Walinzi wa kampuni ya SUMA JKT GUARD wana matatizo ya kisaikolojia

Wapo pale stendi kuu ya Dom, wamekaa kishari Shari tu, ile sehemu inatakiwa watu wanaojua customer care, sio hawa wadogo zetu wenye stress,
Wengine wanaolinda Azania benk Dar, Masdo house, karibu na sanamu ya askari, usiku wanavuta bangi tupu.
 
Mtu amemaliza Kozi, kakaa Kambini miaka (7), Ajira hapati ila Wenzake wanapata na akipata Yeye ni ya Kulinda tu Vyooo unadhani atakuwa sawa?
 
Wapo pale stendi kuu ya Dom,wamekaa kishari Shari tu,ile sehemu inatakiwa watu wanaojua customer care,sio Hawa wadogo zetu wenye stress,
Wengine wanaolinda Azania benk Dar,Masdo house,karibu na sanamu ya askari,usiku wanavuta bangi tupu,
... wanashindwa kutofautisha miamri amri yao ya kijeshi makambini huko na namna ya ku-deal na raia wasiohitaji kujua taratibu zao za kijeshi. Jeshi lilitakiwa kujua hawa wanaenda kutumikia umma na mafunzo yao yawe ya mlengo huo.
 
Sasa kama una shule kidogo why usiende GardaWorld, Warrior, G4S au SGA ?

Suma JKT + Maaskari wote Polisu, JWTZ, magereza, Tanzania ni matokeo ya kushindwa kwa CCM.

Tena hao vijana wa kujitolea huko JKT wengi wamekuwa matapeli.

Wana mishahara kiduchuu sana na kwa CCM inawatumia sana miserably imeamua kuwaacha wawe juu ya sheria (Huo ndio mshahara wao).

Suma JKT wanalipwa Tsh 170,000 imagine!

Mtu anakaa JKT miaka 2 unapugwa na kulima bamia kwa ujira wa Tsh 25,000 mtaani wanajua umekuwa askari, halafu unarudi home, kimbilio Suma mshahara Tsh 170,000

Sasa si ni bora ungeenda makampuni ya ulinzi yanayolipa Tsh 250,000 ndani ya miaka 2 ungekuwa ushapiga hatua
 
Wengine wapo bandarini pale wanapigishwa vibarua halafu wanalipwa buku sita tu kwa shift.......wakati vibarua wenzao ambao si watu wa suma wanalipwa zaidi ya iyo yani full unyonyaji kutoka kwa mabosi zao....wenyewe wanadai wao hulipwa 50 elfu tu kwa mwezi walitarajia pale bandari wangepata posho sawa na wenzao ili hata wajiendeleze kumbe wakubwa zao wamewageuza kitega uchumi cha kupiga ela za bandari.....
 
Sasa kama una shule kidogo why usiende GardaWorld, Warrior, G4S au SGA ?

Suma JKT + Maaskari wote Polisu, JWTZ, magereza, Tanzania ni matokeo ya kushindwa kwa CCM.

Tena hao vijana wa kujitolea huko JKT wengi wamekuwa matapeli.

Wana mishahara kiduchuu sana na kwa CCM inawatumia sana miserably imeamua kuwaacha wawe juu ya sheria (Huo ndio mshahara wao).

Suma JKT wanalipwa Tsh 170,000 imagine!

Mtu anakaa JKT miaka 2 unapugwa na kulima bamia kwa ujira wa Tsh 25,000 mtaani wanajua umekuwa askari, halafu unarudi home, kimbilio Suma mshahara Tsh 170,000

Sasa si ni bora ungeenda makampuni ya ulinzi yanayolipa Tsh 250,000 ndani ya miaka 2 ungekuwa ushapiga hatua
Wametuibia sana laptop Udom enzi hizo. Tz ni nchi masikini sana sijui kwanini tunajimwambafy, mtu umempa dhamana ya kulinda mali halafu unamlipa 250k!
Suma JKT wanalipwa Tsh 170,000.

Makampuni makubwa kama SGA, Warrior ,G4S au GardaWorld ndio wanalipa Tsh 250,000.

Sometimes, huwezi hata kulaumu maana kima cha chini cha mshahara wa serikali ni Tsh 150,000.

Serikali yenyewe inawaoipa walimu wa shule za msingi Tsh 344,000 kwa mwezi!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…