Walio na uchungu wa ardhi ya Waarabu wa Palestina, kumbukeni pia DRC watu 6.9m wamefukuzwa kwenye ardhi yao

Walio na uchungu wa ardhi ya Waarabu wa Palestina, kumbukeni pia DRC watu 6.9m wamefukuzwa kwenye ardhi yao

Huku tukiendelea kuandamana na kuwa na uchungu wa mnyang'anyano wa aidhi baina Waarabu na Wayahudi, hebu pia tuweni na kauchungu fulani hivi kwa Waafrika wenzetu karibia milioni 7 hapo DRC wamefukuzwa kutoka kwenye ardhi zao......
=============================

The conflict between M23 rebels and militias loyal to the DRC's government has intensified in the eastern province of North Kivu since early October, particularly north of the provincial capital Goma.

The UN's International Organization for Migration said many people who have fled their homes but stayed within the DRC's borders desperately needed help to meet their basic needs.

"The IOM is intensifying its efforts to address the complex and persistent crisis in the DRC as the number of internally displaced people (IDPs) climbs to 6.9 million people across the country -- the highest number recorded yet," it said in a statement.

"With ongoing conflict and escalating violence, the DRC is facing one of the largest internal displacement and humanitarian crises in the world."


Siyo kuwa mnaposhangilia wasiokuwa na hatia Gaza, kumbukeni ufwedhuli kama huo unaendelea DRC?

GGJDUHkWsAAb6ih.jpeg


Ufwedhuli kokote haukubaliki.
 
Siyo kuwa mnaposhangilia wasiokuwa na hatia Gaza, kumbukeni ufwedhuli kama huo unaendelea DRC?

View attachment 2902219

Ufwedhuli kokote haukubaliki.

Wewe mvaa kobaz wa kwanza kuja huku kuongea wanayopitia ndugu zetu weusi wenzetu, siku zote mumekomalia kuwalilia Waarabu kule.
 
Wewe mvaa kobaz wa kwanza kuja huku kuongea wanayopitia ndugu zetu weusi wenzetu, siku zote mumekomalia kuwalilia Waarabu kule.
Mvaa kobaz mbona ni wewe ndugu?



Kwa wastaarabu ufwedhuli hauna rangi!

Bure kabisa!
 
Kuna ndugu yangu Yuko ni mjeda. Na Kwa Sasa Yuko front line kuwaondoa m23 huko Kingo. Anasema Hali inatisha huko Kwa mauaji ya kutusha mno. Kuna Picha huwa ananitumia zinatisha ni unyama ambao unatisha mno..

Na anasema wafadhili wakuu ni USA wa hayo makundi.
 
Kuna ndugu yangu Yuko ni mjeda. Na Kwa Sasa Yuko front line kuwaondoa m23 huko Kingo. Anasema Hali inatisha huko Kwa mauaji ya kutusha mno. Kuna Picha huwa ananitumia zinatisha ni unyama ambao unatisha mno..

Na anasema wafadhili wakuu ni USA wa hayo makundi.
 
Hali ni mbaya Sana Congo Kwa kweli na mbaya zaidi wanauana wenyewe Kwa wenyewe.. waafrika tuna akili ndogo sana Tena Sana. Na sisi ndo watu wa kuwa na IQ ndogo sana hapa Duniani. Mzungu anatuchonganisha tunachinjana kama kuku..
 
Isreal anawapiga waislam wa Palestina na kuwapora ardhi yao.

Muislam hatizami mwarabu anatizama masjid Aqswa iliopo Palestina inayokaliwa na mabavu na mayahudi
Kongo kuna nini?
Kumbe ni vita ya kidini? uzuri uislamu hauna jeshi la kwenda kusaidia hamasi.
 
Vita ya Congo haiwezi kua sawa na vita inayoendeshwa na wazayuni wauaji mashoga na makatili
Congo wanatakiwa eidha wakae chini watatue tofauti zao ama waongeze nguvu dhidi ya hao waasi mamluki wa magharibi kupitia rwanda
Ila Palestine inatakiwa iungwe mkono na kila mpenda haki mpenda amani mchukia ushoga sababu Palestine wanapambana na vyote ama yote hayo kwa wakati mmoja
 
Kuna ndugu yangu Yuko ni mjeda. Na Kwa Sasa Yuko front line kuwaondoa m23 huko Kingo. Anasema Hali inatisha huko Kwa mauaji ya kutusha mno. Kuna Picha huwa ananitumia zinatisha ni unyama ambao unatisha mno..

Na anasema wafadhili wakuu ni USA wa hayo makundi.
Nduguyo yupo sahihi zaidi western ndio wafadhili wakuu kabisa wa M23 kwakila hali
Dunia hii hasa Africa haiwezi ikawa na amani ikiwa Americant Uingereza na Israhell zitakuepo bila kusahau Ujerumani Ufaransa Canada na Ubelgiji
 
Back
Top Bottom