Walinzi wa SUMA JKT mmekuwa Kero sana au ni stress za kukatishwa ndoto za kuwa JWTZ

Bila shaka ni Ifm hiyo
 
Hamjui tu stress za kupitia mafunzo ya kijeshi zaid ya miaka 5 af mwisho wa sku unaambiwa chagua kurudi nyumban au ukawe mlizi suma JKT ttzo kubwa linalowatesa ni stress za kukosa nafas ya kua Mwanajeshi
 
Hamjui tu stress za kupitia mafunzo ya kijeshi zaid ya miaka 5 af mwisho wa sku unaambiwa chagua kurudi nyumban au ukawe mlizi suma JKT ttzo kubwa linalowatesa ni stress za kukosa nafas ya kua Mwanajeshi

Hahahahah
 
Kuna chuo fulani waliomdolewa . walikua kero si kwa wanafunzi tu hadi wafanya kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…