Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
Bwana mdogo nakushauri upunguze speed mana nahsi pia Upo under probation kwa mwaka mmoja, hii approach ya kuja kumshitaki Mwajiri wako mitandaoni sio njia nzuri najua hata ofisi kwake hujafika kupata maelezo yake, naamini ungefika na kujieleza hata kidogo ungepewa kusukuma siku ila kuja kujiliza hapa inaonesha ni jinsi gani hujawa matured na huwezi ata kuwa na siri za vitu vya ndani