kiredio Jr
JF-Expert Member
- Jul 8, 2024
- 989
- 1,843
- Thread starter
- #61
Alikuwa mchapakazi na sio mvivu, hiyo inatosha kuwa mbinu ambayo napaswa kuifuata ili nifike kama alipofika yeyehakukupa mbinu anazotumia kupata ela?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa mchapakazi na sio mvivu, hiyo inatosha kuwa mbinu ambayo napaswa kuifuata ili nifike kama alipofika yeyehakukupa mbinu anazotumia kupata ela?
Sahihi kabisa mkuu, lakini kwa sasa bado nasoma na nikimaliza mambo mengine yataendelea, pia bimkubwa yupo na anauwezo wa kusimamia baadhi ya mamboJitaidi sasa na wewe uendeleze mali za mzee wako, Mzee wako ameacha mali ili uweze kumuenzi vizuri basi kuwa balozi mzuri wa kuendeleza ukwasi wake
Kama hiyo ndyo sababu basi na mimi nimejifunza kitu hapoMzee wako alikuwa ana akili sana. Anajua hizo ndala na sandals za mafundi viatu ni chanzo kikuu cha fungus za miguu I.
Aminia kamanda 👍🏽Sahihi kabisa mkuu, lakini kwa sasa bado nasoma na nikimaliza mambo mengine yataendelea, pia bimkubwa yupo na anauwezo wa kusimamia baadhi ya mambo
FungusShida inanzia kwanini marehemu alikataa kuvaa ndala za fundi,wakati ni kawaida baadhi yetu kufanya hivyo
Imawezekana lkn ni kwa asilimia ndogo sana,huyo mzazi alikuwa na mambo yake mengine,kama ulivyosikia siku nyingine akatembea peku peku ili kuwapima watu ujinga,je inaleta maana kweli?Fungus
Huyo mjeda mshikqj flani tulikuwa tunakutana sana jogging, akabaki anacheka tu, nikawaambia wengi wanahisi hivyo!, mimi ni raia wa kawaida tu.Nini kilifuata baada ya hapo mkuu
Sio kuwapima watu ujinga ila alifanya hivyo ili kuwaonesha yeye hajali maneno yao na kama wanataka kusema basi waseme zaidiImawezekana lkn ni kwa asilimia ndogo sana,huyo mzazi alikuwa na mambo yake mengine,kama ulivyosikia siku nyingine akatembea peku peku ili kuwapima watu ujinga,je inaleta maana kweli?
Nimegundua kuwa masikini na fukara ndio jamii yenye roho ya wivu na uuaji.Itwa majina yote ili mradi unasonga mbele
Una bahati sana mkuu, angekuwa hakujui mbona ungeruka kichurachuraHuyo mjeda mshikqj flani tulikuwa tunakutana sana jogging, akabaki anacheka tu, nikawaambia wengi wanahisi hivyo!, mimi ni raia wa kawaida tu.
Mzee wangu ni Baba yanguSasa nije kwako dogo, wewe hayo maneno MZEE WANGU na Bi MKUBWA umeyatumia ukiwa una maanisha nini?
Kwani ungelisema BABA YANGU,MAMA YANGU UNGELI SHITAKIWA?Mzee wangu ni Baba yangu
Bimkubwa ni Mama yangu
Hapana nisinge shtakiwa, nimeamua kutumia tu hayo maneno.Kwani ungelisema BABA YANGU,MAMA YANGU UNGELI SHITAKIWA?
Siyo vizuri na HAIFAI kuwaita wazazi wako namna hiyo. Kuna BABA YANGU,BABA MKUBWA,BABA MDOGO.Hapana nisinge shtakiwa, nimeamua kutumia tu hayo maneno.
Sawa mkuu, nimekuelewa na sitotumia tena hayo majinaSiyo vizuri na HAIFAI kuwaita wazazi wako namna hiyo. Kuna BABA YANGU,BABA MKUBWA,BABA MDOGO.
MAMA YANGU,MAMA MKUBWA MAMA MDOGO.
HIVYO TU INAPENDEZA SANA.
Ila kwa upande wangu sioni kulikuwa na haja gani ya kufanya hivyo hata kuhatarisha afya yako,anyways tumuachie marehemu mwenyeweSio kuwapima watu ujinga ila alifanya hivyo ili kuwaonesha yeye hajali maneno yao na kama wanataka kusema basi waseme zaidi
Hilo ni moja ya jambo la kushangaza ambalo amewahi kufanya, yapo mengi ya kushangaza zaidiIla kwa upande wangu sioni kulikuwa na haja gani ya kufanya hivyo hata kuhatarisha afya yako,anyways tumuachie marehemu mwenyewe