Tetesi: Walinzi wa Prof. Lipumba waanza utekaji wa viongozi wa CUF

ZITO KABWE kipindi anataka kukuzwa CHADEMA aliundiwa kila aina ya zengwe na propaganda walikuja hadi jukwani kutangaza kwa watu ZITO alivomsaliti lakini kwa tuhuma zote hakuna aliyetoa ushaidi hadharani za tuhuma za zito zaidi ya blaa blaa na kila aina ya propaganda.

Hivyo basi sasa hivi hiki chama cha CUF kinaungana na chama wenye wababe na waunda mizengwe ya kila aina maisha ya profesa lipumba CUF naisi ndiyo mwisho ukizingatia yuko tofauti na viongozi wa juu wa vyama vyote 2.

Watu ambao hadi picha ya mkutano wa kampeni wanatengeza na kuaminisha umma kuwa ya ukweli! Hivi kumfukuza profesa lipumba watashindwa? Jibu ni hapana profesa lazima ataondoka kwa kila aina ya hujuma lakini tumuombee huyu mchumi nguli kwenye vita hii nzito katika maisha yake
 
Profesa kama katumwa atalindwa na waliomtuma. Naona wanakwenda mbali sasa.
 
CUF fanyeni mambo yenu kisomi sio kutengeneza movie zisizo na faida
Hizi movie za kutekana na "kujiteka" ni kujishushia heshima tu.
Na wengine washapiga muvi nyingi tu za kutekwa na "usalama wa taifa" kujipa kiki.
 
Lipumba hawezi kukamatwa na nawahakikishia hawa jamaa waliokamtwa wataachiwa tu mapema!
 
Kama Lowasa yupo upanda wenu sitashangaa kuona movie Mpya kila siku .
 
Lipumba unalo, mwezio Dau huyoooooooo Malasya! chapa lapa kaka nenda japo Morogoro Univesity ukagange njaa pale CUF huna lako tena!
 
Haingii kichwani eti waliweka magogo hapa mjini pia hawakumdhuru hadi polisi walipofika ina maana muda wote walikuwa wanatazamana tu hakuna magari mengine yanapita hapa dar isupokuwa huyo jama wa CUF peke yake insue ya kupikwa
 
Ili naona uongo unasema walizingirwa na wananci wakajaa wakaliekea magogo mbele na nyuma police wakaitwa wakafika eneo la tukio mmoja akatoroka uongo uliokubuuu kabisa
Hugo mmoja alitoroka mbele ya umma wrote huo na
Watu walitoroka Vikindu pamoja na silaha zote zile iwe mtaani ndio ushangae?
Huu mchezo Mungu kanusuru ili mtu aaibike, hao waliokatwa watasema yote. Ila nitasikitika na kishangaa sana kama Magreth Sakaya atakuwa kahusila au kujua jambo hili na kukaa kimya.
 
Kama Lowasa yupo upanda wenu sitashangaa kuona movie Mpya kila siku .
Hata Slaa anatamani kurudi kwenye game anashindwa aanzie wapi!!

Hao watu nje ya siasa hawana kitu cha kufanya!!!
 
Hii nayo ni move kama zilivyo zingine nawashauri mkaigize upya, hii niya uongo mchana kweupe, kumbe na CUF wanazijua hizi move!!!
 
Mh!! Labda ni kweli....maana akili za yule bwana anazijua yeye.
 
Wote waliohusika katika jaribio la utekaji wachukuwe hatua za kisheria. Pia nashauri vyama viache siasa za chuki na uhasama bali vitumie fursa kujijenga na kuwatumikia wananchi bila kuwabagua. Tunaamini chama cha CUF ni kikongwe na kusimamia haki na usawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…