kijani11
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 8,113
- 8,610
wamesema ya chai. Nauli ni mawazo yako tu mkuu.Elfu tatu inatoshaje kwenye chai na nauli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wamesema ya chai. Nauli ni mawazo yako tu mkuu.Elfu tatu inatoshaje kwenye chai na nauli?
Hivi wale walilipwa? Siku wale wajumbe kutoka Zanzibar wanarudi nlikuwa bandarini... walikua wamewekewa utaratibu wa kupita free pale Azam aisee walikua wamechoka, hawapo nadhifu ukiwaangalia unaweza sema ni mtu aliyeeenda kulima Kiteto baada ya wiki tatu ndo karudi mjini😁Wajumbe WA CCM hapo Dodoma juzi walichukua milioni mbili na.ngapi!!!???????🤣🤣🤣😂😂😂
Hii nchi
Ptuuuu
Hatari.. wamezidi kuwadharau walimu sana.Serikali imebadili mtaala na kuanzia mwaka huu, wanafunzi wa kidato cha kwanza wataanza kusoma mtaala mpya. Hivyo Serikali imeamua kuwapa semina walimu ili kuendana na kasi ya mtaala mpya.
Walimu kutoka Halmashauri X wametakiwa kuhudhuria semina ya mtaala mpya ambapo malipo yao ni sh. Elfu tatu kwa siku.
Mafunzo hayo yatakayofanyika kwa siku mbili jumla kila mwalimu atalipwa kitita cha sh. 6,000/=
Mimi ni mjumbe tu, na mjumbe hauwawi.
Wanafanya mambo mengi sana ila kwa vile hawajitambui hizo ndio zinastahili kuwa posho zaoWalimu si makada wa Chama tawala
Kuna semina ilikuwaa ni elf 70 Kwa siku na Ilikuwa siku 6 ilisimamiwa na wizara na watoaji semina walitoka Baraza haikupita halmashauri ndio unafuu kidogo sijasikia Tena 😃😃😃Ndiyo lakini sambamba na ngazi ya mshahara
Ila Walimu wengi wanaangukia kwenye extra duty ya 30,000 hadi 40,000
Huu ni upuuziSerikali imebadili mtaala na kuanzia mwaka huu, wanafunzi wa kidato cha kwanza wataanza kusoma mtaala mpya. Hivyo Serikali imeamua kuwapa semina walimu ili kuendana na kasi ya mtaala mpya.
Walimu kutoka Halmashauri X wametakiwa kuhudhuria semina ya mtaala mpya ambapo malipo yao ni sh. Elfu tatu kwa siku.
Mafunzo hayo yatakayofanyika kwa siku mbili jumla kila mwalimu atalipwa kitita cha sh. 6,000/=
Mimi ni mjumbe tu, na mjumbe hauwawi.
Kazi ipo ubwaubwanilikuwa nachat na anko angu ticha, akaniambia ni kweli hizo mbanga, yeye yupo arusha wameambiwa hiviView attachment 3214716
Picha linaanza pale🤣🤣Aya, walimu naombeni mpange mstari
🤣Jamani msiingiliane nyote mtapata, jamani kuweni wastaarabu
😀😀😀Hivi wale walilipwa? Siku wale wajumbe kutoka Zanzibar wanarudi nlikuwa bandarini... walikua wamewekewa utaratibu wa kupita free pale Azam aisee walikua wamechoka, hawapo nadhifu ukiwaangalia unaweza sema ni mtu aliyeeenda kulima Kiteto baada ya wiki tatu ndo karudi mjini😁
Wewe ndio hujui ia ukweli ndio huoNi uongo promax , acha kupotosha uma