Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani ingekuwa mie ndio nafika naambiwa umechelewa rudi nyumbani!! Weeeeh nisingesubiri hata amalizie sentensi, ningetimka kama mwizi niwaache na upuuzi wao.
warudi tu nyumbani watusaidie kuokoteza mazao mashambani,kule jkt ni kupotezeana tu muda hakuna cha uzalendo wa nini, nchi hii wote wanaotuibia wengi wao wametoka hiyo jkt hadi wanauza ardhi zetu kwa wageniWahitimu wa kidato cha sita waliochelewa kuripoti kambini tarehe 11/6/2023 wamezuiwa kuripoti na kuungana na wenzao. Zaidi ya vijana 150 katika kambi ya JKT Mafinga wamerejeshwa wakati wakiripoti jana 12/6/2023 siku moja baada ya tarehe ya mwisho.
Kwa wale waliofika jana jioni walipewa hifadhi mpaka asubuhi kwaajili ya usalama wao na leo asubuhi wametakiwa kurejea kwao. Nidhamu ya jeshi ni msingi wa jeshi imara! walidhani ni kule sekondari mtu anavuta wiki mbili mbele baada ya shule kufunguliwa.
Wazazi kama mwanao alienda JKT tarehe 12/6 wasiliana naye ama mtumie nauli yupo nje anapunga upepo!
Mgambo JKT? Kabuku.Mbona huku kwetu Tanga wanazidi kuriport?
nyinyi ndiyo munaambiwa deadline ya kutuma application ni saa sita mchana wewe unatuma saa saba. Lazima ujifunze discipline ya muda.Wame kataliwa kwa mjibu wa sheria ipi? Wstanzania hatuko serious kabisa kuchelewa siku moja sio kubwa kiasi hicho.
Hivi jamni ili nipate refa kuingia jeshi natakiwa nifanye taratibu zipi ili nizame maana magamba yapo tu yametulia ndani nataka nianze kuyatumia mwenye kujua aniinbox aseee nipo na wito na jeshi Toka ktk chemba ya moyo nataka nikapigane kufa kupona ili inchi iwe salamaWahitimu wa kidato cha sita waliochelewa kuripoti kambini tarehe 11/6/2023 wamezuiwa kuripoti na kuungana na wenzao. Zaidi ya vijana 150 katika kambi ya JKT Mafinga wamerejeshwa wakati wakiripoti jana 12/6/2023 siku moja baada ya tarehe ya mwisho.
Kwa wale waliofika jana jioni walipewa hifadhi mpaka asubuhi kwaajili ya usalama wao na leo asubuhi wametakiwa kurejea kwao. Nidhamu ya jeshi ni msingi wa jeshi imara! walidhani ni kule sekondari mtu anavuta wiki mbili mbele baada ya shule kufunguliwa.
Wazazi kama mwanao alienda JKT tarehe 12/6 wasiliana naye ama mtumie nauli yupo nje anapunga upepo!
ndiyo maana wamepelekwa JKT wajifunze nidhamu siyo vitabia vyao walivyovizoea kule makwao. Hao wataendelea kuwa wa hovyo hata makazini. Ajira iwe kwa sharti la kufuzu JKT wajifunze ukakamavu na nidhamu hata makaziniWahitimu wa kidato cha sita waliochelewa kuripoti kambini tarehe 11/6/2023 wamezuiwa kuripoti na kuungana na wenzao. Zaidi ya vijana 150 katika kambi ya JKT Mafinga wamerejeshwa wakati wakiripoti jana 12/6/2023 siku moja baada ya tarehe ya mwisho.
Kwa wale waliofika jana jioni walipewa hifadhi mpaka asubuhi kwaajili ya usalama wao na leo asubuhi wametakiwa kurejea kwao. Nidhamu ya jeshi ni msingi wa jeshi imara! walidhani ni kule sekondari mtu anavuta wiki mbili mbele baada ya shule kufunguliwa.
Wazazi kama mwanao alienda JKT tarehe 12/6 wasiliana naye ama mtumie nauli yupo nje anapunga upepo!
kwa wenzetu walioendelea siyo jeshini tu hata ukichelewa ku-submit kazi yako kwa dakika moja haipokelewi.Wahitimu wa kidato cha sita waliochelewa kuripoti kambini tarehe 11/6/2023 wamezuiwa kuripoti na kuungana na wenzao. Zaidi ya vijana 150 katika kambi ya JKT Mafinga wamerejeshwa wakati wakiripoti jana 12/6/2023 siku moja baada ya tarehe ya mwisho.
Kwa wale waliofika jana jioni walipewa hifadhi mpaka asubuhi kwaajili ya usalama wao na leo asubuhi wametakiwa kurejea kwao. Nidhamu ya jeshi ni msingi wa jeshi imara! walidhani ni kule sekondari mtu anavuta wiki mbili mbele baada ya shule kufunguliwa.
Wazazi kama mwanao alienda JKT tarehe 12/6 wasiliana naye ama mtumie nauli yupo nje anapunga upepo!
na ndio nyie mnajidai wazalendo? We hufai kwa kazi yoyte ya maanaYaani ingekuwa mie ndio nafika naambiwa umechelewa rudi nyumbani!! Weeeeh nisingesubiri hata amalizie sentensi, ningetimka kama mwizi niwaache na upuuzi wao.
Utakufa wewe kabla ya nchi kuwa salama.Hivi jamni ili nipate refa kuingia jeshi natakiwa nifanye taratibu zipi ili nizame maana magamba yapo tu yametulia ndani nataka nianze kuyatumia mwenye kujua aniinbox aseee nipo na wito na jeshi Toka ktk chemba ya moyo nataka nikapigane kufa kupona ili inchi iwe salama
Kwani kuna vita nchi hii,walisha zikwa wengi na nchi haijawahi kuwa salama yaani ni kama vile unashindana na k kwa kutumia viagraHivi jamni ili nipate refa kuingia jeshi natakiwa nifanye taratibu zipi ili nizame maana magamba yapo tu yametulia ndani nataka nianze kuyatumia mwenye kujua aniinbox aseee nipo na wito na jeshi Toka ktk chemba ya moyo nataka nikapigane kufa kupona ili inchi iwe salama
Viagra tena mzee ulipolea wap umeibuka tu kama mzimu😂😂Kwani kuna vita nchi hii,walisha zikwa wengi na nchi haijawahi kuwa salama yaani ni kama vile unashindana na k kwa kutumia viagra
Wale wale. Yamewakuta wenzio!???Wame kataliwa kwa mjibu wa sheria ipi? Wstanzania hatuko serious kabisa kuchelewa siku moja sio kubwa kiasi hicho.
😂😂😂😂Ntakua makini famasiala nn kombati like ujueWarudi nyumbani wakapumzike, elimu tuu ya Tz ni jeshi tosha...
😂😂😂😂😂Daaah nmejikuta nacheka kwa sauti unawezaje kufa wakati naujuzi niliopewa na bibiUtakufa wewe kabla ya nchi kuwa salama.