Walinzi wa Rais Samia wanajisahau, uko wapi usalama wa Rais hapo?

Col. Mashauri ameolewa au single but not alone kama mimi? Naombeni nambari zake za kilonga longa jameniii!!!
 
hawana baya namtu mama anachungulia na walinzi wanafrahia mazingira. hutakiwi kua kauzu muda wote ukijiachia kidigo kamahivyo siombaya
 
Kwani aweso si yupo hapo, atamdaka.
 
Picha inajieleza, makosa ni mengi sana. Walinzi wa Rais Samia ni kama wamejisahau. Hii picha inaonesha ni jinsi gani Rais alikuwa hatarini.

View attachment 2423413
Rais kaegemea sehemu ambapo panaonekana ni dhaifu, akiteleza au akajisikia vibaya wako wapi psu wa kumsaidia kwa harak? Nimeelewa hivyo mtoa mada
 
Walimuona Awesu yupo incase angesaidia siyo muda wote kumbana hata ashindwe kuwa karibu na watu
 
Picha inajieleza, makosa ni mengi sana. Walinzi wa Rais Samia ni kama wamejisahau. Hii picha inaonesha ni jinsi gani Rais alikuwa hatarini.
Ina maana walitakiwa kumshikilia kama mtoto anayeweza kuamua kutumbukia kwenye kisima
 
Walimuona Awesu yupo incase angesaidia siyo muda wote kumbana hata ashindwe kuwa karibu na watu
Aweso ana ujuzi na mafunzo ya kuwalinda VIP au kutoa huduma ya kwanza.
Ana reflex ya kutosha ku-react kwa usahihi ikitokea tukio la kumdhuru VIP?
 
Picha inajieleza, makosa ni mengi sana. Walinzi wa Rais Samia ni kama wamejisahau. Hii picha inaonesha ni jinsi gani Rais alikuwa hatarini.

View attachment 2423413
As long as kuna kinga kwenye shimo na hakuna mtu yeyote aliyejificha ndani ya shimo hilo, hapa mimi sina tatizo na namna ulinzi ulivyokaa hapa. Tatizo lingekuwepo tu kama kungekuwa na watu mbele yake au ndani ya shimo lilo mbele yake
Hata hivyo kuna scenerio moja mwaka juzi wakati wa kuhitimisha mbio za mwenge; hiyo ndiyo iliwahi kunipa wasiwasi kidogo, maana alikabidiwa mwenge unaowaka moto na akakaa kwa sekunde za kutosha, huku wasaidizi wake wakiwa hatua za kutosha. Mwenge ni moto, wasiwe wanamkabidhi mwenge halafu wanakaa mbali naye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…