Tetesi: Walinzi wa Prof. Lipumba waanza utekaji wa viongozi wa CUF

kuna ushahidi gani umetolewa kuwa prof anahusika na tukio hilo?
acheni zenu bhannna,
hizo ni movie mnatuletea hapa,
story za paukwa pakawa
 
Hili tukio kwa kweli ni la ukweli ila mleta taarifa hakujipanga au ushabiki ulizidi. Ukweli ni kwanza watuhumiwa wamekamatwa, wasingekamatwa tungekuwa na mashaka, kama ni movie inakuwaje mlinzi wako anakusaliti na kwenda kuigiza na adui yako kukuchafua. Hivyo kwa kuwa watuhumiwa wamekamatwa sheria itawabnnana na ukweli utajulikana.
 
Sishabikii upuuzi lakini nadhani CUF tafuteni njia nyingine ya kufukuzana. Achaneni na vitimvi vaeni uhodari tuikomboe nchi. Matumbo yana mwisho wake. Mlishauvuka mpaka wa udini, uvisiwani na ubara. Mbona hili la Lipumba ni dogo sana?
Profesa, hata ungerudi kesho, usidhani utagombea tena urais 2020. Tulizana au nenda ACT au anza kingine cha Uramboni uwe m/kiti na Sakaya Katibu mkuu wako. Acheni njaa zenu mnamnufaisha adui.
 
Tumia akili sio ushabiki tu, kwani ni nani ayejiuzuru uenyekiti, na ukijiuzuru siku Ukiwa na hamu nao tena unawaambia watu basi nautaka tena .
 
Hivi wewe ni kijana au mzee ?
 
Hv lipumba kafukuzwa au aliondoka mwenyewe
 
Hahhahahah le professor si akaandike ma desa tu mchumi wa dunia /gunia
 
Aibu aibu sana!! Polisi wasipo kuwa wanapokea amri toka juu hi kesi mbaya zaidi kutokea Tanzania na sheria ifuate mkondo wake kwa kweli!! Iwe fundisho ila kama tu wanapokea amri toka juu.....wataiua hii kesi na kusema mambo ya uongo! Tusubiri
 
Ili naona uongo unasema walizingirwa na wananci wakajaa wakaliekea magogo mbele na nyuma police wakaitwa wakafika eneo la tukio mmoja akatoroka uongo uliokubuuu kabisa
Hugo mmoja alitoroka mbele ya umma wrote huo na
Nimekuelewa ndugu
Hoja ya msingi hiyo

Halafu eti walifanikiwa kumwingiza ndani ya gari katibu wa mpunga, akapambana halafu akapiga yowe
Inamaana hiyo gari ilikuwa imesimama tu?
 
Lakini mi nadhani profesa aachane nao aje aturekebishie uchumi wa nchi
Michango yake kwenye uchumi inasaidiaga sana
 
Habari hii sio nzuri kwa CCM na vijana wao wa mtandaoni
 
NgugiAchebe said:
Ili naona uongo unasema walizingirwa na wananci wakajaa wakaliekea magogo mbele na nyuma police wakaitwa wakafika eneo la tukio mmoja akatoroka uongo uliokubuuu kabisa
Hugo mmoja alitoroka mbele ya umma wrote huo na

Nimekuelewa ndugu
Hoja ya msingi hiyo

Halafu eti walifanikiwa kumwingiza ndani ya gari katibu wa mpunga, akapambana halafu akapiga yowe
Inamaana hiyo gari ilikuwa imesimama tu?

Ni wengi mno waliotoroka chini ya ulinzi mkali, mfano rahisi tu ni kuwa mwaka 1982 waliokuwa watuhumiwa wakuu wa kesi ya uhaini ( marehemu Lugangira na marehemu Macghee) ya kutaka kumpindua aliyekuwa Raisi wakati huo hayati Julius Kambarage Nyerere walitoroka toka kwenye gereza lenye ulinzi mkali zaidi Tanzania - Ukonga na watuhumiwa wenyewe wakiwa na walinzi maalumu ndani ya magereza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…