo kimsingi siyo utaratibu kisa ni mazoea. Haijalishi yawe ni mazoea, kama siyo utaratibu wa mambo basi si sawa mtu akilalamika aonekane kama kakosea na hilo ndilo linafanya hadi watu nchi hii wachapwe viboko lakini lionekane ni jambo la kawaida tu
 
Hata wewe itakushinda utakapoo kaa miezi bila stahiki zako. Pamoja kuwa ualimu ni kazi ya wito lakini haina maana ni kazi ya kujitolea. Kazi hii imnaitwa ya wito kwa sababu hailipi vizuri, vituo vya kazi mara nyingne vinakuwa kwenye mazingira magumu. Wakati mwingine kufikia kituo cha kazi inabidi ujitwishe sanduku na kutembea km nyingi. Kwa hiyo inahitaji moyo kuwa mwalimu. Lakini kamwe hii siyo kazi kujitolea. Kuwabeza walimu wanaodai haki ni ujinga mtupu. Kumbuka bila mwalimu usingefika hapo ulipo.
Angalau wewe unaona uhalisia... Nakumbuka niliajiriwa mwanzoni Kama mwalimu... Huwezi amini tulikua miezi minne Bila Mshahara na pesa ya kunikimu tulitanguluziwa 50,000 nyingine walilipa baada ya mwaka na zaidi... Kama Kuna kitu kilinivunja Moyo mapema Ni Hayo mazingira ya kudharauliwa na wakuu kuonekana sii chochote...
 
Wewe ndio unajua maana ya posho ya kujikimu mimi sijui ila nataka nikwambie mimi nilipata kazi kabla yako kama unaona unajua sana basi nakuhakikishia unajua utopolo tu. Kazi za Serikali ukianza kulalamika saiv ujue utalalamika mpaka unastaafu, nimekwambia kuna kada zingine hiyo posho yenyewe hakuna na salary inachukua mpaka miezi mitatu haijaanza kutoka sasa chagua kuacha kazi au kuendelea
Sasa hii ipo Kisheria.. Je mtu asidai haki yake?? Hivi unajua Kada ya ualimu Imebeba watu wengi wanaotoka familia za vipato vya chini?? Kuna wengine wanahoji kabla ya ajira mtu uliishije... Sawa inaweza alikua anajishughulisha na shughuli ndogondogo... Lakini tukumbuke Ni Mazingira mapya na mageni kwake... Halafu Siyo kwamba pesa hazipo.. Tatizo Halmashauri nyingi hazina vipaumbele.
 
Sasa hii ipo Kisheria.. Je mtu asidai haki yake?? Hivi unajua Kada ya ualimu Imebeba watu wengi wanaotoka familia za vipato vya chini?? Kuna wengine wanahoji kabla ya ajira mtu uliishije... Sawa inaweza alikua anajishughulisha na shughuli ndogondogo... Lakini tukumbuke Ni Mazingira mapya na mageni kwake... Halafu Siyo kwamba pesa hazipo.. Tatizo Halmashauri nyingi hazina vipaumbele.

Rais mwenyewe aliacha ualimu akaenda kwenye siasa we unajifunza nini Chief [emoji23][emoji23]
 
Nimeuliza hivyo wanavyotendewa mpaka mtoamada anasema asilalamike anashambuliwa ndiyo utaratibu? Maana ni kama vile watu mnakubaliana na mambo ambayo kimsingi siyo utaratibu kisa ni mazoea. Haijalishi yawe ni mazoea, kama siyo utaratibu wa mambo basi si sawa mtu akilalamika aonekane kama kakosea na hilo ndilo linafanya hadi watu nchi hii wachapwe viboko lakini lionekane ni jambo la kawaida tu
Nchi hii inahitaji ukombozi mkubwa wa fikra aisee.
 
Nchi hii inahitaji ukombozi mkubwa wa fikra aisee.
Inasikitisha sana, na hizo ndizo fikra za waliobahatika kusoma, je waliokoo huko vijijini hawana exposure!
 
Sasa hii ipo Kisheria.. Je mtu asidai haki yake?? Hivi unajua Kada ya ualimu Imebeba watu wengi wanaotoka familia za vipato vya chini?? Kuna wengine wanahoji kabla ya ajira mtu uliishije... Sawa inaweza alikua anajishughulisha na shughuli ndogondogo... Lakini tukumbuke Ni Mazingira mapya na mageni kwake... Halafu Siyo kwamba pesa hazipo.. Tatizo Halmashauri nyingi hazina vipaumbele.
Posho imeanzishwa kisheria na serikali ajabu haitekelezwi na wanaopaswa kuitekeleza. Mtu anapotaka itekelezwe anaambiwa avumilie atalipwa baadaye.

Yaani sheria inavunjwa, anayepinga uvunjwaji huo anabezwa na kuambiwa ni kawaida avumilie.
 
Kazi ya ualimu ndo ilikuwaga kazi ya ndoto yangu ila maisha hayana formula nikajikuta nipo uku...
 
Back
Top Bottom