wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Sio hawafai wana stress za kukosa bakabaka sasa unakuta wanakuwa na hasira hasira akija ona wewe ni raia anataka akuonyeshee kuwa nae ni soldierKama ni hivyo hawafai kuingia kwenye JW.
Unajua bado wanajiona ni zaidi ya polisi?
Sent using Jamii Forums mobile app