Walioanza kufuatilia mpira 2020 wanakosa mengi

Tim Cahill, Craig Bellamy, Jo, Dirk Kuyt, Andrey Arshavin, Gabriel Agbonlahor, Jermain Defoe, Bent & Peter Crouch [emoji1487]
 
Juan kwenye mipira iliyokufa hafiki Kwa Juninho japo Juan alikuwa mtu haswa....na ktk era ya Juan pale Spain kulikuwa na kiumbe kingine kikiitwa Fernando Redondo akikipigia madrid
Sijawahi kumshuhudia redondo, ila nasikia alikua ni balaa haswaa
 
Sijawahi kumshuhudia redondo, ila nasikia alikua ni balaa haswaa
Alikuwa mtu na nusu ......isingekuwa majeraha nahisi ungemuona kwani majeraha yalisabab Isha ache mpira ktk umri mdogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…