mtongwe
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 1,652
- 4,468
Na maisha yake kiasi kikubwa alichezea hapo na kabla yake Lyon hawakuwa wamechukua kombeNi sports director wa Lyon klabu yake ya zamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na maisha yake kiasi kikubwa alichezea hapo na kabla yake Lyon hawakuwa wamechukua kombeNi sports director wa Lyon klabu yake ya zamani
Hao wote uliowataja kwa miaka ile ya 2000s-2010 walikuwa ni wa kuchezea timu kama Everton,Swansea,Leeds UnitedHakuna wachezaji siku hizi,lukaku ananunuliwa 100m,havertz striker arsenal,jackson chelsea,
Nikweli mkuu😅Hao wote uliowataja kwa miaka ile ya 2000s-2010 walikuwa ni wa kuchezea timu kama Everton,Swansea,Leeds United
Naikumbuka hii game mkuu. Ronaldo alikiwa anamtungua tu Bartez. Bonge la Game hili bro.
Kulikuwa na watu bro. Euro 2004 Nilikuwa team Ureno chini ya Luis Figo, Nuno Valentine, Maniche, Deco au maarufu Decorator.Hao wote uliowataja kwa miaka ile ya 2000s-2010 walikuwa ni wa kuchezea timu kama Everton,Swansea,Leeds United
Peter Cech siyo Peter Check.Tuanzie tu hapa 2005-2020 Nyota waliobamba je kwa Sasa Kuna wakufananisha nao?
1. Zidane
2. Ronaldo
3. Messi
4. Rooney
5. Gigs
6. Vandesir
7. Peter check
8. Inesta
9. Xavi
10. Drogba
11. Robin Vanpursie
12. Arjen Roben
13. Diego Folan
14. Vidic
15. Steven Gerarld
16. Lampard
17.Aguero
18. Etoo
19. Bekham
20 . Thienry Henry
21. Gaucho
Kipindi hicho hata ukiweka mkeka unashinda Barcelona ilikuwaga Moto , hii man u inayounga unga ilikuwa balaa, Yule Tores wa Liverpool vipi? Wachezaji wenye goli 20 wanakaa Benji Kama chicharito 🤣 saivi mfungaji Bora wa man u anagoli 10
Hiki kizazi Cha juzi kimakosa uhondo kweli kweli embu ongeza Majina mengine
Alikuwa role model wangu kwenye dead ball's pale uwanja wa shujaa Morogoro Mjini. Jamaa walikuwa wakiweka ukuta hata hatua tatu toka nilipo, nilikuwa navusha ukuta. Tumetoka mbali sana.Mwamba Juninho Pernambucano alikuwa bingwa mno ila Kwa kizazi hiki hakumbukwi Wala kutajwa,sikumbuki kama aliwahi kuichezea timu yake ya taifa....maana kipindi hicho Brazil ilikuwa ya moto sana
Hiyo game pale OT R9 alipigwa red na Man walishinda sikumbuki kwa goli ngapi ila aggregate iliwatoa nje kwani game ya kwanza pale Spain Mashetani walipigwa 3 bila majibu.Ni sahihi. Game yangu bora ya muda wote ni ya Chelsea chini ya Master Guus Hiddink na Liverpool chini ya mzee wetu Benitez.
Game iliisha 4 kwa 4. Ilikuwa game nzuri sana ile bro. Kuna game ya ManchesterUnited dhudi ya Real Madrid sikumbuki ni mwaka gani ila 2004 shuka chini. Madrid ya akina Beckham, Zidane na De Lima wakawa wanamtungua tu Bartez.
Alikuwa role model wangu kwenye dead ball's pale uwanja wa shujaa Morogoro Mjini. Jamaa walikuwa wakiweka ukuta hata hatua tatu toka nilipo, nilikiwa navusha ukuyaMwamba Juninho Pernambucano alikuwa bingwa mno ila Kwa kizazi hiki hakumbukwi Wala kutajwa,sikumbuki kama aliwahi kuichezea timu yake ya taifa....maana kipindi hicho Brazil ilikuwa ya moto sana
Game iliisha hivi Mnafiki Wa Kujitegemea
Hernan Crespo kwa mbaali alitaka kufanana na Milan Baros.Kulikuwa na watu bro. Euro 2004 Nilikuwa team Ureno chini ya Luis Figo, Nuno Valentine, Maniche, Deco au maarufu Decorator.
Kulikuwa na kizazi katili cha kiaergentina kikiongozwa na Herman Crespo, Cambiasso, Sebastian Veron na wadau wengine.
Kulikuwa na Werder Bremen ilikuwa kwenye moto bila kusahau deportivo de la curunha.
Kulikuwa na timu ya PSV Endnhoven ikiwa na wale mapacha akina Cocu, Van Der Vaart, Van Bronchorts akaendaga Barcelona, Evra na Ji Park wakahamia Man U.
Kulikuwa na Monaco ambao walikuwa 🔥 na ile Barcelona ya Rijkaard nayo ilikuwa 🔥
Bila kumsahau endrick boby charlton 🦍Nyie vitoto vya 2000 mnajua nini kumhusu Franco Baresi, Roberto Baggio, Rashid Yekini, Cyril Makanaky, Emmanuel Kunde, Lothar Matthaus, Faustino Asprilla, Jorge Burruchaga, Sergio Batista, Sergio Goycochea….
Labda kama unataka uwepo wako utambulike sawa,lkn kama unataka kujifunza alichosema jamaa ni kweli. ITV walikuwa wakitusogezea kupitia kituo kimoja cha Ufaransa (CFi).UEFA haikuwa ikichezwa jumapili
Fabian Bartez aliokoa mkwaju wa penalty ulipigwa na R9 baada ya kumgonga kwenye pua.Naikumbuka hii game mkuu. Ronaldo alikiwa anamtungua tu Bartez. Bonge la Game hili bro.
Vile yaani.Alikuwa role model wangu kwenye dead ball's pale uwanja wa shujaa Morogoro Mjini. Jamaa walikuwa wakiweka ukuta hata hatua tatu toka nilipo, nilikiwa navusha ukuya
Game iliisha hivi Mnafiki Wa Kujitegemea
Milan Baros mwamba kutoka Chezc republic,baada ya fainali ya uefa waliyokutana na Monaco na Porto nahisi ndo akahamia LiverpoolHernan Crespo kwa mbaali alitaka kufanana na Milan Baros.
Huyo ni Mgiriki na mashindano ya EURO yaliyofanyikia Ugiriki 2004 nadhani ndiye aliibuka mfungaji bora huku UGIRIIKI ikiwapiga nadhani URENO final na kubeba kombe.Milan Baros mwamba kutoka Chezc republic,baada ya fainali ya uefa waliyokutana na Monaco na Porto nahisi ndo akahamia Liverpool
Beckham overatted sana zaidi ya free kick zake hana jipyaNimesikitika sana kwenye list sijamuona Bekham .