ZINJANTHROPAZ
JF-Expert Member
- Aug 6, 2023
- 287
- 470
Toka nasoma cjawah amini akili ya MWALIMU.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali imebadili mtaala na kuanzia mwaka huu, wanafunzi wa kidato cha kwanza wataanza kusoma mtaala mpya. Hivyo Serikali imeamua kuwapa semina walimu ili kuendana na kasi ya mtaala mpya.
Walimu kutoka Halmashauri X wametakiwa kuhudhuria semina ya mtaala mpya ambapo malipo yao ni sh. Elfu tatu kwa siku.
Mafunzo hayo yatakayofanyika kwa siku mbili jumla kila mwalimu atalipwa kitita cha sh. 6,000/=
Mimi ni mjumbe tu, na mjumbe hauwawi.
Elfu 3 na sio 30Hii kada imejaa wajinga sana.
Kada zingine posho za nje ya ofisi kuanzia laki na nusu kwa siku posho za mafunzo au semina za ndani sh. 75k per day . Ila Hawa wanakubali kulipwa sh. 30k kwa siku .
Kweli mfano ustawi chini ya manispaa kikao cha ndani cha kawaida 40000 per day iko kinasimamiwa na manispaa nje ya manispa mfano now wiki ya sheria kutoa elimu per day 50000 na upo ndani ya manispaa ukitoka na hapo bado mashirika yalio zamini hawaja wasainisha unakuta shirika moja linawasainisha 100000 per day sijawai ona mtu wa ustawi kasain posho ya 20000 kushuka chiniHii kada imejaa wajinga sana.
Kada zingine posho za nje ya ofisi kuanzia laki na nusu kwa siku posho za mafunzo au semina za ndani sh. 75k per day . Ila Hawa wanakubali kulipwa sh. 30k kwa siku .
Mwongozo wa Posho serikalini upo wazi. Walimu tumieni akili
Bora waseme hakuna posho kabisa kuliko kumlipa Mtu mzima afu tatu.Serikali imebadili mtaala na kuanzia mwaka huu, wanafunzi wa kidato cha kwanza wataanza kusoma mtaala mpya. Hivyo Serikali imeamua kuwapa semina walimu ili kuendana na kasi ya mtaala mpya.
Walimu kutoka Halmashauri X wametakiwa kuhudhuria semina ya mtaala mpya ambapo malipo yao ni sh. Elfu tatu kwa siku.
Mafunzo hayo yatakayofanyika kwa siku mbili jumla kila mwalimu atalipwa kitita cha sh. 6,000/=
Mimi ni mjumbe tu, na mjumbe hauwawi.
Ni uongo promax , acha kupotosha umaSerikali imebadili mtaala na kuanzia mwaka huu, wanafunzi wa kidato cha kwanza wataanza kusoma mtaala mpya. Hivyo Serikali imeamua kuwapa semina walimu ili kuendana na kasi ya mtaala mpya.
Walimu kutoka Halmashauri X wametakiwa kuhudhuria semina ya mtaala mpya ambapo malipo yao ni sh. Elfu tatu kwa siku.
Mafunzo hayo yatakayofanyika kwa siku mbili jumla kila mwalimu atalipwa kitita cha sh. 6,000/=
Mimi ni mjumbe tu, na mjumbe hauwawi.
nilikuwa nachat na anko angu ticha, akaniambia ni kweli hizo mbanga, yeye yupo arusha wameambiwa hiviView attachment 3214716
Ukweli ni upi? Leta evidence kama wenzakoNi uongo promax , acha kupotosha uma
Mkuu hivi unajua vitisho na kash kash wanazopewa wasipohidhuria hivyo vikao? Ulizia vzr ujulishwe!Bora hiyo elfu tatu. Mwaka jana walipewa maji ya kikao basi..
Ila walimu sijui nani aliwaloga kwakweli.
Na hapo sasa utakuta wamejazana haswa .
Hushangaii walimu wana miezi sita hawajalipwa shule flani hata mia ila wapo tuuu.. Daah
Bro, ngoja kwanza, ulikua una maana ya laki 3 au elfu thelathini?Aiseee!,na kuna watu wanalipana 30,000 kwa siku na ni kila mara
Lakin mwalimu mara moja tu wameshindwa kumpa hata ten,hakika binadamu ni wabinafsi sana
😃😃😃Hapo Bado ndo kwanza tupo januaryKwani hao wenzetu wanatumia mwongozo gani wa kulipa Posho?
Kwa mujibu wa mwongozo wa Wizara ya Fedha/Hazina
Posho huwa ni shilingi 80,000-250,000 Kwa Siku
Hiyo ya elfu 3, ndiyo naona Mwaka huu 🙌
Kweli Walimu hawapendani 🙌
Kasome vizuri uzi bro, bado mkandarasi wa Chai atapeleka madai yake kwa RAO halafu RAO nae kuna sehemu atapeleka ndio mshindi wa tenda ya Chai atalipwa, hadi hapo bado unaamini Chai ni jero 6?Elfu tatu inatoshaje kwenye chai na nauli?