DOKEZO Walimu watakiwa kuhudhuria mafunzo ya mtaala mpya kwa siku 2 kwa malipo ya Tsh. 3,000 kwa siku!

DOKEZO Walimu watakiwa kuhudhuria mafunzo ya mtaala mpya kwa siku 2 kwa malipo ya Tsh. 3,000 kwa siku!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Camilo Cienfuegos

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2015
Posts
18,960
Reaction score
67,654
Serikali imebadili mtaala na kuanzia mwaka huu, wanafunzi wa kidato cha kwanza wataanza kusoma mtaala mpya. Hivyo Serikali imeamua kuwapa semina walimu ili kuendana na kasi ya mtaala mpya.

Pia soma:
~
DOKEZO - Walimu Mkoani Mwanza wafanya Mafunzo ya Mtaala Mpya bila Posho
~ Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) yafafanua madai ya kutoa mafunzo ya Mitaala kwa Walimu bila kuwapa posho

Walimu kutoka Halmashauri X wametakiwa kuhudhuria semina ya mtaala mpya ambapo malipo yao ni sh. Elfu tatu kwa siku.

Mafunzo hayo yatakayofanyika kwa siku mbili jumla kila mwalimu atalipwa kitita cha sh. 6,000/=

Mimi ni mjumbe tu, na mjumbe hauwawi.

IMG_5152.jpeg

Uthibitisho kutoka kwa wadau wengine:

nilikuwa nachat na anko angu ticha, akaniambia ni kweli hizo mbanga, yeye yupo arusha wameambiwa hiviView attachment 3214716
Jamaa yangu Arusha kasema mafunzo yatafanyika Jan 30-31 kwa walimu wote wa public na private wanaofundisha form one, na posho ndio hiyo. Ni huzuni na fezea

Mfano mwingine wa tukio kama hilo
Mkoa flani pembezoni mwa nchi walipewa semina siku mbili kwa malipo ya jumla ya tsh9000/= nasikia hawakuani. Ni aibu sana kwa serikari!
 
Kwani hao wenzetu wanatumia mwongozo gani wa kulipa Posho?

Kwa mujibu wa mwongozo wa Wizara ya Fedha/Hazina

Posho huwa ni shilingi 80,000-250,000 Kwa Siku

Hiyo ya elfu 3, ndiyo naona Mwaka huu 🙌

Kweli Walimu hawapendani 🙌
 
Bora hiyo elfu tatu. Mwaka jana walipewa maji ya kikao basi..

Ila walimu sijui nani aliwaloga kwakweli.

Na hapo sasa utakuta wamejazana haswa .

Hushangaii walimu wana miezi sita hawajalipwa shule flani hata mia ila wapo tuuu.. Daah
 
Back
Top Bottom