jogoo wa maajabu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 773
- 1,589
SITOSAHAU JKT MKATABA ULIVYOISHA NA TUKALUDISHWA NYUMBANI-- "OP MAGUFULI"
ilikuwa ni mwaka 2016 naelekea kikosi cha mafunzo ya jkt kwenye gali unapiga mwimbo wa darasa -muziki... kozi ikaanza na hatimaye ikamalizika miezi 6 baadaye nkawa service man kikosi furani nyanda za kaskazini kuishi kwa taabu na mawazo ya lini ntapata ajira nkijitazama sina kitu chochote wala home sikuacha chochote ata kuku m1 wa kienyeji....
Miaka mitatu inakata tunasikia tetesi za tarehe furani tunaludi home wenzangu wakawa wanatoloka wanaludi makwao kupambana na vitu.vingine kabla kipenga rasmi hakijaliaa mimi npo nacheki mambo mpaka tone la mwisho hatimaye tukaambiwa tukusanye kila mali ya jeshi haraka iwezekanavyo hapa ni kombati,sahani,kikombe ,kofia na mkanda kama unao
Wasichana wakaanza kulia vilio c vya nchi hiii wanaenda wapi kukaa warudi tena home kukaa wengi hawakurudi mimi nkasema narudi kupambana kitaani kwetu na ntakaa home mpaka nipate mtaji hapa ndo MOVIE inapoanzaa.
ilikuwa ni mwaka 2016 naelekea kikosi cha mafunzo ya jkt kwenye gali unapiga mwimbo wa darasa -muziki... kozi ikaanza na hatimaye ikamalizika miezi 6 baadaye nkawa service man kikosi furani nyanda za kaskazini kuishi kwa taabu na mawazo ya lini ntapata ajira nkijitazama sina kitu chochote wala home sikuacha chochote ata kuku m1 wa kienyeji....
Miaka mitatu inakata tunasikia tetesi za tarehe furani tunaludi home wenzangu wakawa wanatoloka wanaludi makwao kupambana na vitu.vingine kabla kipenga rasmi hakijaliaa mimi npo nacheki mambo mpaka tone la mwisho hatimaye tukaambiwa tukusanye kila mali ya jeshi haraka iwezekanavyo hapa ni kombati,sahani,kikombe ,kofia na mkanda kama unao
Wasichana wakaanza kulia vilio c vya nchi hiii wanaenda wapi kukaa warudi tena home kukaa wengi hawakurudi mimi nkasema narudi kupambana kitaani kwetu na ntakaa home mpaka nipate mtaji hapa ndo MOVIE inapoanzaa.