Daniel Myl
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 535
- 270
Prof of Tz wanafuga kuku wa kienyeji na ng'ombe wa maziwa... Naona huyu hata hilo limemshinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zile vurugu za mkutano mkuu alizozifanya akishirikiana na wasela wa buguruni kwa mnyamani na Temeke mikoroshini nazo aliundiwa zengwe ?Naona Prof. sasa anaundiwa zengwe la kumung'oa kabisaaaaaa.
Yetu macho.
Ili naona uongo unasema walizingirwa na wananci wakajaa wakaliekea magogo mbele na nyuma police wakaitwa wakafika eneo la tukio mmoja akatoroka uongo uliokubuuu kabisa
Hugo mmoja alitoroka mbele ya umma wrote huo na
hivi umeandika kwa kutumia akili ya kureason tukio? au akili ya kishabiki![emoji15]ZITO KABWE kipindi anataka kukuzwa CHADEMA aliundiwa kila aina ya zengwe na propaganda walikuja hadi jukwani kutangaza kwa watu ZITO alivomsaliti lakini kwa tuhuma zote hakuna aliyetoa ushaidi hadharani za tuhuma za zito zaidi ya blaa blaa na kila aina ya propaganda.
Hivyo basi sasa hivi hiki chama cha CUF kinaungana na chama wenye wababe na waunda mizengwe ya kila aina maisha ya profesa lipumba CUF naisi ndiyo mwisho ukizingatia yuko tofauti na viongozi wa juu wa vyama vyote 2.
Watu ambao hadi picha ya mkutano wa kampeni wanatengeza na kuaminisha umma kuwa ya ukweli! Hivi kumfukuza profesa lipumba watashindwa? Jibu ni hapana profesa lazima ataondoka kwa kila aina ya hujuma lakini tumuombee huyu mchumi nguli kwenye vita hii nzito katika maisha yake
Usikariri sio kila kitu ni movieCUF na nyie hizi movie mmeshaanza kuzicheza?
Green guard nafikiri wana weledi katika majukumu yao kichama.Green guard wangefaa zaidi
Mbona kama umekurupushwaKama Lowasa yupo upanda wenu sitashangaa kuona movie Mpya kila siku .
Kwa hiyo CUF wameshirikiana na policeccm kutengeneza movie dhidi ya Lipumba?Hii nayo ni move kama zilivyo zingine nawashauri mkaigize upya, hii niya uongo mchana kweupe, kumbe na CUF wanazijua hizi move!!!
Mimi nasubiri polisi wathibitishe lakini ilivyoandikwa kwa bayana na kutaja majina wazi wazi inaonekana mwandishi habahatishi.CUF fanyeni mambo yenu kisomi sio kutengeneza movie zisizo na faida
Hiii sasa na zaidi ya dhihaka kwamba Leo CHADEMA wanamachungu sanaa na CUF kuzidi profesa lipumba aliyepigwa,kuteswa na kulala mahabusu akiipigania chama chake. Maalim kama kawaida yake hawezi kuwepo kwenye matukio yenye historia ya utetezi wa waziwazi dhidi ya watu wa CUF na watanzania kwa ujumla.Prof of Tz wanafuga kuku wa kienyeji na ng'ombe wa maziwa... Naona huyu hata hilo limemshinda
Mkuu peter babagody gari iliyotumika ndio hiyo ipo kituo cha Polisi Buguruni.Na aliyetaka kutekwa ndio huyo!!Umeridhika?
?View attachment 401500
View attachment 401501