Walio na uchungu wa ardhi ya Waarabu wa Palestina, kumbukeni pia DRC watu 6.9m wamefukuzwa kwenye ardhi yao

Walio na uchungu wa ardhi ya Waarabu wa Palestina, kumbukeni pia DRC watu 6.9m wamefukuzwa kwenye ardhi yao

Huku tukiendelea kuandamana na kuwa na uchungu wa mnyang'anyano wa aidhi baina Waarabu na Wayahudi, hebu pia tuweni na kauchungu fulani hivi kwa Waafrika wenzetu karibia milioni 7 hapo DRC wamefukuzwa kutoka kwenye ardhi zao......
=============================

The conflict between M23 rebels and militias loyal to the DRC's government has intensified in the eastern province of North Kivu since early October, particularly north of the provincial capital Goma.

The UN's International Organization for Migration said many people who have fled their homes but stayed within the DRC's borders desperately needed help to meet their basic needs.

"The IOM is intensifying its efforts to address the complex and persistent crisis in the DRC as the number of internally displaced people (IDPs) climbs to 6.9 million people across the country -- the highest number recorded yet," it said in a statement.

"With ongoing conflict and escalating violence, the DRC is facing one of the largest internal displacement and humanitarian crises in the world."

20231102_190955.jpg

Hatukatai pia kuwaunga mkono Congo ila tusibagazwe kisa tunawaunga mkono Wapalestina.
 
Hata Ukraine wapo. Lkn kwa sasa tupo kuhaami msikiti uliopo Palestina yaani Aqswa. Unajua wewe bwege umuhimu wa masjid Aqswa ?
Maralia imeshakupata kichwani, kwa taarifa yako huo msikiti unasimamiwa na Jordan. yaani umeshupaa shingo mmatumbi ya bongo!
 
Isreal anawapiga waislam wa Palestina na kuwapora ardhi yao.

Muislam hatizami mwarabu anatizama masjid Aqswa iliopo Palestina inayokaliwa na mabavu na mayahudi
Kongo kuna nini?
Nilijua Wapumbavu watajitokeza!! Hapo ulipo unajiona muaraaaaaaaabu
 
wewe ukiwa na uchungu na wakongomani inatosha, tusipangiane we mzee! Halafu we jamaa hivi kichwani upo timamu kweli?
 
Hao wanaokuwa busy na masaibu ya waarabu ni wale wapagazi wao ambao hata leo hao waarabu wakirudi kutaka watumwa watajitokeza fasta wauzwe kwa bei poa kwa sababu hata majina wamechukua ya waarabu na hawataki kabisa majina yao ya kiafrika.

Duniani waafrika ndio watu wenye IQ ndogo sana na moja ya ushahidi ndio huo hapo juu. Nigger bure kabisa.
Mkuu umeongea pointi
 
Hata Ukraine wapo. Lkn kwa sasa tupo kuhaami msikiti uliopo Palestina yaani Aqswa. Unajua wewe bwege umuhimu wa masjid Aqswa ?
Huo mskiti ulijengwa mwaka gani ??
Na kwanini ujengwe katika eneo la helaku la mfalme wa wayahudi lililobomolewa na warumi?
 
Mkuu hivi waislamu waarabu mbona hawasaidii waislamu wa somalia nigeria na mali na niger na DRC wanaotaabishwa na makundi ya boko haram na makundi mengine ya waasi kama kweli al muslim akhul muslim?
Kesi ya nyani haiwezi ikaamuliwa na ngedere. Never.
 
Isreal anawapiga waislam wa Palestina na kuwapora ardhi yao.

Muislam hatizami mwarabu anatizama masjid Aqswa iliopo Palestina inayokaliwa na mabavu na mayahudi
Kongo kuna nini?
Mjinga wewe
 
Huku tukiendelea kuandamana na kuwa na uchungu wa mnyang'anyano wa aidhi baina Waarabu na Wayahudi, hebu pia tuweni na kauchungu fulani hivi kwa Waafrika wenzetu karibia milioni 7 hapo DRC wamefukuzwa kutoka kwenye ardhi zao......
=============================

The conflict between M23 rebels and militias loyal to the DRC's government has intensified in the eastern province of North Kivu since early October, particularly north of the provincial capital Goma.

The UN's International Organization for Migration said many people who have fled their homes but stayed within the DRC's borders desperately needed help to meet their basic needs.

"The IOM is intensifying its efforts to address the complex and persistent crisis in the DRC as the number of internally displaced people (IDPs) climbs to 6.9 million people across the country -- the highest number recorded yet," it said in a statement.

"With ongoing conflict and escalating violence, the DRC is facing one of the largest internal displacement and humanitarian crises in the world."

Ulevi wa dini umewapofusha macho hawawezi kuona kuwa kuna ndugu zetu wa DRC wanakufa na kuteseka sababu ya vita. Wao wanawaza watu ambao wanatuona nyani tu
 
Isreal anawapiga waislam wa Palestina na kuwapora ardhi yao.

Muislam hatizami mwarabu anatizama masjid Aqswa iliopo Palestina inayokaliwa na mabavu na mayahudi
Kongo kuna nini?
=Wayahudi
Tumia lugha fasaha u asawa kama wapalestina wakiitwa MAPALESTINE ?
 
Back
Top Bottom