Jambo hilo ni kambi zote maana hata hapa Maramba tanga wanalala stendi wamefukuzwaImetoka kambi zote au ni mafinga tu.[emoji45]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jambo hilo ni kambi zote maana hata hapa Maramba tanga wanalala stendi wamefukuzwaImetoka kambi zote au ni mafinga tu.[emoji45]
Wasiwafanyie ukali wa kutisha sana bado watoto hao na wanahitaji kujifunza ..waziri alitazame hilo.Jambo hilo ni kambi zote maana hata hapa Maramba tanga wanalala stendi wamefukuzwa
Jeshi ukiachana namambo mengine
Jeshi ,ni nidhamu
Wa kwako yupo..???Kwani walikuwa wamefuata ajira Jeshini?
Kwenda kufanya kazi Za bure !
Warudi tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani ingekuwa mie ndio nafika naambiwa umechelewa rudi nyumbani!! Weeeeh nisingesubiri hata amalizie sentensi, ningetimka kama mwizi niwaache na upuuzi wao.
😂😂😂😂😂😂Baharia mkakamavu mashoti yote unapiga ili kila kitu kiwe poambona nipo ila uliniacha hoi uliposema ukapiganie nchi had ufe vitani ili nchi iwe salama,nikakufaanisha na mabaharia wanao tumia dawa ya kuongeza nguvu eti wanakomoa k na mwisho wa siku wanakufa wao k inaendelea kuwepo
Hao watu wanaoungaunga nauli ni asilimia ndg sana, changamoto kubwa apa ni mizaha tu ya mtu mweusiSema changamoto ni kutoa agizo ndani ya siku kumi waripoti lakini mtoa maagizo hajui hali ya maisha ya huyu kijana.
Kakopa nauli weeee! Kakopa tena kakopa. Ikashindikana. Hatimaye kijiji kikatoa nauli kidogo.
Na hiyo nauli yenyewe sijui wanarudishiwa au kama ilivyo ada kwa serikali kuwakamua walalahoi kwa kuwa hawaoni shida zetu.
Milioni mia wanaita hela ya mboga wakati kuna mtu mwaka mzima laki hajawahi kuitumia achilia mbali kuishika.