Walinzi wa kampuni ya SUMA JKT GUARD wana matatizo ya kisaikolojia

Walinzi wa kampuni ya SUMA JKT GUARD wana matatizo ya kisaikolojia

SITOSAHAU JKT MKATABA ULIVYOISHA NA TUKALUDISHWA NYUMBANI-- "OP MAGUFULI"

ilikuwa ni mwaka 2016 naelekea kikosi cha mafunzo ya jkt kwenye gali unapiga mwimbo wa darasa -muziki... kozi ikaanza na hatimaye ikamalizika miezi 6 baadaye nkawa service man kikosi furani nyanda za kaskazini kuishi kwa taabu na mawazo ya lini ntapata ajira nkijitazama sina kitu chochote wala home sikuacha chochote ata kuku m1 wa kienyeji....

Miaka mitatu inakata tunasikia tetesi za tarehe furani tunaludi home wenzangu wakawa wanatoloka wanaludi makwao kupambana na vitu.vingine kabla kipenga rasmi hakijaliaa mimi npo nacheki mambo mpaka tone la mwisho hatimaye tukaambiwa tukusanye kila mali ya jeshi haraka iwezekanavyo hapa ni kombati,sahani,kikombe ,kofia na mkanda kama unao

Wasichana wakaanza kulia vilio c vya nchi hiii wanaenda wapi kukaa warudi tena home kukaa wengi hawakurudi mimi nkasema narudi kupambana kitaani kwetu na ntakaa home mpaka nipate mtaji hapa ndo MOVIE inapoanzaa.
833kj oljoro.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
... hivi kima cha chini nchi hii kwa ajira rasmi kama hizo za SUMA ni sh. ngapi? How comes SUMA, kampuni ya serikali, wanalipa chini ya kima cha chini? Ajabu sana hii kitu!
Ilikuwa laki na 40 saa hivi nasikia laki na 80 na hapo umepanga nauli unajilipia chai unajilipia na chakuka unajilipia yaani posho inaisha kabla hujaipokea ila kwenye karatasi ya mkataba wa askari na kampuni au taasisi inayohitaji askari nasikia bei ni ndefu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari!

Ukichukua matukio machache yaliyofanywa na hawa vijana wa SUMA JKT GUARD utagundua kuna kitu hakiko sawa. Kuna upepo umepunguza akili zao.

Majuzi jangwani walimpiga yule jamaa wa African sports na kupelekea kifo chake, tena tunapokea taarifa kuwa wamemuua mwananchi asiye na hatia aliyekuwa akilima shambani kwake karibu na msitu wanaoulinda.

Juzi jioni wakati natoka kazini narudi nyumbani njiani nikakutana na kijana wa suma kabeba Kirungu, manati, pingu na vikorokoro vingine anatembea akiekekea lindoni. Jinsi alivyojifanyia camouflage utadhani yupo vitani kumbe anakwenda kulinda kaeneo kadogo tu.

Wale vijana wa SUMA wengi wao ni vijana wa JKT waliomaliza mikataba yao na kurudi nyumbani bila mitaji. Marafiki zao wengi ni vijana waliokuwa nao JKT ambao sasa ni watumishi wa JWTZ, TISS, ZIMAMOTO , UHAMIAJI, MAGEREZA na POLISI.

Wenzao wanakopa wanajenga, wananunua magari na kusaidia ndugu huku wao vijana wa SUMA wakilipwa kitapeli na kampuni yao ya ulinzi. Take home yao haifiki hata 250k, hawakopesheki benki, ajira yao kufukuzwa ni rahisi, hawana uhakika wa maisha ya uzeeni.
Muda wa kazi ni mwingi.

Hawa vijana wa SUMA wasaidiwe .

Ni vijana waliokosa dira , sasa wamebaki kujitutumua tu ili nao wahesabike kama wanajeshi.

Unajua JKT mtiti wake ni mzito sana, miezi 6 unakula kozi ngumu huku ukiendelea kulima kwa bidii, then umemaliza unaendelea kulimishwa zaidi kila siku. Unavumilia ukijua utafanikiwa mwisho wa siku unapewa nauli tu urudi kwenu, lazima uchanganyikiwe.

Hakuna anayekwenda JKT eti akajitolee tu kisha arudi nyumbani. Basi serikali itoe mitaji kwa vijana wanaotoka JKT bila ajiraya uhakika ili wakaendeleze fani walizojifunza huko makambini. Wa kufuga samaki au kuku akafuge, wa kujenga akajenge n.k
 
Kunasiku nimeshuhudia wanamfinya raia mmoja ndani ya kivuko cha magogoni kosa lilikua jamaa kajipiga selfie kwenye kivuko
 
Ni rafiki yetu, rafiki wa wengi.
Mdau mkubwa wa soka na muziki kutoka jijini Tanga.
Wakati fulani aliwahi kuwa meneja wa swahiba wangu Mwinjuma Muumini.
Leo ametangulia mbele ya haki na kuacha simanzi kubwa Tanga na hata Dar es Salaam pia.
Abdul Ahmed "Bosnia" amezimika ghafla.
Kisa kinachosindikiza kifo chake kinaumiza na kinafikirisha sana.
Inasemekana juzi kwa kutumia usafiri wa boda boda alikuwa njiani kwenda uwanja wa Azam Complex Chamazi kuhakikisha mambo yanakaa sawa kwa timu yake ya African Sports ya Tanga dhidi ya Simba katika mchezo wao wa kirafiki.
Kwamba walipopita Jangwani bodaboda aliyembeba aliwatimulia maji watu waliokuwa wakifanya kazi ya kuondoa michanga iliyojazana Morogoro Road kufuatia athari ya mvua za hivi karibuni.
Watu wale ambao wanatajwa kama askari wa Suma JKT wakafanikiwa kuifukuza boda boda na kuikamata na kumtembezea kichapo derava wa boda boda.
Inasemekana Abdul Bosnia akaamua kumtetea bodaboda kwa maneno. Kesi ikahamia kwake akala kichapo kilichosabisha kulazwa Moi - Muhimbili kabla ya kufariki siku ya leo.
Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un.
Said Mdoe 18/11/2020
View attachment 1633799
pole sana ndugu na jamaa, Mungu amuweke pahala panapostahili, hasa kama alimpokea Yesu kuwa bwana na mwokozi wake.
 
SUMA JKT wengi wao hawajui weledi wao wa kazi manake mlinzi professional huwa hapigi raia bali jukumu lake ni kuilinda mali na kumhakikishia usalama wake huyo raia hata kama ni suspect.

Pia mlinzi professional amefundishwa namna ya kukabiliana na intruder sio kupiga tu kama hawa jamaa wanavyowafanyia raia bali anahakikisha anamdhibiti then kuliport kwa mamlaka husika.

Sasa hawa SUMA wakiwa kazini wao hujiona kama wapo vitani hawana ethics zaki professional security kabisa.
 
Mkuu umeongea ukweli mtupu hapa ofisini kuna kajamaa cha SUMA JKT yeye ukimuangalia dhahiri unajua kichwani hayupo sawa age yake ni km 26 hivi.

Kuna siku naingia getini akaniita akaanza kunielezea matatizo ya yeye na demu wake mwisho wa siku akanambia kwamba yule dem akiendelea kumkataa kuna siku ataiba bunduki ataenda kummaliza.
 
Habari!

Ukichukua matukio machache yaliyofanywa na hawa vijana wa SUMA JKT GUARD utagundua kuna kitu hakiko sawa. Kuna upepo umepunguza akili zao.

Majuzi jangwani walimpiga yule jamaa wa African sports na kupelekea kifo chake, tena tunapokea taarifa kuwa wamemuua mwananchi asiye na hatia aliyekuwa akilima shambani kwake karibu na msitu wanaoulinda.

Juzi jioni wakati natoka kazini narudi nyumbani njiani nikakutana na kijana wa suma kabeba Kirungu, manati, pingu na vikorokoro vingine anatembea akiekekea lindoni. Jinsi alivyojifanyia camouflage utadhani yupo vitani kumbe anakwenda kulinda kaeneo kadogo tu.

Wale vijana wa SUMA wengi wao ni vijana wa JKT waliomaliza mikataba yao na kurudi nyumbani bila mitaji. Marafiki zao wengi ni vijana waliokuwa nao JKT ambao sasa ni watumishi wa JWTZ, TISS, ZIMAMOTO , UHAMIAJI, MAGEREZA na POLISI.

Wenzao wanakopa wanajenga, wananunua magari na kusaidia ndugu huku wao vijana wa SUMA wakilipwa kitapeli na kampuni yao ya ulinzi. Take home yao haifiki hata 250k, hawakopesheki benki, ajira yao kufukuzwa ni rahisi, hawana uhakika wa maisha ya uzeeni.
Muda wa kazi ni mwingi.

Hawa vijana wa SUMA wasaidiwe .

Ni vijana waliokosa dira , sasa wamebaki kujitutumua tu ili nao wahesabike kama wanajeshi.

Unajua JKT mtiti wake ni mzito sana, miezi 6 unakula kozi ngumu huku ukiendelea kulima kwa bidii, then umemaliza unaendelea kulimishwa zaidi kila siku. Unavumilia ukijua utafanikiwa mwisho wa siku unapewa nauli tu urudi kwenu, lazima uchanganyikiwe.

Hakuna anayekwenda JKT eti akajitolee tu kisha arudi nyumbani. Basi serikali itoe mitaji kwa vijana wanaotoka JKT bila ajiraya uhakika ili wakaendeleze fani walizojifunza huko makambini. Wa kufuga samaki au kuku akafuge, wa kujenga akajenge n.k
Na wao wanataka waitwe maafande ukiwaita walinzi kama haujaiva vizuri watakupelekesha sana
 
SUMA JKT wengi wao hawajui weledi wao wa kazi manake mlinzi professional huwa hapigi raia bali jukumu lake ni kuilinda mali na kumhakikishia usalama wake huyo raia hata kama ni suspect.

Pia mlinzi professional amefundishwa namna ya kukabiliana na intruder sio kupiga tu kama hawa jamaa wanavyowafanyia raia bali anahakikisha anamdhibiti then kuliport kwa mamlaka husika.

Sasa hawa SUMA wakiwa kazini wao hujiona kama wapo vitani hawana ethics zaki professional security kabisa.
Hawa wangepelekwa mgodini Bulyanhulu kwa acacia wawape darasa safi la ulinzi
 
SUMA JKT wengi wao hawajui weledi wao wa kazi manake mlinzi professional huwa hapigi raia bali jukumu lake ni kuilinda mali na kumhakikishia usalama wake huyo raia hata kama ni suspect.

Pia mlinzi professional amefundishwa namna ya kukabiliana na intruder sio kupiga tu kama hawa jamaa wanavyowafanyia raia bali anahakikisha anamdhibiti then kuliport kwa mamlaka husika.

Sasa hawa SUMA wakiwa kazini wao hujiona kama wapo vitani hawana ethics zaki professional security kabisa.
Hawa wangepelekwa mgodini Bulyanhulu kwa acacia wawape darasa safi la
Mkuu umeongea ukweli mtupu hapa ofisini kuna kajamaa cha SUMA JKT yeye ukimuangalia dhahiri unajua kichwani hayupo sawa age yake ni km 26 hivi.

Kuna siku naingia getini akaniita akaanza kunielezea matatizo ya yeye na demu wake mwisho wa siku akanambia kwamba yule dem akiendelea kumkataa kuna siku ataiba bunduki ataenda kummaliza.
Anahitaji kuoshwa akili
 
Huwezi kuamini. Suma jkt guard kuna vijana wasomi wazuri tu.
Suma ya miezi hii sio ile Suma ya wakati wanaanza kuchukua tenda za malindo ya kwenye taasisi. Wale wa mwanzo walikua ni wakali sana harafu uelewa wa mambo ulikua ni mdogo sana.

Vijana wenzangu wa Suma jkt guard msikate tamaa ya maisha. Wote hamuwezi kua polisi, magereza au jw. Tumieni kipato kidogo munachopata kujiendeleza kwa fani mbalimbali za stadi za maisha lakini kupata mitaji.

Wengi wenu bado ni vijana wadogo. Nawasihi muache umalaya sio mzuri, kuna ukimwi na homa ya ini. Kuweni makini sana vinginevyo mutakwisha.
Hakika wewe utakuwa ni mzazi. Umeandika maneno yenye hekima sana mkuu.

Watu wanawacheka vijana wa SUMA badala ya kuwatia moyo.

Kwani kuna vijana wangapi tumemaliza nao form four na wameshindwa kwenda five na six?

Suala la kuwa na madaraja katika jamii ni kawaida sana mbona hata Ulaya ipo?

Komaeni vijana wenzangu wote muwe SUMA JKT, MGAMBO au hata raia wa kawaida unayepambana kujikomboa kiuchumi, Mungu atawafungulia milango ya baraka.
 
Back
Top Bottom