Nguo za nyumbani zitazuia wasipate corona?Ni kweli Make hata Simiyu mkuu wa Mkoa kafanya kikao na waalimu,na kuwataka wahudhurie shule kuwafundisha wanafunzi .Ila kwa sharti moja wanafunzi wametakiwa kuja wamevaa nguo za nyumbani.Anaebisha apige simu huko Bariadi aulize.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe unasema simiyu ipi? Kuhusu kuchukua maswali hiyo ni kweli ila si kweli kwamba eti Mh.Mtaka kawataka walimu wawe shuleni na watoto waende bila nguo za shule hii sio tamko rasmi,tamko rasmi ni kufuata maswali
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi ipo kwastyle hii walim tusitafute mchawi wetu tunajiloga wenyewe ama alietuloga ameshakufa ktambo wengne wanalilia muda sisi tunaona muda upo mwingi mpaka wakupoteza!!! Duuu hapa kaz ipo mimi pia ni mwalim lakn hili siliungi mkono labda kama kunamajukum yakuinua taaluma tunaenda kufanya vngnevyo hakuna mantiki huu unakuwa ni ukolonMkuu huu si ukweli, Mimi nipo simiyu kwa sasa sijaona wanafunzi wakienda shule wala mh.mtaka hajatoa tamko kama hili
Tukirudi kwenye hoja ya mtoa maada Mimi naona ni sahihi walimu kusaini ili kujua uwepo wao,ikumbukwe kuwa walioenda likizo ni watoto na si walimu na hata kwenye likizo za kawaida mwalimu hutakiwa kuwepo shuleni kila Mara ikiwa hana likizo
Sasa suala la mwalimu kwenda kusaini na kurudi nyumbani ili kujua uwepo wake sioni tatizo kabisa,ni sahihi na serikali haina budi kulitilia mkazo jambo hili na kama mwalimu anataka kuondoka afuate taratibu za kazi vile zinasema ikiwemo kuomba ruhusa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mwalimu kule kaunga mkono bhana hii nchi alieiloga cjui alitumia dawa ganLengo walimu wasiende misele maana wengine wakiwa off siku mbili tatu wanaruka mikoa kwenda kula bata sasa nadhani hiyo trick ni kuwafanya wawepo around kwenye vituo vyao vya kazi.
Hii ndio bongo hutaki kakae mamtoni[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea kama Afisa Elimu halmashauri, hahaha hahaSheria za kazi zipo wazi. Na walimu ni werevu sana. Wanazijua na wanazizingatia. Nikupe mfano, mtumishi yeyote akitoka nje ya eneo la halmashauri anayofanyia kazi bila ruhusa ya maandishi ya mkuu ( kwa mwalimu Mkurugenzi wa Halmashauri) ni kosa. Na ikitokea akapata changamoto (hatuombei) yoyote huko, mwajiri wake hatahusika kumsaidia. Sana sana atamshataki kwa utoro.
Kwa mfano huo juu, ndio maana nikakwambia, walimu niwajuao ni werevu sana!
Duh! Ahahahahah!
Umtaarifu Mtu ambaye yeye ndiye aliyekutangazia na kukupa ruhusa ya kwenda kwenu?Mkuu Acha kumlisha waziri mkuu maneno, waziri atoa amri ya shule kufungwa na si walimu kwenda kwao, kama umeenda songwe bila kumtaarifu mkuu wako wa kazi jua hilo ni kosa kisheria mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mashudu 100%unafahamu sheria za kazi au unakurupuka....hakuna sehemu serikali imesema uende mkoa mwingine mbali na kituo cha kazi....kwenda majumban kwa maana unapoishi karibu na kituo cha kazi......hivyo ni sahihi Kila siku akaripoti kazini na kusign, hapo kunakazi ganii angeambiwa hapewi mshahara si ndio Angelia kabisa...ninachoona kuwa fani ya uwalimu imekuwa ikideka deka tu Kila mara,mara hiki mara kile......yeye anaona anasumbuliwa kwenda kusign tu, ila ikifika mwisho wa mwezi haoni usumbufu kwenda kwenye ATM, pumbana sanaaaa