Walimuita Baba yangu majina ya ajabu, Freemason, mchawi

Bora wewee sisi tulikuwa na cruiser nyekundu Airport enzi za wanyonya damu wakalianzisha wakiona gari nyekundu tu nnyonya damu mpaka kesho wanaita kwa mnyonya damu hahaha mwamba alipoona shida akawalete citron....
 
Bora wewee sisi tulikuwa na cruiser nyekundu Airport enzi za wanyonya damu wakalianzisha wakiona gari nyekundu tu nnyonya damu mpaka kesho wanaita kwa mnyonya damu hahaha mwamba alipoona shida akawalete citron....
Dah, kwaiy wakadhani mzee anachinja watu na kuwanyonya damu 😂🙌

Lakini maskini hawakosi maneno ya kusema, wengine ndyo huwa wachawi kabisa
 
Dah, kwaiy wakadhani mzee anachinja watu na kuwanyonya damu 😂🙌

Lakini maskini hawakosi maneno ya kusema, wengine ndyo huwa wachawi kabisa
Ndioo maanake mkuu mpaka leo baadhi wanaamini hivyo sasa nikanza kulipaki bar kidogoo wakaona kumbe anaishi na watu maana mzee alikuwa akingia atoki mpaka aende issue zake..aisee polee sanaasanaa
 
watoto tulianza kujichanganya na mtaaa kuweka sawaa maana achatyu
 
walianza gari lammnyonya damuu lilee wakaja kusema mnyonyoa damu sasa tulipoanza kudrive na kaka wakanza kuita watoto wa mnyonya damu n mtihani
 
walianza gari lammnyonya damuu lilee wakaja kusema mnyonyoa damu sasa tulipoanza kudrive na kaka wakanza kuita watoto wa mnyonya damu n mtihani
Mzee naye alikuwa anafahamu kwamba wanamuita hivyo? Na alikuwa anawajibu nini
 
Ndioo maanake mkuu mpaka leo baadhi wanaamini hivyo sasa nikanza kulipaki bar kidogoo wakaona kumbe anaishi na watu maana mzee alikuwa akingia atoki mpaka aende issue zake..aisee polee sanaasanaa
Wengine wapo tayari kufanya figisu ili mambo yasiende, Lakini kwa uwezo wa Mungu hawezi kuruhusu maskini wa fikra na kipato wakakwamisha Juhudi na mafanikio ya wengine. Shukran sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…