Walioandaliwa kuipigia "debe" Tozo waanza kujitokeza, leo ni Steve "Nyenyere"

Walioandaliwa kuipigia "debe" Tozo waanza kujitokeza, leo ni Steve "Nyenyere"

Kuna Uzi hapa ulianzishwa hapa jukwaani kuwa Kuna Watu wameandaliwa Ili kuipigia "debe" wizi...nadhani ni Erythrocyte ndio aliuleta hapa.

Leo amejitokeza hadharani Steve "Nyenyere" akisifia tozo na kwamba bila Tozo Tanzania itafilisika! Hawa Watu wangetafuta basi hata Watu wenye uelewa Kidogo, huyu Hana tofauti na yule msanii aliyesema Mlima Kilimanjaro uko Arusha.

Ikitokea siku TOZO zikafutwa, ataweka wapi sura yake?

View attachment 2347775
Huyu naye katoka wapi kweli ni mdogo kuanzia ubongo hadi kila kitu! Ni robo binadamu huyu.
Huyu amenikumbusha kipindi cha jiwe akifanya kampeni akina diamond walifikia kutuimbia utumbo eti "magufuli babalao". Hivi hakuna akina Boby Wine Robert Chagulani hapa kwetu? Mbona wasanii wa matumbo wengi. Huyu ndebile steve nyenyere ana kichaa cha kuku!
Wasanii wa Tz wengi ni vilaza fulani ambao wamepitapita kupitia kubebwa na wengine kupakatwa tu.
 
Huyu naye katoka wapi kweli ni mdogo kuanzia ubongo hadi kila kitu! Ni robo binadamu huyu.
Huyu amenikumbusha kipindi cha jiwe akifanya kampeni akina diamond walifikia kutuimbia utumbo eti "magufuli babalao". Hivi hakuna akina Boby Wine Robert Chagulani hapa kwetu? Mbona wasanii wa matumbo wengi. Huyu ndebile steve nyenyere ana kichaa cha kuku!
Wasanii wa Tz wengi ni vilaza fulani ambao wamepitapita kupitia kubebwa na wengine kupakatwa tu.
Usiumize kichwa mkuu, Steve sio msanii hana sanaa anayofanya...alijaribu filamu ikashindikana...amebaki kwa chawa tu wa wapiga pesa...mzima data huyu kama yule Mwijaku na wenzie..muwahurumie tu wanatafuta namna ya kuendelea kusihi mjini!
 
Huyu naye katoka wapi kweli ni mdogo kuanzia ubongo hadi kila kitu! Ni robo binadamu huyu.
Huyu amenikumbusha kipindi cha jiwe akifanya kampeni akina diamond walifikia kutuimbia utumbo eti "magufuli babalao". Hivi hakuna akina Boby Wine Robert Chagulani hapa kwetu? Mbona wasanii wa matumbo wengi. Huyu ndebile steve nyenyere ana kichaa cha kuku!
Wasanii wa Tz wengi ni vilaza fulani ambao wamepitapita kupitia kubebwa na wengine kupakatwa tu.
Usiumize kichwa mkuu, Steve sio msanii hana sanaa anayofanya...alijaribu filamu ikashindikana...amebaki kwa chawa tu wa wapiga pesa...mzima data huyu kama yule Mwijaku na wenzie..muwahurumie tu wanatafuta namna ya kuendelea kusihi mjini!
 
Huyu naye katoka wapi kweli ni mdogo kuanzia ubongo hadi kila kitu! Ni robo binadamu huyu.
Huyu amenikumbusha kipindi cha jiwe akifanya kampeni akina diamond walifikia kutuimbia utumbo eti "magufuli babalao". Hivi hakuna akina Boby Wine Robert Chagulani hapa kwetu? Mbona wasanii wa matumbo wengi. Huyu ndebile steve nyenyere ana kichaa cha kuku!
Wasanii wa Tz wengi ni vilaza fulani ambao wamepitapita kupitia kubebwa na wengine kupakatwa tu.
NDIO ujue nchi pale imefika
 
Toa 352 za Magufuli na then zinazosalia ndio za hao unaowataja,harafu hizo zingine gawanya kwa waliosalia..

Soma jedwali hili hapa chini👇
Hebu tujadili jedwali hili kwanza 2020/2021 registered Gov H/c=645 and 2021/ March 2022 registered Gov H/C= 679 KWa maana KWa serikali hii viliongezeka vituo vya afya 34 from 2021 to March 2022, KWa mjibu wa jedwali Hili , Sasa twambie hivyo vituo vya Maghufuli 352 umevipata wapi Kama hutojali

Alafu KWa mjibu wa jedwali Hili vimejengwa vituo 34 tu mpaka March 2022, Sasa twambieni mpaka Sasa September 2022 ambayo ni miezi mitano Kama sio sita mmejenga vingapi wakati mnatozo, ni kata zipi vimejengwa au vinajengwa ,tunataka data
 

Attachments

  • Screenshot_20220907-152112.png
    Screenshot_20220907-152112.png
    58.9 KB · Views: 2
Kuna Uzi hapa ulianzishwa hapa jukwaani kuwa Kuna Watu wameandaliwa Ili kuipigia "debe" wizi...nadhani ni Erythrocyte ndio aliuleta hapa.

Leo amejitokeza hadharani Steve "Nyenyere" akisifia tozo na kwamba bila Tozo Tanzania itafilisika! Hawa Watu wangetafuta basi hata Watu wenye uelewa Kidogo, huyu Hana tofauti na yule msanii aliyesema Mlima Kilimanjaro uko Arusha.

Ikitokea siku TOZO zikafutwa, ataweka wapi sura yake?

View attachment 2347775
usihangaika na wapuuzi ambao wamefilisika kichwani.huyu kichwa chake kwa kipindi chetu tulikuwa tunasema ni seti tupu.kwani waliotangulia waliweka hizo tozo na nchi ilifilisika?hao ni makada wa kijani hivyo hawajui machungu tunayoyapata walalahoi.Time will tell very soon.
 
usihangaika na wapuuzi ambao wamefilisika kichwani.huyu kichwa chake kwa kipindi chetu tulikuwa tunasema ni seti tupu.kwani waliotangulia waliweka hizo tozo na nchi ilifilisika?hao ni makada wa kijani hivyo hawajui machungu tunayoyapata walalahoi.Time will tell very soon.
Shukrani
 
Hebu tujadili jedwali hili kwanza 2020/2021 registered Gov H/c=645 and 2021/ March 2022 registered Gov H/C= 679 KWa maana KWa serikali hii viliongezeka vituo vya afya 34 from 2021 to March 2022, KWa mjibu wa jedwali Hili , Sasa twambie hivyo vituo vya Maghufuli 352 umevipata wapi Kama hutojali

Alafu KWa mjibu wa jedwali Hili vimejengwa vituo 34 tu mpaka March 2022, Sasa twambieni mpaka Sasa September 2022 ambayo ni miezi mitano Kama sio sita mmejenga vingapi wakati mnatozo, ni kata zipi vimejengwa au vinajengwa ,tunataka data
Naomba pro tozo mnapokuja na vitu vyenu muwe wazi kuvitetea , jedwali linaonesha mpaka Maghufuli anaondoka yani 2020 to 2021 vituo vya afya vilivyokuwa vimesajiliwa vya serikali vilikua 645, na 2021/2022 March vilivyokuwa vimesajiliwa vilikua 679, vya serikali tofauti ya vituo 34,
Maana yake hata hivi 34 WENDA vilikua havijamalizika, lakin hata Kama vimejengwa na serikali hii sio tatizo
Tatizo mpaka Sasa hizi tozo ndani ya miezi 6 vituo vilivyo jengwa viko kwenye kata zipi, na jumla ya vituo, habari za kusikia sitaki ,nyie mlio hapa as pro tozo mtwambie,
 
Naomba pro tozo mnapokuja na vitu vyenu muwe wazi kuvitetea , jedwali linaonesha mpaka Maghufuli anaondoka yani 2020 to 2021 vituo vya afya vilivyokuwa vimesajiliwa vya serikali vilikua 645, na 2021/2022 March vilivyokuwa vimesajiliwa vilikua 679, vya serikali tofauti ya vituo 34,
Maana yake hata hivi 34 WENDA vilikua havijamalizika, lakin hata Kama vimejengwa na serikali hii sio tatizo
Tatizo mpaka Sasa hizi tozo ndani ya miezi 6 vituo vilivyo jengwa viko kwenye kata zipi, na jumla ya vituo, habari za kusikia sitaki ,nyie mlio hapa as pro tozo mtwambie,
Mpwa tafadhali Sana, usiwe unapiga za mbavu kiasi hiki, utauwa hahahahaha 😛, walidhani wote hatujui kusoma.
 
Hebu tujadili jedwali hili kwanza 2020/2021 registered Gov H/c=645 and 2021/ March 2022 registered Gov H/C= 679 KWa maana KWa serikali hii viliongezeka vituo vya afya 34 from 2021 to March 2022, KWa mjibu wa jedwali Hili , Sasa twambie hivyo vituo vya Maghufuli 352 umevipata wapi Kama hutojali

Alafu KWa mjibu wa jedwali Hili vimejengwa vituo 34 tu mpaka March 2022, Sasa twambieni mpaka Sasa September 2022 ambayo ni miezi mitano Kama sio sita mmejenga vingapi wakati mnatozo, ni kata zipi vimejengwa au vinajengwa ,tunataka data
Na umri wa kujenga hivyo vituo sasa hahahahà au labda anazungumzia mabanda ya Kuku
 
Mpwa tafadhali Sana, usiwe unapiga za mbavu kiasi hiki, utauwa hahahahaha 😛, walidhani wote hatujui kusoma.
Hawa mkuu wahuni, wanalishwa Maneno huko alafu wanakuja kutudanganya hapa, yani data wanazo wao ,wanatuma wao alafu wanatudanganya hii ni Hatari KWa Taifa mkuu
 
Hebu tujadili jedwali hili kwanza 2020/2021 registered Gov H/c=645 and 2021/ March 2022 registered Gov H/C= 679 KWa maana KWa serikali hii viliongezeka vituo vya afya 34 from 2021 to March 2022, KWa mjibu wa jedwali Hili , Sasa twambie hivyo vituo vya Maghufuli 352 umevipata wapi Kama hutojali

Alafu KWa mjibu wa jedwali Hili vimejengwa vituo 34 tu mpaka March 2022, Sasa twambieni mpaka Sasa September 2022 ambayo ni miezi mitano Kama sio sita mmejenga vingapi wakati mnatozo, ni kata zipi vimejengwa au vinajengwa ,tunataka data
Sasa vya Magufuli si kuanzia 2016 hadi 2021 Machi au hujui hata hesabu?

Ili kituo kiwe registered lazima kianze kufanya Kazi ndio maana hivi vya sasa havifabyi Kazi so havipo kwenye hesabu hiyo..

Mwisho soma haya maelezo hapa chini 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220402-214712.png
    Screenshot_20220402-214712.png
    181.7 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220402-215025.png
    Screenshot_20220402-215025.png
    51.5 KB · Views: 2
Sasa vya Magufuli si kuanzia 2016 hadi 2021 Machi au hujui hata hesabu?

Ili kituo kiwe registered lazima kianze kufanya Kazi ndio maana hivi vya sasa havifabyi Kazi so havipo kwenye hesabu hiyo..

Mwisho soma haya maelezo hapa chini 👇
Wewe Endelea kurukaruka tu kama maharagwe
 
Hahahàa anatia huruma 😂
Sana aisee hii ni Hatari na nusu mkuu Hali ni mbaya Sana Tz, yani kwamba KWa maana nyingine serikali ya mwinyi ,Mkapa, kikwete ilikua useless kwenye afya na ujenzi wa vituo vya afya na zahanati na hospital , ila ya Manghufuli,na SSH ni kiboko, 🤣
 
Back
Top Bottom