Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Mzee Mimi sijakufanya uwe masikini maana wazee nyie kinachowatesa ni umasikini ndio maana mnamchukia vijana pambana na Hali yako mzee 🤣🤣🤣🤣Wejamaa Kama kinyesi Cha asubuhi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee Mimi sijakufanya uwe masikini maana wazee nyie kinachowatesa ni umasikini ndio maana mnamchukia vijana pambana na Hali yako mzee 🤣🤣🤣🤣Wejamaa Kama kinyesi Cha asubuhi
Orodha haina Gaucho haina maana tena.Tuanzie tu hapa 2005-2020 Nyota waliobamba je kwa Sasa Kuna wakufananisha nao?
1. Zidane
2. Ronaldo
3. Messi
4. Rooney
5. Gigs
6. Vandesir
7. Peter check
8. Inesta
9. Xavi
10. Drogba
11. Robin Vanpursie
12. Arjen Roben
13. Diego Folan
14. Vidic
15. Steven Gerarld
16. Lampard
17.Aguero
18. Etoo
19. Bekham
20 . Thienry Henry
Kipindi hicho hata ukiweka mkeka unashinda Barcelona ilikuwaga Moto , hii man u inayounga unga ilikuwa balaa, Yule Tores wa Liverpool vipi?
Hiki kizazi Cha juzi kimakosa uhondo kweli kweli embu ongeza Majina mengine
Mdogo wangu kinachoongelewa hapa ni ukweli kabisa. Mimi nimeshuhudia mpira toka 2002 mpaka sasa ni shabiki wa mpira ila kiukweli ule udambwi umepungua sana. Wachezaji hawana commitment kama iliyokuwepo hapo mwanzo, sasa hivi pesa inaendesha mpira, nimeishuhidia the worst Man City tofauti na hii ya sasa. Enzi hizo top four watu wanakaangana kweli ubingwa wa ligi timu zinapokezana.Kama kawaida wazee kusifia enzi zenu sioni shida hata vijana wa Sasa wakijisifia mwaka 2050 yaani ukishaishiwa lazima usifie kwamba nilikuaga hivi mala vile yaani ukiona mtu anasifia enzi zake na hataki kuipa respect kizazi Cha mwenzie huyo hamna kitu ni muongo
Mkuu atakuwa hajui kuwa hyo ndo England derbyAliye kudanganya ninani mkuu [emoji1787] man u na Liverpool na Derby ya pili kwa ukubwa duniani ukiacha El -clasico
Ndio hivyoMkuu atakuwa hajui kuwa hyo ndo England derby
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
UEFA haikuwa ikichezwa jumapiliLabda ubgesema soka la bongo ila hao wachezaji enzi hizo tulikuwa tunawaangalia ITV kwenye UEFA CHAMPION LEAGUE jumapili baada ya igizo la mizengwe
Labda ubgesema soka la bongo ila hao wachezaji enzi hizo tulikuwa tunawaangalia ITV kwenye UEFA CHAMPION LEAGUE jumapili baada ya igizo la mizengwe
Hakuna wachezaji siku hizi,lukaku ananunuliwa 100m,havertz striker arsenal,jackson chelsea,Kama kawaida wazee kusifia enzi zenu sioni shida hata vijana wa Sasa wakijisifia mwaka 2050 yaani ukishaishiwa lazima usifie kwamba nilikuaga hivi mala vile yaani ukiona mtu anasifia enzi zake na hataki kuipa respect kizazi Cha mwenzie huyo hamna kitu ni muongo
Au Raul, Roberto Carlos, MaludaKomenti zote hakuna jina la Thienry Henry? Duh!
Hakuna wachezaji siku hizi,lukaku ananunuliwa 100m,havertz striker arsenal,jackson chelsea,
Sio kweli mzee. Yaani akina Kay Havert wawe wana kasi kuliko akina Ballack au Scholes mkuu? Yaani hawa akina Garnacho wawe wanaweza zaidi ya Akina Bergkamp au Ricardo Quaresm?Uzuri ni kwamba
Hawa wachezaji wa zamani hata wao wanakubali kwamba mpira wa sasa una kasi na ushindani tofauti na kipindi chao
Ni sahihi. Hao akina Pacome katika kizazi chetu walikuwa wanapatikana hapo Morogogoro kwenye chama letu la Young Boys la Mkambarani.Mimi niliacha kuangalia mpira 2017. Nimekuja kucheki hivi karibuni nimeacha kabisa kufuatilia officially. Hauna radha wala hakuna mtu anayejua mpira. Wote wanaungaunga bora wakina Pacome.
😅Ni sahihi. Hao akina Pacome katika kizazi chetu walikuwa wanapatikana hapo Morogogoro kwenye chama letu la Young Boys la Mkambarani.
Binafsi sifuatilii mpira kwa sasa sio Tanzania wala nje ya nchi. Leo Haaland anawafunga tu mabeki uchwara. Yule jamaa wakati nacheza kitasa Young Boys ya Mkambarani Morogogoro pale uwanja wa shujaa Morogogoro asingekuwa ananisumbua.
Nikweli mkuuMimi niliacha kuangalia mpira 2017. Nimekuja kucheki hivi karibuni nimeacha kabisa kufuatilia officially. Hauna radha wala hakuna mtu anayejua mpira. Wote wanaungaunga bora wakina Pacome.
Wanakosaje wakati hawakuwepo, muda wao ndiyo huu. Nao piTuanzie tu hapa 2005-2020 Nyota waliobamba je kwa Sasa Kuna wakufananisha nao?
1. Zidane
2. Ronaldo
3. Messi
4. Rooney
5. Gigs
6. Vandesir
7. Peter check
8. Inesta
9. Xavi
10. Drogba
11. Robin Vanpursie
12. Arjen Roben
13. Diego Folan
14. Vidic
15. Steven Gerarld
16. Lampard
17.Aguero
18. Etoo
19. Bekham
20 . Thienry Henry
21. Gaucho
Kipindi hicho hata ukiweka mkeka unashinda Barcelona ilikuwaga Moto , hii man u inayounga unga ilikuwa balaa, Yule Tores wa Liverpool vipi? Wachezaji wenye goli 20 wanakaa Benji Kama chicharito 🤣 saivi mfungaji Bora wa man u anagoli 10
Hiki kizazi Cha juzi kimakosa uhondo kweli kweli embu ongeza Majina mengine
Wanakosa nini labda, kwani walikuwepo? Kawaida kitu unachokosa ni ambacho ulikuwa nacho. Wao wana kizazi chao cha akina Man City. Nao watajivunia kwa hilo. Mimi leo uniambie namisi kitu kwa Sunday Manara, kichekesho. Waliomuona sawa.Tuanzie tu hapa 2005-2020 Nyota waliobamba je kwa Sasa Kuna wakufananisha nao?
1. Zidane
2. Ronaldo
3. Messi
4. Rooney
5. Gigs
6. Vandesir
7. Peter check
8. Inesta
9. Xavi
10. Drogba
11. Robin Vanpursie
12. Arjen Roben
13. Diego Folan
14. Vidic
15. Steven Gerarld
16. Lampard
17.Aguero
18. Etoo
19. Bekham
20 . Thienry Henry
21. Gaucho
Kipindi hicho hata ukiweka mkeka unashinda Barcelona ilikuwaga Moto , hii man u inayounga unga ilikuwa balaa, Yule Tores wa Liverpool vipi? Wachezaji wenye goli 20 wanakaa Benji Kama chicharito 🤣 saivi mfungaji Bora wa man u anagoli 10
Hiki kizazi Cha juzi kimakosa uhondo kweli kweli embu ongeza Majina mengine