Waliochelewa kuripoti JKT wakataliwa kupokelewa

Wameshajenga cv tayari,uko mbeleni akiulizwa kama alifika jkt,jibu ni ndio.cheti karatasi tu
 
Wame kataliwa kwa mjibu wa sheria ipi? Wstanzania hatuko serious kabisa kuchelewa siku moja sio kubwa kiasi hicho.
Kijeshi kuchelewa dakika moja ni dhambi isiyosameheka.

Pia tujifunze kuzingatia muda. Binafsi nawapongeza kwa hatua waliyochukua ili kuwa funzo kwa wengine.
 
Kijeshi kuchelewa dakika moja ni dhambi isiyosameheka.

Pia tujifunze kuzingatia muda. Binafsi nawapongeza kwa hatua waliyochukua ili kuwa funzo kwa wengine.
Kwani hao walio chelewa walikua wanajeshi tayari?
 
Kwani walikuwa wamefuata ajira Jeshini?
Kwenda kufanya kazi Za bure !
Warudi tu
 
Wame kataliwa kwa mjibu wa sheria ipi? Wstanzania hatuko serious kabisa kuchelewa siku moja sio kubwa kiasi hicho.
Kuhoji ili udanganywe?
 
Yaani ingekuwa mie ndio nafika naambiwa umechelewa rudi nyumbani!! Weeeeh nisingesubiri hata amalizie sentensi, ningetimka kama mwizi niwaache na upuuzi wao.
 
Mbona huku kwetu Tanga wanazidi kuriport?
 
Warudi mtaani kuendelea kuchakata/kuchakatwa.....!
Maisha sio lazima JKT.
 
Kuhoji ili udanganywe?
Penye ukweli uongo hujitenga na Njia ya muongo ni fupi.
Huwezi kuacha kuhoji eti kisa unaogopa usidanganywe, siyo kweli hata kidogo na wala si kutenda haki kwa wahusika.

Watu wakataliwe kujiunga na Jeshi endapo kama zipo sababu za msingi zinazofanya mtu huyo kukataliwa. Kusiwepo na hila, ghilba, ukiritimba au dhulma katika kuwakataa watu wanaotaka kujiunga na Jeshi, Haki Itendeke kwa Wahusika.
 
Wame kataliwa kwa mjibu wa sheria ipi? Wstanzania hatuko serious kabisa kuchelewa siku moja sio kubwa kiasi hicho.
Kuchelewa hata dakika moja ni kubwa sana. Badilikeni watanzania
 
Hivi wanapewa nauli tuanzie hapo ili twende sawa usilaume bila kujua chanzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…