Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijeshi kuchelewa dakika moja ni dhambi isiyosameheka.Wame kataliwa kwa mjibu wa sheria ipi? Wstanzania hatuko serious kabisa kuchelewa siku moja sio kubwa kiasi hicho.
Kwani hao walio chelewa walikua wanajeshi tayari?Kijeshi kuchelewa dakika moja ni dhambi isiyosameheka.
Pia tujifunze kuzingatia muda. Binafsi nawapongeza kwa hatua waliyochukua ili kuwa funzo kwa wengine.
Kwani walikuwa wamefuata ajira Jeshini?Wahitimu wa kidato cha sita waliochelewa kuripoti kambini tarehe 11/6/2023 wamezuiwa kuripoti na kuungana na wenzao. Zaidi ya vijana 150 katika kambi ya JKT Mafinga wamerejeshwa wakati wakiripoti jana 12/6/2023 siku moja baada ya tarehe ya mwisho.
Kwa wale waliofika jana jioni walipewa hifadhi mpaka asubuhi kwaajili ya usalama wao na leo asubuhi wametakiwa kurejea kwao. Nidhamu ya jeshi ni msingi wa jeshi imara! walidhani ni kule sekondari mtu anavuta wiki mbili mbele baada ya shule kufunguliwa.
Wazazi kama mwanao alienda JKT tarehe 12/6 wasiliana naye ama mtumie nauli yupo nje anapunga upepo!
Wame kataliwa kwa mjibu wa sheria ipi? Wstanzania hatuko serious kabisa kuchelewa siku moja sio kubwa kiasi hicho.
Kuhoji ili udanganywe?Nadhani Uongozi wa Jeshi katika kila Kambi unapaswa kumhoji kila mtu mmoja mmoja juu ya sababu zilizofanya Mwanafunzi kuchelewa kuripoti kambini katika muda uliopangwa kuliko kuwarudisha nyumbani wote pamoja kwa ujumla.
Yawezekana kabisa wapo baadhi ya Wanafunzi wenye sababu za msingi kabisa (reasonable and genuine reasons) zilizowakwamisha wasiripoti kambini kwa wakati muafaka.
Huu ni mtazamo wangu, I stand to be corrected or to be criticised.
wamechelewa jeshini. Ni wazembe. Wanaishi kwa mazoea. Kama una huruma kaanzishe jeshi lako uwaite.Kwani hao walio chelewa walikua wanajeshi tayari?
Sizitaki mbichi hizi.Kwanza hakuna faida yoyote huko ni upuuzi tu
JKT waliokwenda ni Watoto wa wakulima na wafugaji.Wameshajenga cv tayari,uko mbeleni akiulizwa kama alifika jkt,jibu ni ndio.cheti karatasi tu
Mbona huku kwetu Tanga wanazidi kuriport?Wahitimu wa kidato cha sita waliochelewa kuripoti kambini tarehe 11/6/2023 wamezuiwa kuripoti na kuungana na wenzao. Zaidi ya vijana 150 katika kambi ya JKT Mafinga wamerejeshwa wakati wakiripoti jana 12/6/2023 siku moja baada ya tarehe ya mwisho.
Kwa wale waliofika jana jioni walipewa hifadhi mpaka asubuhi kwaajili ya usalama wao na leo asubuhi wametakiwa kurejea kwao. Nidhamu ya jeshi ni msingi wa jeshi imara! walidhani ni kule sekondari mtu anavuta wiki mbili mbele baada ya shule kufunguliwa.
Wazazi kama mwanao alienda JKT tarehe 12/6 wasiliana naye ama mtumie nauli yupo nje anapunga upepo!
Upo sahihi kabisaKwanza hamna faida yeyote watakayopata huko
Penye ukweli uongo hujitenga na Njia ya muongo ni fupi.Kuhoji ili udanganywe?
Kuchelewa hata dakika moja ni kubwa sana. Badilikeni watanzaniaWame kataliwa kwa mjibu wa sheria ipi? Wstanzania hatuko serious kabisa kuchelewa siku moja sio kubwa kiasi hicho.
Hivi wanapewa nauli tuanzie hapo ili twende sawa usilaume bila kujua chanzoWahitimu wa kidato cha sita waliochelewa kuripoti kambini tarehe 11/6/2023 wamezuiwa kuripoti na kuungana na wenzao. Zaidi ya vijana 150 katika kambi ya JKT Mafinga wamerejeshwa wakati wakiripoti jana 12/6/2023 siku moja baada ya tarehe ya mwisho.
Kwa wale waliofika jana jioni walipewa hifadhi mpaka asubuhi kwaajili ya usalama wao na leo asubuhi wametakiwa kurejea kwao. Nidhamu ya jeshi ni msingi wa jeshi imara! walidhani ni kule sekondari mtu anavuta wiki mbili mbele baada ya shule kufunguliwa.
Wazazi kama mwanao alienda JKT tarehe 12/6 wasiliana naye ama mtumie nauli yupo nje anapunga upepo!