King Sae
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 3,282
- 6,471
Mmh..Ila mkuu kuiba ni tabia ya mtu haina mahusiano na mshahara kabisaKama wanaiba basi mshahara huwatoshi, wapewe mzigo wa kutosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh..Ila mkuu kuiba ni tabia ya mtu haina mahusiano na mshahara kabisaKama wanaiba basi mshahara huwatoshi, wapewe mzigo wa kutosha
Ukikosa hela lazima uibe kama pesa ipo karibu, Ina mana viongozi wote wanaiba ni tabia yao?Mmh..Ila mkuu kuiba ni tabia ya mtu haina mahusiano na mshahara kabsa
Sidhani kama viongozi wote wanaiba...Ila wachache wenye tabia hizo na wasiokuwa waaminifu ndio wanaiba.Ukikosa hela lazima uibe kama pesa ipo karibu, Ina mana viongozi wote wanaiba ni tabia yao?
Mtu amemaliza Kozi, kakaa Kambini miaka (7), Ajira hapati ila Wenzake wanapata na akipata Yeye ni ya Kulinda tu Vyooo unadhani atakuwa sawa?Habari!
Ukichukua matukio machache yaliyofanywa na hawa vijana wa SUMA JKT GUARD utagundua kuna kitu hakiko sawa. Kuna upepo umepunguza akili zao.
Majuzi jangwani walimpiga yule jamaa wa African sports na kupelekea kifo chake, tena tunapokea taarifa kuwa wamemuua mwananchi asiye na hatia aliyekuwa akilima shambani kwake karibu na msitu wanaoulinda.
Juzi jioni wakati natoka kazini narudi nyumbani njiani nikakutana na kijana wa suma kabeba Kirungu, manati, pingu na vikorokoro vingine anatembea akiekekea lindoni. Jinsi alivyojifanyia camouflage utadhani yupo vitani kumbe anakwenda kulinda kaeneo kadogo tu.
Wale vijana wa SUMA wengi wao ni vijana wa JKT waliomaliza mikataba yao na kurudi nyumbani bila mitaji.
Marafiki zao wengi ni vijana waliokuwa nao JKT ambao sasa ni watumishi wa JWTZ, TISS, ZIMAMOTO , UHAMIAJI, MAGEREZA na POLISI.
Wenzao wanakopa wanajenga, wananunua magari na kusaidia ndugu huku wao vijana wa SUMA wakilipwa kitapeli na kampuni yao ya ulinzi. Take home yao haifiki hata 250k, hawakopesheki benki, ajira yao kufukuzwa ni rahisi, hawana uhakika wa maisha ya uzeeni.
Muda wa kazi ni mwingi.
Hawa vijana wa SUMA wasaidiwe .
Ni vijana waliokosa dira , sasa wamebaki kujitutumua tu ili nao wahesabike kama wanajeshi.
Unajua JKT mtiti wake ni mzito sana, miezi 6 unakula kozi ngumu huku ukiendelea kulima kwa bidii, then umemaliza unaendelea kulimishwa zaidi kila siku. Unavumilia ukijua utafanikiwa mwisho wa siku unapewa nauli tu urudi kwenu, lazima uchanganyikiwe.
Hakuna anayekwenda JKT eti akajitolee tu kisha arudi nyumbani.
Basi serikali itoe mitaji kwa vijana wanaotoka JKT bila ajiraya uhakika ili wakaendeleze fani walizojifunza huko makambini. Wa kufuga samaki au kuku akafuge, wa kujenga akajenge n.k
Hahahaa mbona mimi sina matatizo ya akili
Ile kampuni ni private company inayoendeshwa kijanja. Sometimes wanapitia mwavuli wa jeshi kukwepa kodiBasi nafikiri hawa Suma wanalipwa na gavamenti na wapo chini ya jkt kumbe sio? 🤔. Hii kali
Uko sahihi.Mtu amemaliza Kozi, kakaa Kambini miaka (7), Ajira hapati ila Wenzake wanapata na akipata Yeye ni ya Kulinda tu Vyooo unadhani atakuwa sawa?
... wanashindwa kutofautisha miamri amri yao ya kijeshi makambini huko na namna ya ku-deal na raia wasiohitaji kujua taratibu zao za kijeshi. Jeshi lilitakiwa kujua hawa wanaenda kutumikia umma na mafunzo yao yawe ya mlengo huo.Wapo pale stendi kuu ya Dom,wamekaa kishari Shari tu,ile sehemu inatakiwa watu wanaojua customer care,sio Hawa wadogo zetu wenye stress,
Wengine wanaolinda Azania benk Dar,Masdo house,karibu na sanamu ya askari,usiku wanavuta bangi tupu,
Chakula Kitamu bila Chumvi hakinogi.Uko sahihi.
Ila kambini hukaa miaka 2 tu, na ikitokea uhitaji huongezewa mkataba kidogo ila haifikii miaka 7.
Wanalipwa 50 kwa mweziKama wanaiba basi mshahara huwatoshi, wapewe mzigo wa kutosha
Ahahaha. Ila ile miaka miwili ya mateso ni sawa tu kuandika 7Chakula Kitamu bila Chumvi hakinogi.
Sasa kama una shule kidogo why usiende GardaWorld, Warrior, G4S au SGA ?Huwezi kuamini. Suma jkt guard kuna vijana wasomi wazuri tu.
Suma ya miezi hii sio ile Suma ya wakati wanaanza kuchukua tenda za malindo ya kwenye taasisi. Wale wa mwanzo walikua ni wakali sana harafu uelewa wa mambo ulikua ni mdogo sana.
Vijana wenzangu wa Suma jkt guard msikate tamaa ya maisha. Wote hamuwezi kua polisi, magereza au jw. Tumieni kipato kidogo munachopata kujiendeleza kwa fani mbalimbali za stadi za maisha lakini kupata mitaji.
Wengi wenu bado ni vijana wadogo. Nawasihi muache umalaya sio mzuri, kuna ukimwi na homa ya ini. Kuweni makini sana vinginevyo mutakwisha.
Sasa kama una shule kidogo why usiende GardaWorld, Warrior, G4S au SGA ?Huwezi kuamini. Suma jkt guard kuna vijana wasomi wazuri tu.
Suma ya miezi hii sio ile Suma ya wakati wanaanza kuchukua tenda za malindo ya kwenye taasisi. Wale wa mwanzo walikua ni wakali sana harafu uelewa wa mambo ulikua ni mdogo sana.
Vijana wenzangu wa Suma jkt guard msikate tamaa ya maisha. Wote hamuwezi kua polisi, magereza au jw. Tumieni kipato kidogo munachopata kujiendeleza kwa fani mbalimbali za stadi za maisha lakini kupata mitaji.
Wengi wenu bado ni vijana wadogo. Nawasihi muache umalaya sio mzuri, kuna ukimwi na homa ya ini. Kuweni makini sana vinginevyo mutakwisha.
Suma JKT wanalipwa Tsh 170,000.Wametuibia sana laptop Udom enzi hizo. Tz ni nchi masikini sana sijui kwanini tunajimwambafy, mtu umempa dhamana ya kulinda mali halafu unamlipa 250k!
Jiwe kakosa nini na mbona anaiba?Sidhani kama viongozi wote wanaiba...Ila wachache wenye tabia hzo na wasiokuwa waaminifu ndo wanaiba.
Je, wewe mkuu ukikosa hela unaiba kama pesa ipo karibu?