Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Narudia tena humjui vizuri baba yako hiyo comment yako ni ushahidi tosha unamjua juu juu tu.Simjui baba yangu kivipi, nilikuwa najua shughuli zake zote na hakuna chonzo chochote cha mapato ambacho kilikuwa na utata au kuhusiana na hayo mambo machafu.
Hakuna nisicho kijua, pia hakuwa mtu wa kuficha mambo hasa kwa familia yakeNarudia tena humjui vizuri baba yako hiyo comment yako ni ushahidi tosha unamjua juu juu tu.
Hasa endapo wakiwa hawajui chanzo cha kipato cha muhusikaHayo mambo ni kawaida kwa jamii maskini. wanaamini mafanikio lazma uloge
Ukwasi ni kitu gani mkuu,pesa au?
Nilijua unaandika point kumbe utumboHabarini ndugu, Leo ni kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa ya Mzee wangu, nimeamua kushare story hii fupi inayohusu jambo ambalo lilimkuta enzi za uhai wake.
Kama ilivyo kawaida katika jamii zetu, mtu akiwa na mafanikio huitwa majina yote mabaya pasipo kujali uhakika wa madai hayo..
Siku moja ya jumapili, mzee alikuwa nyumbani na kama Kawaida yake jioni hupendelea kutoka na kwenda jirani kidogo na nyumbani kwa lengo la kukutana na kubadilishana mawazo na wadau ( kijiweni).
Baada ya kufika kijiweni, kwa bahati mbaya sendo aliyokuwa amevaa ikakatika na ikabidi ampe fundi viatu kwani hakuwa mbali na pale, alibaki na kiatu kimoja na alikataa kuvaa ndala ambazo alipatiwa na fundi.
Mwisho akaona amuachie fundi viatu vyote viwili ili arekebishe vyote, yeye akabaki peku kwa muda wa zaidi ya nusu saa huku akiwa bado anazunguka huku na kule.
Watu walimuona na kuanzia hapo maneno yakaanza, kwamba mzee amepewa masharti atembee peku, wengine wakaanza kusema ni Freemason.
Baada ya wiki kadhaa kupita, taarifa zikamfikia bimkubwa na akamweleza mzee kwamba mtaani watu wanasema hayo maneno, mzee hakupata wasiwasi na alicheka tu.
Ikafika jumapili nyingine, mzee akaona ngoja achochee moto vizuri kwani alikuwa ni mtu ambaye anapenda kucheza na akili za watu hasa wajinga, basi akaondoka nyumbani bila viatu (peku) akaenda kijiweni na akakaa huko kwa muda mrefu.
Watu walimuona na wakazidi kusema na kuzidi kumshutumu na ulozi, mzee hakujali na alifanya hivyo makusudi. Walikuwa na wasiwasi na mambo yake kwasababu hakuna aliyekuwa anajua mzee anafanya mishe au shughuli gani ambazo zinampa kipato.
Kwa sasa mzee wangu ni marehemu, Mungu amfanyie wepesi huko alipo, alikuwa mtu jasiri asiye yumbishwa na maneno ya walimwengu.
FUNZO: Wakiamua kukukanyaga kwa bahati mbaya na wewe walipue kwa makusudi.
Alikuwa mfanya biashara, hata hapa mtaani alikuwa na nyumba kadhaa.Alikuwa na mkwanja wa kutosha
Biashara kadhaa
Nyumba kadhaa
Pesa katika account kadhaa
MTU wa kutoa Sana na kusadia?
Mzee wako alikuwa MTU wa aina gani?
Wewe ndio unajua kuwa ni uongo ila jamii haijui hiloKachafua kivipi wakati ni tuhuma za uongo?
Kama hujaelewa au kuona point ni afadhali ukapita tu.Nilijua unaandika point kumbe utumbo
Na ndio maana sikuendelea kusoma hizi pumbaKama hujaelewa au kuona point ni afadhali ukapita tu.
Hata jamii ikiamini hivyo nini kitabadilika? Maisha yanaendelea na Namuombea mzee apumzike kwa AmaniWewe ndio unajua kuwa ni uongo ila jamii haijui hilo
Uongo ukirudiwa rudiwa watu udhani ni kweli
Pumba au utumbo? Mbona huelewekiNa ndio maana sikuendelea kusoma hizi pumba
Alikuwa mfanya biashara, hata hapa mtaani alikuwa na nyumba kadhaa.
Lakini hakupenda kujitenga au kujiskia, alikuwa akikaa na watu wa aina zote na kuwasaidia kwa kile alichokuwa anaweza kusaidia
Alifanya hivyo ili kucheza na akili zao hao wajinga, hakuwahi kuwajibu ila hakuogopa kufanya kitu kwa kuhofia kusemwaHuenda alikua na matatizo ya akili. Mtu na utimamu wake wa akili atembee peku tena mitaani kulivyo kuchafu??🤔🤔
Hao walikua sahihi kumuita hivyo mi ndo ningesema chizi kabisa
Kila sehemu watu wanaoamini uchawi wapo, ila wengi walikuwa hawajui kazi zake ila wanaona tu mafanikio yakeOK nimekupata mkuu inaonekana mzee wako alikuwa sehemu ambazo zinaamini katika UCHAWI.
Kila sehemu watu wanaoamini uchawi wapo, ila wengi walikuwa hawajui kazi zake ila wanaona tu mafanikio yake
Najitahidi kupita kwenye njia zake MkuuJitahidi na wewe uishi hivyo
Kweli siku hizi kuna mambo mengi ya ajabu lakini mimi sina tatzo na mtu wala sidhani kama kuna mtu ana nia ya kunidhuru bila sababuSiku hizi misukule ni kawaida, wewe jichunge tu wasiondoke na wewe. Zungumza na wazee wa busara wakuweke sawa. Kila atakaejaribu ngoma irudi kwake.