Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hii Nchi ina ongoza kuongozwa na Walimu😃😃😃Hapo Bado ndo kwanza tupo january
Lakini sioni wakiwatetea wenzao
Tunawashinda hadi Sisi Wakulima tuna Umoja 🤗
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii Nchi ina ongoza kuongozwa na Walimu😃😃😃Hapo Bado ndo kwanza tupo january
Yani ni km akili zimeganda 😃😃Hii Nchi ina ongoza kuongozwa na Walimu
Lakini sioni wakiwatetea wenzao
Tunawashinda hadi Sisi Wakulima tuna Umoja 🤗
Extra duty inaenda kwa level ya elimuYaani hata kama ni extra duty, hulipwa 40,000 na sio hiyo 3,000 yao
Otherwise waseme mafunzo yao hayana Posho ila chakula watagharamiwa
Japo hiyo elfu 3 hata Chipsi yai Kwa hoteli haitoshi 🙌
Ni vile hawapendani tuYani ni km akili zimeganda 😃😃
Si haba...Serikali imebadili mtaala na kuanzia mwaka huu, wanafunzi wa kidato cha kwanza wataanza kusoma mtaala mpya. Hivyo Serikali imeamua kuwapa semina walimu ili kuendana na kasi ya mtaala mpya.
Walimu kutoka Halmashauri X wametakiwa kuhudhuria semina ya mtaala mpya ambapo malipo yao ni sh. Elfu tatu kwa siku.
Mafunzo hayo yatakayofanyika kwa siku mbili jumla kila mwalimu atalipwa kitita cha sh. 6,000/=
Mimi ni mjumbe tu, na mjumbe hauwawi.
Ualimu ni witoTraining ya 75k kwa siku labda ifanyike ofisini kwetu muda wa kazi ndio nauhuduria kikamilifu.
Kama nje ya kituo lazima nilipwe full perdiem.
Elfu 3 bora nikose ujuzi.
Ndiyo lakini sambamba na ngazi ya mshaharaExtra duty inaenda kwa level ya elimu
30k wapi mkuu ni 3k 🤣🤣Hii kada imejaa wajinga sana.
Kada zingine posho za nje ya ofisi kuanzia laki na nusu kwa siku posho za mafunzo au semina za ndani sh. 75k per day . Ila Hawa wanakubali kulipwa sh. 30k kwa siku .
DuhSerikali imebadili mtaala na kuanzia mwaka huu, wanafunzi wa kidato cha kwanza wataanza kusoma mtaala mpya. Hivyo Serikali imeamua kuwapa semina walimu ili kuendana na kasi ya mtaala mpya.
Walimu kutoka Halmashauri X wametakiwa kuhudhuria semina ya mtaala mpya ambapo malipo yao ni sh. Elfu tatu kwa siku.
Mafunzo hayo yatakayofanyika kwa siku mbili jumla kila mwalimu atalipwa kitita cha sh. 6,000/=
Mimi ni mjumbe tu, na mjumbe hauwawi.
We ndo umeelewa vizuri, kiufupi humo hamna posho ni just kulipiwa chai tuNilivyo elewa mimi.
Hiyo pesa watasaini ila hawatapewa mkononi ila watahudumiwa chai,hizo saini zao ni kwajili ya kuandikia pesa ili alipwe aliehudumia chai