Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] acha uchochezi mkuu!duh km movie yanii wananchi wameizunguka gari na jamaa amesepa??? huyo aliyetoroka wananchi na polis bila ya shaka atakuwa jet lee
Mkuu ningependa urudie kusoma kwa kina mstari kwa mstari, neno kwa neno harafu uje kunishtumu hapa.Kwa hiyo CUF wameshirikiana na policeccm kutengeneza movie dhidi ya Lipumba?
Hata mtoto mdogo atakucheka kwa akili hiyo. Wangesema watu hao walikimbia wote ingeleta mashaka lakini watu wako kituoni mashaka yako wapi?
Tukubali ukweli japo hatuupendi
UmUnasadiki conspiracyMpaka hapa lipumba kashashindwa kabla ya shindano
Mungu hapendi wanavyofanya ndiyo maana amesimama kuanika ukweli.Sijui kwanini siku zote movie za ccm hazina viwango halafu zimejaa makosa mengi ya kiufundi?
Hapa walitaka kubalance story lakini wamebugi tena loh...!!!
Lipumba anahaha kuwatoa jela ili afiche ushahidi wote.Hii Kali sasa yaani wanataka hadi kuuwana kisa uwenyekiti yaani dah ngoja nisiseme neno mpaka wakipelekwa mahakamani
aliyekacha lazima atakuwa Ninja wa ukweli.duh km movie yanii wananchi wameizunguka gari na jamaa amesepa??? huyo aliyetoroka wananchi na polis bila ya shaka atakuwa jet lee
Ili naona uongo unasema walizingirwa na wananci wakajaa wakaliekea magogo mbele na nyuma police wakaitwa wakafika eneo la tukio mmoja akatoroka uongo uliokubuuu kabisa
Hugo mmoja alitoroka mbele ya umma wrote huo na
Loh ni hatari sana, uenyekiti utawatoa watu damu