Walioanza kufuatilia mpira 2020 wanakosa mengi

Walioanza kufuatilia mpira 2020 wanakosa mengi

Hao wote uliowataja kwa miaka ile ya 2000s-2010 walikuwa ni wa kuchezea timu kama Everton,Swansea,Leeds United
Kulikuwa na watu bro. Euro 2004 Nilikuwa team Ureno chini ya Luis Figo, Nuno Valentine, Maniche, Deco au maarufu Decorator.

Kulikuwa na kizazi katili cha kiaergentina kikiongozwa na Herman Crespo, Cambiasso, Sebastian Veron na wadau wengine.

Kulikuwa na Werder Bremen ilikuwa kwenye moto bila kusahau deportivo de la curunha.

Kulikuwa na timu ya PSV Endnhoven ikiwa na wale mapacha akina Cocu, Van Der Vaart, Van Bronchorts akaendaga Barcelona, Evra na Ji Park wakahamia Man U.

Kulikuwa na Monaco ambao walikuwa 🔥 na ile Barcelona ya Rijkaard nayo ilikuwa 🔥
 
Tuanzie tu hapa 2005-2020 Nyota waliobamba je kwa Sasa Kuna wakufananisha nao?

1. Zidane
2. Ronaldo
3. Messi
4. Rooney
5. Gigs
6. Vandesir
7. Peter check
8. Inesta
9. Xavi
10. Drogba
11. Robin Vanpursie
12. Arjen Roben
13. Diego Folan
14. Vidic
15. Steven Gerarld
16. Lampard
17.Aguero
18. Etoo
19. Bekham
20 . Thienry Henry
21. Gaucho
Kipindi hicho hata ukiweka mkeka unashinda Barcelona ilikuwaga Moto , hii man u inayounga unga ilikuwa balaa, Yule Tores wa Liverpool vipi? Wachezaji wenye goli 20 wanakaa Benji Kama chicharito 🤣 saivi mfungaji Bora wa man u anagoli 10

Hiki kizazi Cha juzi kimakosa uhondo kweli kweli embu ongeza Majina mengine
Peter Cech siyo Peter Check.
 
Mwamba Juninho Pernambucano alikuwa bingwa mno ila Kwa kizazi hiki hakumbukwi Wala kutajwa,sikumbuki kama aliwahi kuichezea timu yake ya taifa....maana kipindi hicho Brazil ilikuwa ya moto sana
Alikuwa role model wangu kwenye dead ball's pale uwanja wa shujaa Morogoro Mjini. Jamaa walikuwa wakiweka ukuta hata hatua tatu toka nilipo, nilikuwa navusha ukuta. Tumetoka mbali sana.

Jamaa alikuwa anaweza. Yule ndio dead ball specialist. Alicheza timu ya taifa ya brqzil mkuu.
 
Ni sahihi. Game yangu bora ya muda wote ni ya Chelsea chini ya Master Guus Hiddink na Liverpool chini ya mzee wetu Benitez.

Game iliisha 4 kwa 4. Ilikuwa game nzuri sana ile bro. Kuna game ya ManchesterUnited dhudi ya Real Madrid sikumbuki ni mwaka gani ila 2004 shuka chini. Madrid ya akina Beckham, Zidane na De Lima wakawa wanamtungua tu Bartez.
Hiyo game pale OT R9 alipigwa red na Man walishinda sikumbuki kwa goli ngapi ila aggregate iliwatoa nje kwani game ya kwanza pale Spain Mashetani walipigwa 3 bila majibu.
 
Mwamba Juninho Pernambucano alikuwa bingwa mno ila Kwa kizazi hiki hakumbukwi Wala kutajwa,sikumbuki kama aliwahi kuichezea timu yake ya taifa....maana kipindi hicho Brazil ilikuwa ya moto sana
Alikuwa role model wangu kwenye dead ball's pale uwanja wa shujaa Morogoro Mjini. Jamaa walikuwa wakiweka ukuta hata hatua tatu toka nilipo, nilikiwa navusha ukuya
Game iliisha hivi Mnafiki Wa Kujitegemea
 
Kulikuwa na watu bro. Euro 2004 Nilikuwa team Ureno chini ya Luis Figo, Nuno Valentine, Maniche, Deco au maarufu Decorator.

Kulikuwa na kizazi katili cha kiaergentina kikiongozwa na Herman Crespo, Cambiasso, Sebastian Veron na wadau wengine.

Kulikuwa na Werder Bremen ilikuwa kwenye moto bila kusahau deportivo de la curunha.

Kulikuwa na timu ya PSV Endnhoven ikiwa na wale mapacha akina Cocu, Van Der Vaart, Van Bronchorts akaendaga Barcelona, Evra na Ji Park wakahamia Man U.

Kulikuwa na Monaco ambao walikuwa 🔥 na ile Barcelona ya Rijkaard nayo ilikuwa 🔥
Hernan Crespo kwa mbaali alitaka kufanana na Milan Baros.
 
Kweli Kila zama na kipindi chake, mtu akikwambia Kuna mtu alikuwa akiitwa Marco "Marcel" Van Basten ukimuwekea tu au ukimkuta au ukimuacha aguse mpira karibu na boksi jua ni goli. mashuti anapiga, vichwa kama kawaida, volley ndiyo usiseme, ballon d'or Tatu lakini Bado alistaafu akiwa na 28 hivi.

Ukizidi kurudi nyuma Kuna kizazi kingine Bora tena, kizazi cha football Fulani hutegemea na nani alikiona.
 
Milan Baros mwamba kutoka Chezc republic,baada ya fainali ya uefa waliyokutana na Monaco na Porto nahisi ndo akahamia Liverpool
Huyo ni Mgiriki na mashindano ya EURO yaliyofanyikia Ugiriki 2004 nadhani ndiye aliibuka mfungaji bora huku UGIRIIKI ikiwapiga nadhani URENO final na kubeba kombe.
 
Nimemtafuta sana Mwanangu Roberto Carlos sioni akitajwa kabisaa😥😥
 
Ni kweli mpira zamani ulikuepo na ushindani , kila zama na watu wake ndivyo ilivyo.

kuna wachezaji wapo wana uwezo mkubwa tu wameonyesha sasa kuzidi hata hao wa zamani
mohamed salah ni bora kuzidi beckham& milan baros.
Hary kane bado atakuwa bora kuzidi forward wengi tu waliopita pale england (ruud van nistelroy, baros, van persie na wengine wengi tu)
Huwezi kuniambia kolo toure ni bora kuliko virgil 😂
Japo kuna nafasi kama za kina ashley cole huwezi kumlinganisha na mchezaji yoyote yule mpaka leo.

ALL IN ALL ZAMANI NI KWELI MPIRA ULIPIGWA HASWA .
 
Back
Top Bottom