Waliochelewa kuripoti JKT wakataliwa kupokelewa

Waliochelewa kuripoti JKT wakataliwa kupokelewa

Tuseme ndio wamewakazia jumla? au usikute baadae watalegeza, watatoa tangazo la kuwaita?
 
Kwani ni lazima au hiari hayo mafunzo ya jkt??
Kama ingekuwa ni lazima basi wote wanaomaliza na kufaulu wangekuwa wanachaguliwa lakini huwa wanachukuliwa wachache wengine wanaachwa hivyo hayo mafunzo hayana mantiki yoyote..
 
Yaani ingekuwa mie ndio nafika naambiwa umechelewa rudi nyumbani!! Weeeeh nisingesubiri hata amalizie sentensi, ningetimka kama mwizi niwaache na upuuzi wao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wahitimu wa kidato cha sita waliochelewa kuripoti kambini tarehe 11/6/2023 wamezuiwa kuripoti na kuungana na wenzao. Zaidi ya vijana 150 katika kambi ya JKT Mafinga wamerejeshwa wakati wakiripoti jana 12/6/2023 siku moja baada ya tarehe ya mwisho.

Kwa wale waliofika jana jioni walipewa hifadhi mpaka asubuhi kwaajili ya usalama wao na leo asubuhi wametakiwa kurejea kwao. Nidhamu ya jeshi ni msingi wa jeshi imara! walidhani ni kule sekondari mtu anavuta wiki mbili mbele baada ya shule kufunguliwa.

Wazazi kama mwanao alienda JKT tarehe 12/6 wasiliana naye ama mtumie nauli yupo nje anapunga upepo!
warudi tu nyumbani watusaidie kuokoteza mazao mashambani,kule jkt ni kupotezeana tu muda hakuna cha uzalendo wa nini, nchi hii wote wanaotuibia wengi wao wametoka hiyo jkt hadi wanauza ardhi zetu kwa wageni
 
Wame kataliwa kwa mjibu wa sheria ipi? Wstanzania hatuko serious kabisa kuchelewa siku moja sio kubwa kiasi hicho.
nyinyi ndiyo munaambiwa deadline ya kutuma application ni saa sita mchana wewe unatuma saa saba. Lazima ujifunze discipline ya muda.
 
Wahitimu wa kidato cha sita waliochelewa kuripoti kambini tarehe 11/6/2023 wamezuiwa kuripoti na kuungana na wenzao. Zaidi ya vijana 150 katika kambi ya JKT Mafinga wamerejeshwa wakati wakiripoti jana 12/6/2023 siku moja baada ya tarehe ya mwisho.

Kwa wale waliofika jana jioni walipewa hifadhi mpaka asubuhi kwaajili ya usalama wao na leo asubuhi wametakiwa kurejea kwao. Nidhamu ya jeshi ni msingi wa jeshi imara! walidhani ni kule sekondari mtu anavuta wiki mbili mbele baada ya shule kufunguliwa.

Wazazi kama mwanao alienda JKT tarehe 12/6 wasiliana naye ama mtumie nauli yupo nje anapunga upepo!
Hivi jamni ili nipate refa kuingia jeshi natakiwa nifanye taratibu zipi ili nizame maana magamba yapo tu yametulia ndani nataka nianze kuyatumia mwenye kujua aniinbox aseee nipo na wito na jeshi Toka ktk chemba ya moyo nataka nikapigane kufa kupona ili inchi iwe salama
 
Wahitimu wa kidato cha sita waliochelewa kuripoti kambini tarehe 11/6/2023 wamezuiwa kuripoti na kuungana na wenzao. Zaidi ya vijana 150 katika kambi ya JKT Mafinga wamerejeshwa wakati wakiripoti jana 12/6/2023 siku moja baada ya tarehe ya mwisho.

Kwa wale waliofika jana jioni walipewa hifadhi mpaka asubuhi kwaajili ya usalama wao na leo asubuhi wametakiwa kurejea kwao. Nidhamu ya jeshi ni msingi wa jeshi imara! walidhani ni kule sekondari mtu anavuta wiki mbili mbele baada ya shule kufunguliwa.

Wazazi kama mwanao alienda JKT tarehe 12/6 wasiliana naye ama mtumie nauli yupo nje anapunga upepo!
ndiyo maana wamepelekwa JKT wajifunze nidhamu siyo vitabia vyao walivyovizoea kule makwao. Hao wataendelea kuwa wa hovyo hata makazini. Ajira iwe kwa sharti la kufuzu JKT wajifunze ukakamavu na nidhamu hata makazini
 
Wahitimu wa kidato cha sita waliochelewa kuripoti kambini tarehe 11/6/2023 wamezuiwa kuripoti na kuungana na wenzao. Zaidi ya vijana 150 katika kambi ya JKT Mafinga wamerejeshwa wakati wakiripoti jana 12/6/2023 siku moja baada ya tarehe ya mwisho.

Kwa wale waliofika jana jioni walipewa hifadhi mpaka asubuhi kwaajili ya usalama wao na leo asubuhi wametakiwa kurejea kwao. Nidhamu ya jeshi ni msingi wa jeshi imara! walidhani ni kule sekondari mtu anavuta wiki mbili mbele baada ya shule kufunguliwa.

Wazazi kama mwanao alienda JKT tarehe 12/6 wasiliana naye ama mtumie nauli yupo nje anapunga upepo!
kwa wenzetu walioendelea siyo jeshini tu hata ukichelewa ku-submit kazi yako kwa dakika moja haipokelewi.
 
Yaani ingekuwa mie ndio nafika naambiwa umechelewa rudi nyumbani!! Weeeeh nisingesubiri hata amalizie sentensi, ningetimka kama mwizi niwaache na upuuzi wao.
na ndio nyie mnajidai wazalendo? We hufai kwa kazi yoyte ya maana
 
Hivi jamni ili nipate refa kuingia jeshi natakiwa nifanye taratibu zipi ili nizame maana magamba yapo tu yametulia ndani nataka nianze kuyatumia mwenye kujua aniinbox aseee nipo na wito na jeshi Toka ktk chemba ya moyo nataka nikapigane kufa kupona ili inchi iwe salama
Utakufa wewe kabla ya nchi kuwa salama.
 
Hivi jamni ili nipate refa kuingia jeshi natakiwa nifanye taratibu zipi ili nizame maana magamba yapo tu yametulia ndani nataka nianze kuyatumia mwenye kujua aniinbox aseee nipo na wito na jeshi Toka ktk chemba ya moyo nataka nikapigane kufa kupona ili inchi iwe salama
Kwani kuna vita nchi hii,walisha zikwa wengi na nchi haijawahi kuwa salama yaani ni kama vile unashindana na k kwa kutumia viagra
 
Wame kataliwa kwa mjibu wa sheria ipi? Wstanzania hatuko serious kabisa kuchelewa siku moja sio kubwa kiasi hicho.
Wale wale. Yamewakuta wenzio!???
 
Hapo unakuta nyumbani viliondoka muda mreeefu
 
Back
Top Bottom