Tetesi: Walinzi wa Prof. Lipumba waanza utekaji wa viongozi wa CUF

Tetesi: Walinzi wa Prof. Lipumba waanza utekaji wa viongozi wa CUF

Prof of Tz wanafuga kuku wa kienyeji na ng'ombe wa maziwa... Naona huyu hata hilo limemshinda
 
Hayo ni maagizo ya kutoka UKAWA, tangu lini watu wapigiwe yowe la majambazi wawe salama hadi polisi waje.

UKAWA tumieni akili kidogo, kuficha hayo maigizo yenu mnayoigiza.
 
Ushauri - Lipumba achana na siasa , ccm wamekunyima kazi, cuf umetimuliwa mithili ya paka aliyekunywa maziwa ya mtoto , huu ushamba ndio mafunzo uliyopewa Rwanda ?
 
na alaanike Lipumba hana aibu hao watu wa system wanamtumia lakini wale watoto amezaa na mwanamke anayefanya kazi kwenye moja ya mashirika ya kimataifa watakuwa salama hata yule mama nayeishi naye wenzake wanamuonaje kwenye Nyanja za kimataifa ,Lipumba hela zimemsonga mpaka anakuwa kibaraka Magdalena Sakaya anauwa kipaji chake kizuri cha kuwa mwanamke jasiri kisiasa na umri wake bado mdogo kabisa hivi hawezi kuachna na Lipumba
 
Japokuwa bado hakuna taarifa rasmi iwapo kama kweli aliyekuwa mwenyekiti wa Civic united front ameongoza hila hiyo ama lah! Lakini kile kinachoendelea nchini hapa kisiasa kinasikitisha sana na ni aibu kwa bara la Afrika. Kinachosikitisha zaidi ni kuona jinsi ambavyo kiongozi hana huruma na maisha ya wananchi wake na viongozi aliowaachia madaraka. Hivi kuna raha gani kiongozi kung’ang’ania madaraka huku wananchi au wafuasi wakibaki dillema na kuanza kupoteza imani na chama walichokiamini kwa muda mrefu! na wengine wanaona ni kawaida tu...Hii haipendezi hata kidogo hasa ukizingatia muhusika ni mwanataaluma anayeaminika na ulimwengu katika sekta nyeti za uchumi..au ajira imekuwa ngumu mtaani? dah ...usihukumu ili nawe usihukumiwe...
 
Lipumba betri imeisha chaji anabipu wenzie wanampigia kabisa....kifo cha mende
 
Ili naona uongo unasema walizingirwa na wananci wakajaa wakaliekea magogo mbele na nyuma police wakaitwa wakafika eneo la tukio mmoja akatoroka uongo uliokubuuu kabisa
Hugo mmoja alitoroka mbele ya umma wrote huo na

Ukweli ni upi sasa wakati walitendwa ndiyo wanatoa maelezo hayo?

Lililo la kweli ni kuwa tukio hilo limetokea maana kesi iko polisi.

Hayo mengine ya kutia tia chunvi huwa yapo tu especially kama habari inatoka kwa mtu 1 kwenda wa 2 kisha wa 3 na kuendelea.....

Ni hulka ya binadamu woote, tupo hivyo..
 
ZITO KABWE kipindi anataka kukuzwa CHADEMA aliundiwa kila aina ya zengwe na propaganda walikuja hadi jukwani kutangaza kwa watu ZITO alivomsaliti lakini kwa tuhuma zote hakuna aliyetoa ushaidi hadharani za tuhuma za zito zaidi ya blaa blaa na kila aina ya propaganda.

Hivyo basi sasa hivi hiki chama cha CUF kinaungana na chama wenye wababe na waunda mizengwe ya kila aina maisha ya profesa lipumba CUF naisi ndiyo mwisho ukizingatia yuko tofauti na viongozi wa juu wa vyama vyote 2.

Watu ambao hadi picha ya mkutano wa kampeni wanatengeza na kuaminisha umma kuwa ya ukweli! Hivi kumfukuza profesa lipumba watashindwa? Jibu ni hapana profesa lazima ataondoka kwa kila aina ya hujuma lakini tumuombee huyu mchumi nguli kwenye vita hii nzito katika maisha yake
hivi umeandika kwa kutumia akili ya kureason tukio? au akili ya kishabiki![emoji15]
 
Hao walinzi mambo ya kihuni wameanzia kumteka huyo mkurugenzi au wanauzoefu katika kuwateka na Watu wengine?? Au ndio wamejifunzia kwa huyo mkurugenzi??
 
Hii nayo ni move kama zilivyo zingine nawashauri mkaigize upya, hii niya uongo mchana kweupe, kumbe na CUF wanazijua hizi move!!!
Kwa hiyo CUF wameshirikiana na policeccm kutengeneza movie dhidi ya Lipumba?
Hata mtoto mdogo atakucheka kwa akili hiyo. Wangesema watu hao walikimbia wote ingeleta mashaka lakini watu wako kituoni mashaka yako wapi?
Tukubali ukweli japo hatuupendi
 
Prof of Tz wanafuga kuku wa kienyeji na ng'ombe wa maziwa... Naona huyu hata hilo limemshinda
Hiii sasa na zaidi ya dhihaka kwamba Leo CHADEMA wanamachungu sanaa na CUF kuzidi profesa lipumba aliyepigwa,kuteswa na kulala mahabusu akiipigania chama chake. Maalim kama kawaida yake hawezi kuwepo kwenye matukio yenye historia ya utetezi wa waziwazi dhidi ya watu wa CUF na watanzania kwa ujumla.

Hii inayofanyika sasa hivi ata tukiendelea kubisha na kupotosha umma ukweli ni kuwa kuna hujuma dhidi ya profesa lipumba msione wanachama wamenuna la asha wana ya moyoni ipo siku watasema na hii siku kuna moja kati ya profesa au Maalim atabatizwa kwa moto.

Ingekua vizuri hii vita tuwaachie wenyewe wapambane kuliko kuweka propaganda nyingi mtandaoni na pia wana chama wa CHADEMA wasipike chakula ambayo hawatakuja kula ipo siku nao mambo kama haya haya yatawapata na wataanza kumtafuta mchawi lakini hawatampta kamwe ni wao tuuh ndo wanajiloga wenyewe.

Etii leo MTATIRO na genge lake wanaijua CUF kumzidi profesa lipumba hapa ndipo unaona siasa za Afrika bado kabisa Tena anatumia mda wake kushirikiana na marafiki zake kupotosha na kuficha ukweli wa ndani ya CUF Mimi yangu macho ila nawashauri CHADEMA waache vita kati ya maalim & lipumba wapambane wawili!!!
 
CUF hatimaye Prof.Lipumba Na Magdalena sakaya ndani ya 18 zenu watawataja wote walio nyuma yao
 
Back
Top Bottom